Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Shida ambayo naiona kwako ni kuamini kwamba you are very smart and articulate in a positive manner but usichokijua kila unapotengeneza hoja zako tayari unaonyesha wazi how miseducated, misinformed, and compromised you are in this area of life.

Okay, let us suppose kuwa wanaume tunachokipigania kwaajiri yetu. So unaweza kunambia wanaume tuna matakwa gani ambayo wewe umeyaona yakijirudia mara kwa mara kwenye hizi mada? Hebu leo useme nione kama kweli hata unajua wanaume wanataka nini na kipi wanakosa hadi kila kukicha tunaandika topic za kukemea mambo ya wanawake yasiyotakiwa.
Sasa unachobisha ni nini kwanza hebu niambie bikira ina faida gani ya moja kwa moja kwa mwanamke mwenyewe bila kumhusisha mwanaume naomba unijibu hapa kwanza, bikira ina faida kwa mwanaume sababu huwa mnakiri wenyewe kwamba inamfanya mwanaume aone fahari kuwa wa kwanza na wa pekee kwa huyo mwanamke, hata suala la mwanamke kuchepuka halina madhara ya moja kwa moja kwa mwanamke (ukitoa magonjwa ambayo hayachagui jinsia) tofauti na jamii inavyolichukulia, bali ni mwanaume ndio hujiona ameshushiwa heshima na uanaume wake kwa kuoa mwanamke ambaye wanaume wengi wamemvua nguo, kwahiyo mnapopiga hizi kelele inatoa taswira kwamba mnachopigania hapa ni heshima yenu na uanaume wenu tu na si kingine chochote ila mmejificha kwenye mwamvuli wa ustawi wa jamii na porojo nyingine
Je, mwaka 1947 jamii ya mtanzania ilikuwa hovyo ukilinganisha na ya sasa ya 2024, hivi unaweza ukasimama kabisa mbele ya umati wa watu useme kuwa jamii ya mtanzania ya sasa ime improve eneo la ustawi wa jamii?

1. Ushoga na wasagaji
2. Masingle mothers
3. Marioo na wadangaji
4. Watoto wenye baba watatu kwa wakati m'moja
5. Kutawanyika kwa familia ya baba mama na watoto.
6. Watoto wasiojua ibada ya msikiti wala kanisa
7. Wanawake wasiojua majukumu yao hadi wakiolewa wanakuwa viwete wa majukumu bila msaada wa House girl.

Hivi wewe unajua hata unachokisema wewe?

