huo upuuzi ulioandikwa usijeukauamini hata siku 1 ama sivyo utajikuta uko gerezani,la msingi fuata sheria na taratibu za nchi yakoTupe mpya boss
Safi sana kwa kuleta huu uzi. Kuongezea kuna moja inaitwa Orbot nayo ni kali sana.Habari wadau, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.
IP Adress (Internet Protocol) ni anwani ambayo device mfano simu au computer inakua nayo pindi inapokua imeunganishwa na intaneti hivyo mtu mwingine kuweza kujua mmiliki wa hiko kifaa ni nani.
VPN (Virtual Private Network) ni simulator ambayo itafanya IP adress yako isijulikane uhalisi wake haswa ni wapi.
Muda gani wa Kutumia VPN?
Unaweza kutumia vpn muda wowote utakaohisi faragha yako inaingiliwa, lakini mara nyingi VPN hua tunatumia tukiwa tunataka access na huduma ambazo ili nizipate inabidi niwe nchi fulani (hili ndiyo lengo la huu uzi). Mfano Netflix inasapoti baadhi ya nchi ukiwa na VPN unaweza kuonesha upo Marekani na ukaaccess Netflix vizuri tu.
Binafsi hua natumia kupakua vitabu ambavyo hua vinatolewa bure kwa nchi fulani tu.
Jinsi ya Kuiseti VPN Yako
Apps mbili ambazo zinaaminika katika kutoa huduma ya VPN ni Tunnel Bear na Express VPN hizi zinasapoti kila platform i.e windows, android, Mac, ios.
Isipokua Tunnel Bear haisapoti kwenye Linux
Kwa watumiaji wa Android; (Tutatumia Express vpn)
1: Utaingia playstore utaenda eneo la kusearch na kuandika 'tunnel bear' au 'express vpn' (bila hizo alama). Utainstall mojawapo ya hiyo uliyochagua.
View attachment 446303
2: Ukishainstall utakua unaifungua nayo itakupa option ya kuchagua uwe unaonekana uko nchi gani. Utachagua nchi unayotaka.
View attachment 446304
3: Utaoneshwa kua imekubali hapo unakua umeshatengeneza VPN yako.
View attachment 446305
4: Enjoy Netflix.
N.B.
Hizo huduma zote ni in app purchase, utatakiwa kununua ili kuwa upgraded, Express vpn itakupa siku saba za free trial ila Tunnel Bear haikuwahi kunipa ultimatum ya kuupgrade.
Zinahitaji ujiunge kwa email kabla hujaaccess zaidi.
Unaitetea ccm kwa woga tu ndo maana nikakwambia usioogope.Sasa huu uzi na kunifananisha mimi na ccm wapi na wapi?
Na kama mimi ccm umetoka kuniambia nisiiogope ccm sasa nitaogopaje wenzangu?
Sasa hapo kwenye email si ndo wataanzia kukutrack au?Habari wadau, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.
IP Adress (Internet Protocol) ni anwani ambayo device mfano simu au computer inakua nayo pindi inapokua imeunganishwa na intaneti hivyo mtu mwingine kuweza kujua mmiliki wa hiko kifaa ni nani.
VPN (Virtual Private Network) ni simulator ambayo itafanya IP adress yako isijulikane uhalisi wake haswa ni wapi.
Muda gani wa Kutumia VPN?
Unaweza kutumia vpn muda wowote utakaohisi faragha yako inaingiliwa, lakini mara nyingi VPN hua tunatumia tukiwa tunataka access na huduma ambazo ili nizipate inabidi niwe nchi fulani (hili ndiyo lengo la huu uzi). Mfano Netflix inasapoti baadhi ya nchi ukiwa na VPN unaweza kuonesha upo Marekani na ukaaccess Netflix vizuri tu.
Binafsi hua natumia kupakua vitabu ambavyo hua vinatolewa bure kwa nchi fulani tu.
Jinsi ya Kuiseti VPN Yako
Apps mbili ambazo zinaaminika katika kutoa huduma ya VPN ni Tunnel Bear na Express VPN hizi zinasapoti kila platform i.e windows, android, Mac, ios.
Isipokua Tunnel Bear haisapoti kwenye Linux
Kwa watumiaji wa Android; (Tutatumia Express vpn)
1: Utaingia playstore utaenda eneo la kusearch na kuandika 'tunnel bear' au 'express vpn' (bila hizo alama). Utainstall mojawapo ya hiyo uliyochagua.
View attachment 446303
2: Ukishainstall utakua unaifungua nayo itakupa option ya kuchagua uwe unaonekana uko nchi gani. Utachagua nchi unayotaka.
View attachment 446304
3: Utaoneshwa kua imekubali hapo unakua umeshatengeneza VPN yako.
View attachment 446305
4: Enjoy Netflix.
N.B.
Hizo huduma zote ni in app purchase, utatakiwa kununua ili kuwa upgraded, Express vpn itakupa siku saba za free trial ila Tunnel Bear haikuwahi kunipa ultimatum ya kuupgrade.
Zinahitaji ujiunge kwa email kabla hujaaccess zaidi.
Haswaaaa lkn wengi wameelewa vingine...Uzi huu ni kwa ajili ya kumuwezesha mtu kuaccess huduma ambayo imebanwa sehemu husika, atakayetumia kwa mengine atakua hajautendea haki huu uzi.
Mkuu umeingia kipitia nchi gani kwenye hiyo AppIla asante kuna nyimbo nai download hapo kupitia hiyo app
AmericaMkuu umeingia kipitia nchi gani kwenye hiyo App