Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

Kuna pia Opera VPN ambayo yapatikana kwenye iOS na Android. Nadhani ni nzuri zaidi na pia ni free.
 
Habari wadau, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.

IP Adress (Internet Protocol) ni anwani ambayo device mfano simu au computer inakua nayo pindi inapokua imeunganishwa na intaneti hivyo mtu mwingine kuweza kujua mmiliki wa hiko kifaa ni nani.
VPN (Virtual Private Network) ni simulator ambayo itafanya IP adress yako isijulikane uhalisi wake haswa ni wapi.

Muda gani wa Kutumia VPN?
Unaweza kutumia vpn muda wowote utakaohisi faragha yako inaingiliwa, lakini mara nyingi VPN hua tunatumia tukiwa tunataka access na huduma ambazo ili nizipate inabidi niwe nchi fulani (hili ndiyo lengo la huu uzi). Mfano Netflix inasapoti baadhi ya nchi ukiwa na VPN unaweza kuonesha upo Marekani na ukaaccess Netflix vizuri tu.

Binafsi hua natumia kupakua vitabu ambavyo hua vinatolewa bure kwa nchi fulani tu.

Jinsi ya Kuiseti VPN Yako
Apps mbili ambazo zinaaminika katika kutoa huduma ya VPN ni Tunnel Bear na Express VPN hizi zinasapoti kila platform i.e windows, android, Mac, ios.
Isipokua Tunnel Bear haisapoti kwenye Linux

Kwa watumiaji wa Android; (Tutatumia Express vpn)
1: Utaingia playstore utaenda eneo la kusearch na kuandika 'tunnel bear' au 'express vpn' (bila hizo alama). Utainstall mojawapo ya hiyo uliyochagua.

View attachment 446303


2: Ukishainstall utakua unaifungua nayo itakupa option ya kuchagua uwe unaonekana uko nchi gani. Utachagua nchi unayotaka.

View attachment 446304

3: Utaoneshwa kua imekubali hapo unakua umeshatengeneza VPN yako.


View attachment 446305


4: Enjoy Netflix.

N.B.
Hizo huduma zote ni in app purchase, utatakiwa kununua ili kuwa upgraded, Express vpn itakupa siku saba za free trial ila Tunnel Bear haikuwahi kunipa ultimatum ya kuupgrade.

Zinahitaji ujiunge kwa email kabla hujaaccess zaidi.
Safi sana kwa kuleta huu uzi. Kuongezea kuna moja inaitwa Orbot nayo ni kali sana.
 
Habari wadau, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.

IP Adress (Internet Protocol) ni anwani ambayo device mfano simu au computer inakua nayo pindi inapokua imeunganishwa na intaneti hivyo mtu mwingine kuweza kujua mmiliki wa hiko kifaa ni nani.
VPN (Virtual Private Network) ni simulator ambayo itafanya IP adress yako isijulikane uhalisi wake haswa ni wapi.

Muda gani wa Kutumia VPN?
Unaweza kutumia vpn muda wowote utakaohisi faragha yako inaingiliwa, lakini mara nyingi VPN hua tunatumia tukiwa tunataka access na huduma ambazo ili nizipate inabidi niwe nchi fulani (hili ndiyo lengo la huu uzi). Mfano Netflix inasapoti baadhi ya nchi ukiwa na VPN unaweza kuonesha upo Marekani na ukaaccess Netflix vizuri tu.

Binafsi hua natumia kupakua vitabu ambavyo hua vinatolewa bure kwa nchi fulani tu.

Jinsi ya Kuiseti VPN Yako
Apps mbili ambazo zinaaminika katika kutoa huduma ya VPN ni Tunnel Bear na Express VPN hizi zinasapoti kila platform i.e windows, android, Mac, ios.
Isipokua Tunnel Bear haisapoti kwenye Linux

Kwa watumiaji wa Android; (Tutatumia Express vpn)
1: Utaingia playstore utaenda eneo la kusearch na kuandika 'tunnel bear' au 'express vpn' (bila hizo alama). Utainstall mojawapo ya hiyo uliyochagua.

View attachment 446303


2: Ukishainstall utakua unaifungua nayo itakupa option ya kuchagua uwe unaonekana uko nchi gani. Utachagua nchi unayotaka.

View attachment 446304

3: Utaoneshwa kua imekubali hapo unakua umeshatengeneza VPN yako.


View attachment 446305


4: Enjoy Netflix.

N.B.
Hizo huduma zote ni in app purchase, utatakiwa kununua ili kuwa upgraded, Express vpn itakupa siku saba za free trial ila Tunnel Bear haikuwahi kunipa ultimatum ya kuupgrade.

Zinahitaji ujiunge kwa email kabla hujaaccess zaidi.
Sasa hapo kwenye email si ndo wataanzia kukutrack au?
 
Nashukuru elimu nzuri, maranyingi nimekuwa nikipekuwa Toka piratebay,huwa wananiletea hiyo inshu ya vpn naachana navyo Najua nimambo yao ya kijana adds nyingi ukiwa online
 
gharama ya kupurchase hzo app ni ipi??
Ukishadownload bure, trial version ikiisha muda utaoneshwa gharama mfano express vpn ni $9.99.
Mara ya mwisho kuitumia Tunnel bear ilikua unaweza kutumia bure ukiwa hautaki ku-upgrade.
 
usiziamini sana vpn apps kwamba zitakuficha kiasi kwamba mtu akiamua kukutrace eti hatokupata....
 
Nilishawahi kujaribu kutumia VPN ya bure ya kudownload playstore, ilinipa IP addresses za Netherlands na UK, but the funny thing was, ads kwenye browser zilikuwa zinakuja za bongo, sasa swali, inakuaje nipate ads za kibongo wakati nipo Uholanzi au UK? Au IP address kubadilishwa hivyo ni kwa ajili gani? Naomba elimu hapo watalaamu
 
Izi za playstore ni magumash tu. Za pc Ipo unabadili IP adress vzuri na unaweza stream hata video/ mitandao ambayo ipo limited kwa nch flani
 
Ndio VPN zinaficha IP address Sema mpaka utumie VPN za ukweli na Mara nyingi ni za kulipia kwani wewe umetumia VPN gani hiyo mpaka inaleta ads za bongo
 
hiyo itakuwa siyo VPN..

coz one of advantages za VPN, ni security, private, na the data is kept secured and encrypted
 
Back
Top Bottom