Unajua utakuja kuugua wehu wewe mtoto wa mzee fulani wewe.
Ulichojibu hapa kinazidi kuthibitisha una uwezo mdogo wa kuelewa mada na kuchanganua hoja sasa ni wapi mimi nimesema kwamba jamii ya sasa ni bora kuliko jamii ya zamani, mimi nimesema acheni kutumia propaganda za mwaka 47 kuwadanganya wanawake kwamba mnawapigania wao na jamii ilihali mnajipigania ninyi wenyewe wanawake wa zamani hawakuwa na elimu ndio maana walikuali huo uongo wenu ila hawa wa sasa wameelimika wanahoji kwenye kila kitu, mfano zamani wanawake walikuwa brainwashed kwamba kukeketwa ni kwa faida yao wenyewe hivyo wakawa wanaona fahari kukeketwa lakini baada ya jamii kuelimika ikaja kugundulika kumbe ilikuwa ni kwa faida ya waume zao (wasisalitiwe) ila wanaume walifanya ionekane kama ni faida kwa wanawake ili wanawake waikubali hiyo mila kirahisi
Madhara ya feminism kwa wanawake ni kitu cha kuuliza kweli na tunaongea kila siku hapa? Ngoja nikuwekee hapa shida ipo wapi.
Feminism na feminist wameleta changamoto zifuatazo kwenye jamii yetu.
Duuh yani gazeti lote hili nikajua umekuja na hoja mpya na za maana kumbe ni zile zile porojo zako za siku zote tena points nyingi hapo umerudiarudia kitu kile kile, yani mimi siku zote kukuelewesha kote kule nikajua huwa unajifunza na unaelewa kumbe yanaingilia huku yanatokea kule, yani badala ya kuniletea madhara ya feminism ya moja kwa moja kwa wanawake unaniletea madhara ambayo yanasababishwa na wanaume kushindwa kukubaliana na hali
1. Ideology ya feminism imeharibu akili ya mwanamke wa kisasa wa kitanzania kuamini anatakiwa ajipambanie yeye mwenyewe na si jamii yake,si watoto wake wala wanawake wenzao. Hii tayari imeshamfanya mwanamke anayefuata u feminist kuwa chizi fresh wa jamii. Tazama hawa wa marejesho na michezo ya upatu wa kila siku mtu anatoka au kausha damu utanielewa.
Ni nani kakudanganya kwamba wanawake hawawapambanii watoto wao hivi kwa akili ya kawiada tu kati ya wanaume na wanawake ni kina nani wanaoongoza kuwapambania watoto na kuwaweka kama kipaumbele chao, katika watu ambao wanaongoza kujali wazazi, watoto, ndugu na jamaa ni wanawake zamani wazazi walikuwa wanajivunia kuzaa watoto wa kiume ila siku hizi wanajivunia kuzaa watoto wa kike maana wanasema watoto wa kike hata wakiolewa huwa hawasahau nyumbani, watoto wa kiume wakishaoa tu wanapunguza kujali wazazi hata kama ni matajiri kwanza mwanaume akishapata hela cha kwanza anawaza kuhonga wanawake na kuweka heshima vilabuni mwanaume anaweza kuwa na maisha mazuri mjini ila wazazi wake kijijini wanaishi maisha ya kubangaiza siku akifiwa anaenda kuaibika huko kijijini kwao
2. Feminist na feminism haiungi mkono swala la familia ya baba mama na watoto,ina wafundisha wanawake kuamini kuwa maisha yao binafsi ndio kipaumbele so akipata watoto ajenge familia ya single mother households ambaye technically ni kinyume na vitabu vya dini,lakini pia inakinzana na malengo ya ustawi wajamii wa ujenzi wa taifa bora.
Hapa napo umedanganya big time feminism inaunga mkono suala la familia ya baba na mama ila haiungi mkono suala la mama kuwa mtumwa kwa baba bali inataka kuwe na usawa kuanzia kwenye majukumu hadi kwenye maamuzi ya kifamilia kitu ambacho kina madhara kwa mwanaume, kwahiyo wanaume ndio hamtaki kukubaliana na hilo suala la mwanamke naye kuwa na maamuzi kwenye familia ila suala la kuwa na majukumu sawa ndilo mnalikubali bila kipingamizi matokeo yake wanawake ndio wanashindwa hizo ndoa maana wanaona kama zitaenda kuwa mzigo kwao, haiwezekani uendelee kumtii mtu ambaye kimajukumu mko sawa yani mwanamke afanye majukumu yake afanye ya mwanaume na bado amtii huyo mwanaume ilihali yeye mwanaume majukumu yake ni machache tu kiuhalisia ni mwanaume mbinafsi au mwanamke mwenye akili za kitumwa tu ndio ataona hilo ni sawa
3. Feminism haisemi chochote juu ya vitu negative wanavyofanya wanawake wa kisasa kwenye jamii more importantly feminist hawana ajenda za kuwajenga wanawake na kuwapa mtazamo chanya wa kijamii, badala yake ukimya wake ni sapoti ya tabia zote za hovyo mfano utoaji mimba,umalaya,udangaji, ulaghai wa mahusiano, kutelekeza watoto walelewe na house girl, wizi wa pesa za wanaume,usagaji,ulevi,ulaji mbaya unaosababisha wanawake kuwa muonekano wa viboko wa katavi na kuathiri hata afya zao za uzazi na kadhalika.
Hapo ukiacha kutoa mimba hayo mengine sijaona ambacho kina madhara makubwa ya moja kwa moja kwa wanawake yani kwa kifupi bado hujanipa madhara, madhara pekee yanayotokana na umalaya ni magonjwa tu na kama nilivyosema magonjwa hayachagui jinsia, kwahiyo kama hoja ni magonjwa basi itabidi mkemee umalaya kwa jinsia zote lakini kwa biasness yenu huwa mnaona umalaya wa wanawake ndio mbaya yote hayo ni kwa maslahi yenu binafsi tu
4. Feminism sio ideology ya kumkomboa mwanamke sababu ukitazama maudhui yake si ya kumkomboa bali kumpa mwanamke harakati ambazo hazina msaada kwenye jinsia yake na mbaya zaidi kumtoa katika ramani ya jamii. Tazama wanawake hawaki nyumbani wanawaachia house girls wakidai wankwenda kutafuta, huko kwenye kutafuta majority wanajenga mahusiano mapya badala ya kushimu ndoa zao na kufanya kazi kama walivyodai wanataka, wakipata mapato hawataki kujenga familia zao wanataka kujitenga na kujijenga binafsi. Sasa hapo mwanamke anakombolewa vipi zaidi anazidi kufutwa kwenye jamii na kuwa kiumbe kisicho na sehemu au role maalumu kwenye jamii.
Hilo suala la wanawake kutoka kuenda kutafuta ukitrace back utagundua lilisababishwa na wanaume kwa sababu ya kuwanyanyasa wanawake kwa kisingizio cha kwamba wanawahudumia na hawana pa kuenda yani mtu anataka akifanya kosa usimuulize eti kisa anakulisha anakuvisha nk, toka zamani wanaume waliwaaminisha wanawake kwamba mamlaka waliyonayo wanaume juu yao ni kwa sababu ya huduma anazotoa mwanaume kwa familia yani ni kama walikuwa wanatuma ujumbe kwamba the one who makes money is the one who makes rules, kwahiyo wanawake wakaelewa kwamba kumbe ili na wao wawe na sauti na maamuzi juu ya maisha yao basi inawabidi nao watoke kuenda kutafuta kwa sababu kiuhalisia suala la mwanaume kumtawala mwanamke siyo nature bali ni social constructs ndio maana wanazaliwa wanawake ambao hawana mentality ya kutawaliwa vinginevyo ingekuwa ni nature basi wanawake wote wangekuwa wanazaliwa na mentality ya kutawaliwa na kusingeibuka wanaopinga hilo
