Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

Hapana.!
VPN ni kifupi cha maneno haya...Virtual Private Network.
Hii ina maana, ukishajiunga na internet yako (yaani ukiwa online katika kifaa chako eiza simu au kompyuta) unapata kitu kinachoitwa IP Address ambayo kimsingi inaonesha wapi kifaa chako kimeunganishwa na internet iyo (yaani ina ku'pin point)

Sasa kwa kuweka VPN inakupa address nyingine tofauti yaan kwa mfano VPN yako ni ya USA basi automatically mtu akiangalia upo wapi kwenye kifaa chako ndio itaonesha upo uko USA na si iyo excatly location uliyopo.


Nimefafanua kidogo kwa uelewa wangu, wengine wanakuja watajazia pale nilipoacha na kunikosoa pia inaruhusiwa.

Melvine.!
Mimi natumia VPN kila siku. Primarily kwa ajili ya data encryption ya internet connection yangu (my own subscribed VPN) au nikiwa nafanya kazi kutoka nyumbani (my office VPN).

Ninachotaka kujua huyu anayesema anapata free internet kwa VPN, ana connect kwenye VPN kwa kutumia nini?

Mimi nahitaji internet connection kwanza ili kuconnect kwenye VPN.

Sasa kwa maelezo ya mtoa mada ninkama anatuambia anatumia VPN ku connect kwenye network? How dies he cinnect to the VPN without having an internet connection?

That does not make sense.
 
Wewe ndio hujui kitu, VPN hutumiwa sana na watu wanaotumia wireless za kijamii ambazo nyingi hufungia baadhi ya websites ambazo zipo nje ya maadili ya kijamii au nje wa protocol zao, sasa ikiwa wewe unatumia hizo wireless na unahitaji ku access hizo websites zilizofungiwa utahitajika u download VPN ili uweze kutumia bila shida, pia kwa wale wanaokosoa kupitia mitandao kwa kutumia fake identities ili wasigundulike walipo huwa wanatumia VPN ili kufake IP adress zao

Wengine wanadai kuwa VPN inaficha uhalisia wa idadi ya MB unazotumia kwa maana inakata mawasiliano kati ya subscribers wa mtandao na watoa huduma za mtandao either through wireless au broadbands lakini hii kitu ishapatiwa ufumbuzi muda tu
Kwa hyo ndg zangu tunaweza kupata huduma ya internet kwa free au hata gharama nafuu. Maana naona mimi natumia gb mpka 3 kwa siku na gharama kiuhalisia ni kubwa sana kama mnavyojua mitandao ya kitanzania ilivyo
Mimi natumia VPN kila siku. Primarily kwa ajili ya data encryption ya internet connection yangu (my own subscribed VPN) au nikiwa nafanya kazi kutoka nyumbani (my office VPN).

Ninachotaka kujua huyu anayesema anapata free internet kwa VPN, ana connect kwenye VPN kwa kutumia nini?

Mimi nahitaji internet connection kwanza ili kuconnect kwenye VPN.

Sasa kwa maelezo ya mtoa mada ninkama anatuambia anatumia VPN ku connect kwenye network? How dies he cinnect to the VPN without having an internet connection?

That does not make sense.
Vpn haihusiani na free Internet mbona
WAKUU kwa heshima na taadhima, nawaomba kidogo mpitie hizi threads za miaka ya nyuma za hapa JF ili mueweze kuelewa, japokuwa hizi tricks kwa sasa hazifanyi kazi
Kuifanya cproxy kuwa kama pd-proxy

Kuifanya cproxy kuwa kama pd-proxy

Msaada kuhusiana na Pd-proxy vpn

pd proxy na tunnel guru ipi bora

Jipatie: PD PROXY PREMIUM ACCOUNT

VPN gani nzuri niweze tumia net bure

PD-Proxy VPN Service

How to scan for Free Open Ports in Any ISP for Free Internet

Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)
halafu kingine wakongwe na wataalamu wengi wamelikimbia hili jukwaa sio kama zamani
 
WAKUU kwa heshima na taadhima, nawaomba kidogo mpitie hizi threads za miaka ya nyuma za hapa JF ili mueweze kuelewa, japokuwa hizi tricks kwa sasa hazifanyi kazi
Kuifanya cproxy kuwa kama pd-proxy

Kuifanya cproxy kuwa kama pd-proxy

Msaada kuhusiana na Pd-proxy vpn

pd proxy na tunnel guru ipi bora

Jipatie: PD PROXY PREMIUM ACCOUNT

VPN gani nzuri niweze tumia net bure

PD-Proxy VPN Service

How to scan for Free Open Ports in Any ISP for Free Internet

Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)
halafu kingine wakongwe na wataalamu wengi wamelikimbia hili jukwaa sio kama zamani
Swali langu dogo tu.

Halijajibiwa.

Una connect vipi kwenye VPN bila internet?

VPN inakuunganisha na IP fulani. Wewe uko IP fulani.

Unafikaje kuunganishwa na hiyo IP? Kuna mtandao unatoa free access hapo kati?

Au watu wanasema kwa kawaida yetu ya wabongo wengi ya kutokuwa na nidhamu ya maneno?
 
Swali langu dogo tu.

Halijajibiwa.

Una connect vipi kwenye VPN bila internet?

VPN inakuunganisha na IP fulani. Wewe uko IP fulani.

Unafikaje kuunganishwa na hiyo IP? Kuna mtandao unatoa free access hapo kati?

