bukoba04
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 1,401
- 1,287
mkuu hii hiz vpn za Pc, naweza kupataje, msaada pls?Izi za playstore ni magumash tu. Za pc Ipo unabadili IP adress vzuri na unaweza stream hata video/ mitandao ambayo ipo limited kwa nch flani
mkuu hii hiz vpn za Pc, naweza kupataje, msaada pls?Izi za playstore ni magumash tu. Za pc Ipo unabadili IP adress vzuri na unaweza stream hata video/ mitandao ambayo ipo limited kwa nch flani
VPN master, kitu ka hicho, hizo ads zinakuja sehemu nyingine eg kwenye browser au program nyingine kwenye simu ambazo zina ads, I mean mfano unapoingia kwenye chrome wakati unatumia VPN ambayo imekupa IP address ya Netherlands hapo nilitegemea kwenye website yoyote ninayoingia nitaona ads za Netherlands kwa sababu naonekana nipo Netherlands lakini nakutana na ads za bongo, hapo ndo napata wasiwasi kama hiyo VPN inafanya kazi kweli au magumashi tuNdio VPN zinaficha IP address Sema mpaka utumie VPN za ukweli na Mara nyingi ni za kulipia kwani wewe umetumia VPN gani hiyo mpaka inaleta ads za bongo
Nimekuelewa na chenji inabaki.... ahsante sana, so VPN nzuri ni ya kununua siyo?Ad networks siku hizi nyingi hazitumii IP Address kukutumia ads, zinatumia information iliyopo kwenye browser,sites nyingi zinatunza data kwenye browser yako kila unapo~browse, so ads network kama Google wanajua wewe ni mtu unapenda kufungua vitu gani, wanatumia hizo data zako kukuletea ads ambazo wanahisi utazipenda.
Bado pia kuna kuwa logged in wakati wote, mfano usipologout Facebook au Google, wana uwezo wa kumonitor karibia kila kitu unachofanya online, tena ukilogin kwenye Chrome au Firefox ndio kabisaa, Google wanajua kila website uliyofungua regardless ya IP Address yako kua nchi tofauti, wanajua unapenda sites za bongo kama JF, wanajua unachopenda kutafuta, lugha unayotumia, hizi zote ni variables zinatumika kukuletea ads. Nadhani nimeeleza kwa lugha nyepesi kabisa, kama unataka very technical details ya jinsi system nzima inavyofanya kazi uliza.
Kumaliza kazi tumia tor browser,hiyo kila wakati itakuonesha uko nchi tofauti tofauti. Inashauriwa kwa usalama zaidi idadi kubwa ya watu itumie tor browserKazi ya VPN ni nini katika simu??
Nimekuelewa na chenji inabaki.... ahsante sana, so VPN nzuri ni ya kununua siyo?
sikubalian na wewe eti za playstore zote ni magumashi... kuna nyingine ziko vizuri tu eg.. hotspot shield, hola vpn nk.Izi za playstore ni magumash tu. Za pc Ipo unabadili IP adress vzuri na unaweza stream hata video/ mitandao ambayo ipo limited kwa nch flani
Browser nyingi zinakuwa zinatumia webRTC ambayo ina enable real time communications ambazo huitaji real IP address hvo basi kama Kuna website unatembelea ambayo inatumia webRTC API kama YouTube lazma itajua IP address yako whether una VPN au laNilishawahi kujaribu kutumia VPN ya bure ya kudownload playstore, ilinipa IP addresses za Netherlands na UK, but the funny thing was, ads kwenye browser zilikuwa zinakuja za bongo, sasa swali, inakuaje nipate ads za kibongo wakati nipo Uholanzi au UK? Au IP address kubadilishwa hivyo ni kwa ajili gani? Naomba elimu hapo watalaamu
Nenda Wikipedia kama hujaridhishwa na google.Kuna kitu kinaitwa Virtual Private Network.. naomba kuelimishwa ni kitu gani na kinafanya kazi vipi?
Ok. Asante sanahii ni network ambayo huficha adress ya mtu pindi anapokuwa mtandaoni mfano wewe uko tanzania lakini ukifanya installation ya VPN utapata options ya kuchagua location mfano US
Habari zenu wadau,mi nina wazo (pengine ntakuwa nakosea maana sijabobea kwenye mambo ya IT).
Kwa mfano mtu ukiwa na blog na tuseme google adsense (pengine na mitandao mingine kama ipo) wanakulipa kulingana na watazamaji watakavyokuwa wengi kwenye blog au website yako,sasa je siwezi kufanya tricks za kuwa nabadilisha address na kisha kutembelea mwenyewe hizo page huku niki-count au kupata viewers wengi wakati ni mimi mwenyewe? naomba msaada wenu wataalamu.