5. Feminism sio idea ya jamii yetu ya kitanzania wala kiafrika ni zao la ma'zionists ambao ndio wale wale wapo nyuma ya movement za LGBTQ, nyumba ya gender reassignment programs na left wings woke agendas mambo ya kishetani yote kwao ni okay so siwezi kushangaa kwann wanafosi hili la feminism afrika ili wawatumie wanawake kama daraja kuzisambaratisha jamii za kiafrika.
Kwanza kabisa usichanganye feminism na lgbt hivi ni vitu viwili tofauti na hata tukifuatilia historia vilipoanzia tutagundua vilianza katika nyakati tofauti na kwenye jamii tofauti feminism ilianzia west na lgbt ilianzia middle east sodoma na gomora, kwa taarifa yako ushoga ulikuwepo toka zamani ni vile tu hakukuwa na mitandao ya kijamii ya watu kujianika hadharani, kusema kwamba feminism na lgbt vinaendana eti kisa tu vyote vinapigiwa chapuo na jamii za magharibi ni sawa na kusema physics na chemistry ni masomo yanayoendana kisa tu yote ni masomo ya science hivyo usifananishe ushoga ambao una madhara kwa wanaume na feminism ambayo haina madhara kwa wanawake
6. Feminism kwa Tanzania kupitia ideology zake imetengeneza masingle mother wengi sana. Sasa sijui kwako kama usingle mother ni mafanikio kwa mwanamke.
Sasa feminism imetengeneza masingle mother kivipi mbona hunyooshi maelezo, si useme tu kwamba feminism imeleta madhara kwa sababu wanaume hawataki kuoa wanawake wenye ideologies za kifemimist sababu hawataki kuwa challenged, which proves my point kwamba feminism ina madhara kwa wanaume wanaiona kama threat ndio maana wanaikataa na kulazimisha ionekane kama ina madhara kwa wanawake
7. Feminism imeteka akili mabinti wengi wa miaka ya 1980 na 1990 na kuwafanya wapoteze muda wao muhimu (prime years from 16 to 26) wakichase dreams na 💰 ili wawe maboss ladies na kujikuta wakiamka kutoka katika usingizi huu wakiwa na miaka 30 kwenda juu,hawajawa maboss lady,broke, no conducive cash flow, hawana anwani,hawana ndoa,hawana familia,hawana mume wala watoto, heshima hawana zaidi ya rekodi chafu ya kubadili vitanda (midfielders wa lodge) wanajua kuta nyingi za lodge kulika kuta za kanisa. Kwa kifupi feminism imewapoteza njia.
Yani bado umerudia kitu kile kile kwa sababu hakuna tatizo lolote katika mwanamke kusoma na kutaka kutimiza ndoto zake ila ninyi ndio mnalazimisha kwamba ndoa ndio iwe ndoto kubwa na kipaumbele cha kwanza cha mwanamke, kana kwamba ni guaranteed kuwa mwanamke akiingia kwenye ndoa basi atakuwa na furaha na amani maisha yake yote kuliko akiamua kufukuzia na kutimiza ndoto zake, kitendo cha wanaume kutotaka kuoa wanawake waliosoma na wanaofukuzia ndoto zao siyo madhara kwa wanawake bali ni ujinga na ubinafsi wa wanaume wenyewe kuogopa kuwa challenged
8. Feminism ni brainwashing scheme inayolenga kutengeneza cults za Wanawake wenye trauma mbali mbali za kimaisha kujikubali na kumshirikisha shetani kama MUNGU wao kwa maana culture ya feminism haiwaruhusu kutumia muongozo wa MUNGU huyu wa Abraham. Watazame mafeminist wengi utaona wana move kama kikundi cha talebanians.
Hayo masuala ya trauma ndio usiongee kabisa maana huwa hayawaaffect wanawake pekee bali hata wanaume, halafu mnachonishangaza huwa hamuongelei haya masuala kwa wanaume kana kwamba wanaume hayawatokei au kwamba wao maisha yao yako perfect yamewanyookea, yani wanaume ni kama mko in denial kwamba ninyi hamna matatizo yoyote kwenye jamii y'all are just okay ila wenye matatizo ni wanawake tu na ndio wanaopaswa kukemewa
9. Feminist wengi hawajui nini maana ya kuwa mwanamke na hii ni matokeo ya hii ideology kuwapumbaza na kuwatoa kwenye reli ya uanamke. By average feminist ukimwambia kulea mtoto anasema ni utumwa,ila atapiga kijijini simu aletewe mtoto wa mwanamke mwenzake aje mjini kumpikia,kumlelea mtoto, kumfanyia usafi wa nyumba nzima,kumtuma dukani mara 100 kwa siku yote kwa mshahara wa 30,000 ambao atamkata 10,000 kwa kosa la kuunguza nyama sababu alikuwa anambeleza mtoto wake mwenyewe na kupitiwa na usingizi ila yeye akaita uzembe. Huyu ndio mkombozi wa wanawake na anajua thamani ya mwanamke au ni feminism imetengeneza vichaa wa jamii wanaokandamiza zaidi uanamke.
Okay kwahiyo wanaume ndio mnajua maana yakuwa mwanamke ni nini yani ninyi ndio mmekuwa wasemaji wa wanawake na ndio mnajua nini kinachowapa furaha wanawake na kipi kinawapa huzuni kuliko wao wenyewe wanavyojijua, hapo nikikuuliza nini maana ya kuwa mwanamke utanitajia mambo ambayo mwanamke akifanya anayepata furaha na kufaidika nayo ni mwanaume lakini utajaribu kutwist uhalisia na kufanya ionekana kama anayepata furaha na kufaidika ni mwanaume kama unabisha nitajie mambo yanayompa furaha mwanamke, halafu nani kakudanganya kwamba mwanamke kulea mtoto ni utumwa mbona unachanganya mambo wanawake wanachoona ni utumwa ni kuwatii na kuwalea hawa wanaume wa sasa ambao hawana msaada wowote kwao lakini hawajawahi kuona utumwa kulea watoto wao ukitoa wale psychopaths wanaotoa mimba au wanaotupa watoto ila hayo mapungufu mengine ni kutokana na pressure tu ya majukumu yanayowakabili
10. Ukiwatazama wanawake mafeminist wengi hawana furaha na hata takwimu zimeshaonyesha hilo. Kinyume na matarajio, feminism iliwaahidi wanawake liberation kwenye maisha nje ya mfumo dume but haikuwaambia kuwa liberation huja na gharama na mizigo na majukumu zaidi. Kujitegemea sio rahisi kwa mtegemezi.
Mimi ninachoona hapa hii ni transition period tu wanawake bado hawajaupokea kikamilifu huu mfumo wa haki sawa ila siku wakiupokea kikamilifu watajiandaa kuanzia kimwili hadi kiakili kuyapokea majukumu ya kulea pamoja na kuhudumia watoto wao peke yao bila msaada wa wanaume, maana wanapofanya haya maamuzi siyo kwamba hawajui au hawaoni matokeo yake wanajua na wanaona ila bado wanafanya hayo maamuzi hii ni maana yake huu mfumo hauna madhara ila ni wanawake wenyewe kushindwa kuupokea na kujiandaa vizuri hivyo ni suala la muda tu, kinachotokea ni kwamba wanaume bado wanawaandama wanawake yani kitu kidogo tu utasikia "tuliwaambia wanawake hamuwezi oneni sasa mnaharibu" hebu wapeni nafasi ya kupumua acheni wafanye mambo yao kwanini mnawaandama sana, nakupa mfano tangu mama samia alipochukua nchi kosa lolote atakalofanya watu wanaanza kumuattack kisa uanamke wake utasikia "tulisema tu wanawake hawawezi", wakati unakuta mambo ambayo kashindwa kuyafanya ni yale yale ambayo wanaume watano walioongoza hii nchi kwa miaka 60 toka ipate uhuru nao walishindwa kuyafanya ila hakuna aliyesema wanaume hawawezi lakini wanategemea huyu mama ayafanye ndani ya miaka michache tu ya uongozi wake
Wanawake wasasa wanahangaika kama mtu aliyelala chumba chenye joto kali huku akiutafuta usingizi kwa kujipepea na gazeti.