Au watu wanasema kwa kawaida yetu ya wabongo wengi ya kutokuwa na nidhamu ya maneno?
pitia hizo link,utaelewa.
How to scan for Free Open Ports in Any ISP for Free Internet
How to scan for Free Open Ports in Any ISP for Free Internet
 
Mimi natumia VPN kila siku. Primarily kwa ajili ya data encryption ya internet connection yangu (my own subscribed VPN) au nikiwa nafanya kazi kutoka nyumbani (my office VPN).

Ninachotaka kujua huyu anayesema anapata free internet kwa VPN, ana connect kwenye VPN kwa kutumia nini?

Mimi nahitaji internet connection kwanza ili kuconnect kwenye VPN.

Sasa kwa maelezo ya mtoa mada ninkama anatuambia anatumia VPN ku connect kwenye network? How dies he cinnect to the VPN without having an internet connection?

That does not make sense.
Kaka mimi niliambiwa nikae kimya kama sijui kitu. Yaani mtu anawapotosha wenzake bila sababu ya msingi. Nani aliyesema na tangu lini VPN iwe free internet.??

U cant establish VPN in your either device or anything if u dont have a connection of internet, by saying so does VPN sound something free to u kama ambavyo member flani anawaamisha watu umu ndani.?

Sikutaka kumjibu maana najua hajui iyo kitu ni nini na inafanya kazi gani... Ila ujinga ni kwenda na sio kurudi.



Melvine.!
 
pitia hizo link,utaelewa.
How to scan for Free Open Ports in Any ISP for Free Internet
How to scan for Free Open Ports in Any ISP for Free Internet
So they are connecting to an ISP for free internet then.

That explains.

Hao watu wa security wa ISP wanatakiwa kufukuzwa kazi. That is a gaping security risk that was the missing link in the logic of the thread.

But then how do you scan an ISP without internet connection?

You need internet connection to begin with (angalau ya bundle kwenye simu) in order to do port scanning.

Title ya tgread inaweza kumfanyabmtuvaamininunaweza ku connect kwa ISP bila internet
 
So they are connecting to an ISP for free internet then.

That explains.

Hao watu wa security wa ISP wanatakiwa kufukuzwa kazi. That is a gaping security risk that was the missing link in the logic of the thread.

But then how do you scan an ISP without internet connection?
MKubwa nadhani hatuwelewani, kipindi hiko unaconnect na internet lakini kwenye laini inakuwa na 0 balance ikisha connect pd proxy ilikuwa inaanza kutafuta UDP open port kwa ajili ya kupitishia data kisha ikishaipata inakuunganisha server zao na hapo ndipo unabypass ISP na kuanza kutumia unlimited. unlimited ipo mpaka sasa ila kwa tricks nyingine tofauti na hizi.
 
So they are connecting to an ISP for free internet then.

That explains.

Hao watu wa security wa ISP wanatakiwa kufukuzwa kazi. That is a gaping security risk that was the missing link in the logic of the thread.

But then how do you scan an ISP without internet connection?

You need internet connection to begin with in order to do port scanning.
Kwa hiyo haiwezekani kabsa kupata huduma ya internet kwa free au kwa gharama nafuu
 
WAKUU kwa heshima na taadhima, nawaomba kidogo mpitie hizi threads za miaka ya nyuma za hapa JF ili mueweze kuelewa, japokuwa hizi tricks kwa sasa hazifanyi kazi
Kuifanya cproxy kuwa kama pd-proxy

Kuifanya cproxy kuwa kama pd-proxy

Msaada kuhusiana na Pd-proxy vpn

pd proxy na tunnel guru ipi bora

Jipatie: PD PROXY PREMIUM ACCOUNT

VPN gani nzuri niweze tumia net bure

PD-Proxy VPN Service

How to scan for Free Open Ports in Any ISP for Free Internet

Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)
halafu kingine wakongwe na wataalamu wengi wamelikimbia hili jukwaa sio kama zamani
Hawa watu walioingia jf juzijuzi hawawezi kukuelewa enzi hizo kina mwl.RCT shy sharobaro n.k
Walikuwa watoa mautundu kule jf store
mimi pia niliwahi kufurahia hiyo huduma kwa kutumia tunnel guru vpn sema haya mabus ya kabang na kijani walikuja kuzuia na mimi ndo ukawa mwisho wangu.
 
Hapana.!
VPN ni kifupi cha maneno haya...Virtual Private Network.
Hii ina maana, ukishajiunga na internet yako (yaani ukiwa online katika kifaa chako eiza simu au kompyuta) unapata kitu kinachoitwa IP Address ambayo kimsingi inaonesha wapi kifaa chako kimeunganishwa na internet iyo (yaani ina ku'pin point)

Sasa kwa kuweka VPN inakupa address nyingine tofauti yaan kwa mfano VPN yako ni ya USA basi automatically mtu akiangalia upo wapi kwenye kifaa chako ndio itaonesha upo uko USA na si iyo excatly location uliyopo.


Nimefafanua kidogo kwa uelewa wangu, wengine wanakuja watajazia pale nilipoacha na kunikosoa pia inaruhusiwa.

Melvine.!
Nimependa hako kaneno ....."eiza"
Kiswahili kinakua
 
Kwa hiyo haiwezekani kabsa kupata huduma ya internet kwa free au kwa gharama nafuu
Unaweza kuconnect WiFi router ya jirani ambayo haina password ukapata internet free.

Kuna security concerns.

Halafu hili linategemea ulipo na ujanja wa jirani yako.
 
Mimi nahitaji Kujua, Naweza Kupata Server Ya Mtandao Husika Ambayo Unakua unawalipa may Be Kwa Mwezi Na Wanakupata Free Unlimited Access Ya Internet
 
Back
Top Bottom