Akijipepea usingizi unakuja, usingizi ukikolea mkono unaacha kujipepea anastushwa na joto,and the cyle continues. Maisha ya mwanamke na mwanaume ni mwanamke kulala huku mwanaume akipepea asikatishe usingizi wake hadi kukuche.

Feminism ikawa danganya na ndio maana saa hii mnaomba hela sana kwasababu you are out here on your own wanaume wamestuka hawataki kutumika kama ATM mkiwa na shida mnakuja na vichanjio kudraw hela ambazo hamkuweka.
Mimi naona wanaume bado hamjastuka ndio maana tunaona bado kuna wimbi kubwa la wanawake wanaojiona bado wana haki ya kupewa hela na wanaume na hawa ndio wanaokwamisha feminism na kuifanya ionekane ina lengo baya, ndio maana tunawaambia wanaume kama kweli ninyi ndio mnaumia na haya yanayoendelea kwenye jamii na mnataka jamii ibadilike basi anzisheni ninyi mabadiliko kwa vitendo na si kwa maneno tatizo mkiambiwa ndio mnasingizia eti haya yanayoendelea yana madhara kwa wanawake ilihali mnaona wanawake wenyewe hawajali mnaoumia ni ninyi, kama mnataka wanawake waache umalaya na udangaji acheni kuwapa hela wakiwaomba kataeni kwani watawafanya nini pia kama hamtaki wanawake waendelee kufanya biashara ya kujiuza acheni kununua makahaba siku zote biashara ikikosa wateja itakufa tu yenyewe sasa mlivyo wanafiki leo hii akijitokeza mtu akaiambia serikali iwe inakamata makahaba inatokea mijitu inatetea na ni mianaume inasema eti hiyo biashara ni kongwe haiwezi kufa kirahisi wengine wanasema makahaba waachwe maana wanaokoa ndoa zao halafu hao hao wanarudi tena kuja kusema wanawake wameharibikiwa hawafai kuolewa hivi sijui kama unaona tatizo lilipo
11. Feminism ideology imewacorrupt watoto wa kike kuamini kuwa wao ndio wenye maamuzi ya mwisho ya miili yao to the point kwamba wanafanya vitendo vyenye irreversible side effects in the name of "my body my choice". Kutoa mimba, kulala na wanaume wengi kunakosababisha mangojwa makali ya STDs,kuingiliwa kinyume na maumbile kiasi kwamba inavuruga utaratibu wa kujifungua kawaida na matokeo yake wanatumia operation delivery na kulimit kiwango cha watoto mwanamke anaweza kutengeneza na mwanaume.

Madhara ni mengi, unajitoa ufahamu tu hapa
Yani bado hujanitajia madhara ya moja kwa moja ya feminism kwa wanawake narudia ulichonitajia ni madhara ya feminism kwa wanaume ambayo ndio yamesababisha wawe na hasira dhidi ya wanawake na kuamua kuwakomoa na kuwaharibia maisha kwa kisingizio kwamba watakaoteseka ni wao kisha mnasema hayo ni madhara kwa wanawake, lakini mwisho wa siku tunakuja kuona hamjawakomoa wao bali tena mnakuta mmejikomoa wenyewe yani mnajipa moyo kwamba mtakuja kuoa mabikira maana ni wengi sana na wako wanasubiri kuolewa tu hawawazi mambo mengine mwisho wa siku mkija kustuka usingizini mnakuta walio tayari kuolewa ni hao hao wanawake mlioruka nao kwenye foolish age mkidhani mnawakomoa, na mwisho wa siku ndio mnakuja kuoa hao hao halafu mkiambiwa muwe sehemu ya hayo mabadiliko kwenye jamii kwa kuacha kuchezea wanawake mnashupaza shingo mnajidai vidume kisha mambo yakiharibika ndio mnajifanya mnaumizwa na mmomonyoko wa maadili kwenye jamii na kuja kujilalamisha mitandaoni in the name of kukemea kwamba wanawake hawajiheshimu hivyo hawafai kuolewa na wanaume inabidi waoe mabikira au wakatae ndoa.. pathetic!!
 
Kabisa. Mtu anazaliwa hajawahi kuona baba na mama wakiwa pamoja. Hajawahi kuexpirience mahusiano ya upendo wa wazazi. Anakuwa na mfano mbaya kichwani.

Anakuwa mtu mzima anashindwa kujenga mahusiano mazuri na jinsia ya kiume kwasababu alifeli kuelewa maana ya mwanaume na mwanamke kuishi pamoja ina takiwa kuwaje na kwa malengo gani.

Matokeo yake anajikuta ana manga manga na wanaume tofauti sababu ana insecurities kichwani ila anajiona sawa.

Sasa ni kundi gani ambalo akikaa wanaelewana ni mafeminist. Hapo ndipo sehemu atakaa kutema sumu kuponda ndoa kuwa ni jambo baya na hakuna faida kwa mwanamke kuolewa wala kuwa mume kwenye maisha ila atakaa kimya kuhusu wanawake kudanga,kujiuza, kutoa mimba, kuharibu ndoa zao. Huko kote atakaa kimya.

Ila akisikia mwanamke amekorofishana na mume wake,mfano manara au Dk mwaka,huyoooo kashaenda Facebook, Instagram live na TikTok live kuwaambia mabinti kuwa si mnaona sasa nikiwaambia ndoa hazifai.

Mfano hai ni lile jinga Joyce Kiria.
Lakini pia wapo wasichana wanaoogopa ndoa kutokana na maisha waliyopitia kutokana na ndoa za wazazi wao. Wameona Mama zao walivyokuwa wananyanyasika na kuteseka.
 
Kwa hiyo kumbe wanawake wa siku hizi wana akili ndo maana wamekuwa wazinzi, masingo mother na wamekuwa na viburi ,hizo ndo akili unazo ziongelea?

Kama una watoto wa kiume subiri wakue wakutane na mijambazi iliyo lishwa mawazo ya kifenist iwapige matukio ndo utaelewa ubaya wa hawa wapuuzi.
Oohh kwahiyo kumbe kuwa mzinzi ni kutokuwa na akili kwahiyo na wanaume wazinzi kama ninyi nao hamna akili si ndio, najua utakuja na zile porojo zenu za oo mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaume kama ni hivyo sasa hao wanawake wanazini na kina nani, kama mwanaume na mwanamke hawako sawa basi kila jinsia itafute viumbe wengine wa kuzini nao halafu ndio mje ya logic ya kipuuzi kama hiyo
 
Lakini pia wapo wasichana wanaoogopa ndoa kutokana na maisha waliyopitia kutokana na ndoa za wazazi wao. Wameona Mama zao walivyokuwa wananyanyasika na kuteseka.
Wakapate matibabu ya akili yaani therapy. Mbona vituo vya hizo tiba vipo na sio gharama.
 
Aliye kuoa amepata hasara kubwa mno. Na kama hujaolewa, hitaplara wa kukuona kisha mkadumu.

Pole sana.
Acha kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu, aliyekuambia nahitaji sympathy yako ni nani ewe nabii feki na mwanasaikolojia uchwara, kwamba wewe ndio unanijua vizuri kuliko mimi mwenyewe na wanaonizunguka
 
Kwanza ifahamike kwamba neno feminism lina tokana na neno feminine ambalo ukiperuzi maana yake utakuta ni “having characteristics that are traditionally thought to be typical of or suitable for a woman” na pia utaweza kukutana na maana ikisema “describes qualities, appearances, or behaviours typically associated with women or girls”. Katika hizi maana mbili utaona kwamba neno feminine (adjective) ambalo linatokana na jina (noun) Female limelenga kumtambulisha mwanamke kwa sifa zake za kike kinyume na shughuli za mafeminists wengi wa hovyo kama Jadda et al ambao humtambulisha mwanamke kwa sifa za kiume.

Ukiingia mtandaoni ukatazama maana ya neno “feminist’ na “Feminism” utakutana na maneno kama haya: “a feminist is someone who supports equal rights for women” au “a feminist is a socio-political movement advocating for the equality of the sexes, believing modern societies are patriarchal and unjustly treat women.

Kwa mtu mwenye utimamu wa akili akitazama tu hizi maana yaani maana ya neno jina na neno kitendo haviendani hata kidogo. Yaani kwa asili neno female lina maana ya “wa kike” au “ya kike” lakini iweje tena movement yake yaani feminism iseme ni harakati za kumfanya mwanamke alingane na mwanaume na kuacha asili yake kudai haki za kiume, sawa na mwanaume bila kutumikia au kuwa na wajibu sawa na mwanaume? Make this make sense ndugu zanguni. Ni kichaa tu ambaye ataona hili jambo limekaa sawa sawa na hallina dosari yoyote ya kimantiki.

Hivi kama wanajamii tumeshawahi kujiuliza maswali magumu kama ni haki zipi ni za mwanamke? Au tuhoji hivi, mwanaume ana haki zipi za kimsingi na mwanamke ana haki zipi za kimsingi?

Je, kama mwanaume anapendelewa kihaki je, anapendelewa katika maudhui yapi ambayo mwanamke anaminywa?
Hivi tumeshawasikiliza kwa umakini wanawake wanacholalamika na matakwa yao (sio mahitaji) then kuwatazama wanachokifanya katika uhalisia wakishapewa fursa wanazotaka?

Mimi siungani na hii movement na nina ipinga kama movent haramu kwenye jamii na yeyote anayeisapoti pia anakuwa ni haramu katika hii jamii kushinda hata dawa za kulevya maana dawa za kulevya hazijaleta madhara mabaya kushinda feminism ndani ya muda mfupi.
Unawezaje kuwa na harakati batili inayojinasibu kuwa ipo kulenga kumtetea na kumkomboa mwanamke ila kiuhalisia ime target kushape akili za wanawake kuwa negative katika jamii yao na kuwageuza kuwa kansa ya kuiharibu jamii hiyo hiyo huku kikiacha u’hovyo wa kila aina.
Hebu mtu aniambie faida za feminism na matokeo yake tokea imekuwa introduced miaka ya 1990s?

Ni muda sasa kutambua feminism kama harakati haramu kwa jamii na tuanze kuikemea kwa nguvu zote.

Nimeona pale chou kikuu UDSM wame introduce masomo ya femism ili kuwajaza ujinga mabinti na vijana wetu ambao wanakwenda kupewa elimu ya kuikomboa jamii yao na sio kuigawa katika makundi ya jinsia.

Kama tutaendelea kukaa kimya then tutarajie maasi zaidi kama yanayotokea huko mataifa ya magharibi kama USA, CANADA na United Kingdom ambayo kwasasa yanapitia mvurugiko mkubwa sana wakijamii kwasababu ya uzembe wa kuendekeza ideology za kipumbavu kama feminism katika jamii zao na matokeo yake zimeparanganyua kabisa ustawi na jamii sasa haieleweki ina uelekeo upi.
nashangaa wanawake wakisema equal Rights Hivi Michael Jordan angecheza Women Basketball pasingekuwa na ushindani .... Iko hivi mwanaume anazo Kazi zake mwanamke hafanyi na Mwanamke anakazi zake mwanaume afanyi Period,
 
Ukitaka kumkamta huyo jadda usijaribu ku attack uanamke na kasoro unazoziona kwao isionekane Kama unachukia wanawake au nawewe radical Kama yeye,anavyoongea Kama anachukia wanaume,is it personal?? anyway shambulia ideology...
Wakapate matibabu ya akili yaani therapy. Mbona vituo vya hizo tiba vipo na sio gharama.
 
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
ungependa Uwe Na Equal rights gani??? kama michezo mnayo mnashindana na wanawake wenzenu kama ajira mnaajiriwa tatizo likowapi? samia sio Female?? Mpaka sasa sielewi wanataka wachezee mpira ligi ya wanaume ama wanataka Kupewaa Vipande watembee navyoo
 
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
Unataka na wewe uwe Na Kipande katikati ya mapaja?Au ni Rights gani hujapewa mpaka pawe na feminism movement?
 
Wakapate matibabu ya akili yaani therapy. Mbona vituo vya hizo tiba vipo na sio gharama.
Nani kakwambia wana matatizo ya akili? Kwa sababu hata wewe unavyolalamika hapa kuna watu wanaweza kuona hivyo hivyo kwa upande wako.
 
Unapozungunzia masuala ya feminism, na drama zingine zihusuzo, acha kuingiza ushoga au mashoga, hawahusiki na hilo kabisaa.
Kwani lazima kuoa au kuolewa? Au lazima unachotaka wee ndo na wengine wafanye? Em stick na life lako bhana, kutwaa kujaza server na hizo essay zako, na bado hao unao wapigania hawakuelewi.

Wee si utafute mwanamke unayeona anakufaa ishi nae, hawa wengine waache wajipambanie wenyewe, wee vipi?
Zungumzia masuala uyatakayo, ila usihusishee ushoga kabisaa, khaaaaah.
Typical feminist single mother with two kids from four different fathers, of which two of the fathers ni wa kubambikiziwa yaani.....😂😂😂
 
Sasa unachobisha ni nini kwanza hebu niambie bikira ina faida gani ya moja kwa moja kwa mwanamke mwenyewe bila kumhusisha mwanaume naomba unijibu hapa kwanza,
Aibu nimeona mimi kwa hii kauli yako hapa. Sijui kama wazazi wako wamekufunza neno la MUNGU hata kidogo na nina wasi wasi kama hata unakumbuka mara mwisho ni lini ulijiconnect na muumba. Hadi umri huo ulivyo haujui faida za bikra kwa mwanamke unataka mimi mwanaume nikwambie kweli? 😂😂😂

Sasa umeprove point yangu kuwa watoto wakike wa sasa hawana elimu sahihi kuhusu uanamke kiasi kwamba kitu umezaliwa nacho ila haujui faida yake ina maana hata mama yako haujawahi keti nae chini akakuelezea kwann umezaliwa na bikra na ina maana gani. Hivi wewe Jadda sio Tomboy wewe?🤔 Ila nitakupa tu faida zake kwa uchache ili uondokane na akili za kishetani kichwani mwako.

1. Bikra kwanza ni taarifa kwenye akili yako kama mtoto wa kike kuwa haujawahi kutana na mwanaume kimwili so ukisema kwa mwanaume unampenda hata mapigo yako ya moyo yana nata na biti la maneno yako. Wewe hapo kwasasa ukimwambia mwanaume unampenda kichwani zinakujia sura za wanaume ulio lala nao previously zikisema "Muoongoooo huyo Muoongoooo huyu bro usimsikilize"

2. Mwanamke bikra ni ngumu sana kukutana na magonjwa ya zinaa sababu hajajihusisha na ngono. Sema ukweli,wewe hadi umri huo haujawahi kutana na STDs hadi ukajiuliza kuwa "Hii sijatoa kwa fulani kweli hii"

3. Mwanamke bikra topic za mimba na usingle mother hazimhusu. Kiakili hii inamuweka kwenye utulivu. Unaweza kuona wewe akili yako namna inaprocess mambo negatively na unapatwa hasira ukiona ukweli unasemwa kwasababu deep inside unahisi unasemwa. Ungekuwa bikra hakuna mwanaume ungemuona mbaya kwa kuwasema wasimbe kama wewe. Ungepita bila kuumia.

4. Mwanamke bikra nadra sana kuwa na changamoto za afya ya akili ambazo nyingi hutokana na muingiliano wa kimwili na mwanaume zaidi ya m'moja. Tayari hili unaweza ona kwako mfano hai,yaani tayari una wrong mentality juu ya wanaume na haupo kwenye ndoa wala haujawahi ishi maisha ya ndoa. But kuonja bolo kumekuponza leo una akili kama mjane wa mtalikiwa wa miaka 50.

5. Thamani ya mwanamke bikra ni tofauti na aliyeingiliwa kabla ya ndoa. Hapo wewe unashindwa kujenga mahusiano imara na wanaume sababu machoni pao ni used product unashikwa na kuachwa kama embe. Unajiskia vizuri kuhusu hilo? Siku mtoto wako akikuuliza "Mama hivi baba ndio mwanaume wako wa kwanza" kama ni bikra,utamjibu kwa furaha sana na utajiskia fahari ya kike kumhadithia mtoto wako namna ulivyokutana na baba yake. Ila kama ndio used, mtoto akikuuliza unaweza kumlamba kofi ukaona anakukosea adabu. Kumbe unaona aibu na fedheha ukikumbuka namna ulipigwa pumbu na wanaume tofuti kisha ukapata fala wa kukuoa badae ndio ukazaa nae. Unaanzaje kumhadithia mtoto uchafu wako?😂
 
Uko sawa wee?

🤣🤣🤣,we jamaa utakuwa ni muhafidhina,mnapopingana ni padogo tu mkuu,"AGENDA ILIKUWA MBAYA TANGU ZAMANI ILA ILIANZA KWA SURA NZURI",kakupa na mifano mingi tu,wakoloni kuja kama marafiki badae wakabadilika,Kwa kifupi "unamfuga mbuzi na kumtunza vizuri sio Kwa sababu unampenda,hapana,ila kusudi uje umle nyama siku ya idi"
Nakubaliana na wewe, walioibeba agenda hii hawakujua kilichomo ndani, leo wanaelezwa kilichomo ndani ya agenda hii wanakuja na utetezi usio na kichwa wala miguu, kuongezeka kwa talaka ni athari zilizoletwa na ufemanisim wanawake wamejazwa kiburi na jeuri juu wanaume, feminists ndio wanao sukuma agenda za ushoga lengo ni kumdhalilisha mwanaume, wamfeminist wengi ni wasimbe waliokubuhu waliojaa jeuri na kiburi wanapoongea na wanaume.
 
Madhara ya feminism kwa wanawake ni kitu cha kuuliza kweli na tunaongea kila siku hapa? Ngoja nikuwekee hapa shida ipo wapi.
Feminism na feminist wameleta changamoto zifuatazo kwenye jamii yetu.

1. Ideology ya feminism imeharibu akili ya mwanamke wa kisasa wa kitanzania kuamini anatakiwa ajipambanie yeye mwenyewe na si jamii yake,si watoto wake wala wanawake wenzao. Hii tayari imeshamfanya mwanamke anayefuata u feminist kuwa chizi fresh wa jamii. Tazama hawa wa marejesho na michezo ya upatu wa kila siku mtu anatoka au kausha damu utanielewa.

2. Feminist na feminism haiungi mkono swala la familia ya baba mama na watoto,ina wafundisha wanawake kuamini kuwa maisha yao binafsi ndio kipaumbele so akipata watoto ajenge familia ya single mother households ambaye technically ni kinyume na vitabu vya dini,lakini pia inakinzana na malengo ya ustawi wajamii wa ujenzi wa taifa bora.

3. Feminism haisemi chochote juu ya vitu negative wanavyofanya wanawake wa kisasa kwenye jamii more importantly feminist hawana ajenda za kuwajenga wanawake na kuwapa mtazamo chanya wa kijamii, badala yake ukimya wake ni sapoti ya tabia zote za hovyo mfano utoaji mimba,umalaya,udangaji, ulaghai wa mahusiano, kutelekeza watoto walelewe na house girl, wizi wa pesa za wanaume,usagaji,ulevi,ulaji mbaya unaosababisha wanawake kuwa muonekano wa viboko wa katavi na kuathiri hata afya zao za uzazi na kadhalika.

4. Feminism sio ideology ya kumkomboa mwanamke sababu ukitazama maudhui yake si ya kumkomboa bali kumpa mwanamke harakati ambazo hazina msaada kwenye jinsia yake na mbaya zaidi kumtoa katika ramani ya jamii. Tazama wanawake hawaki nyumbani wanawaachia house girls wakidai wankwenda kutafuta, huko kwenye kutafuta majority wanajenga mahusiano mapya badala ya kushimu ndoa zao na kufanya kazi kama walivyodai wanataka, wakipata mapato hawataki kujenga familia zao wanataka kujitenga na kujijenga binafsi. Sasa hapo mwanamke anakombolewa vipi zaidi anazidi kufutwa kwenye jamii na kuwa kiumbe kisicho na sehemu au role maalumu kwenye jamii.

5. Feminism sio idea ya jamii yetu ya kitanzania wala kiafrika ni zao la ma'zionists ambao ndio wale wale wapo nyuma ya movement za LGBTQ, nyumba ya gender reassignment programs na left wings woke agendas mambo ya kishetani yote kwao ni okay so siwezi kushangaa kwann wanafosi hili la feminism afrika ili wawatumie wanawake kama daraja kuzisambaratisha jamii za kiafrika.

6. Feminism kwa Tanzania kupitia ideology zake imetengeneza masingle mother wengi sana. Sasa sijui kwako kama usingle mother ni mafanikio kwa mwanamke.

7. Feminism imeteka akili mabinti wengi wa miaka ya 1980 na 1990 na kuwafanya wapoteze muda wao muhimu (prime years from 16 to 26) wakichase dreams na 💰 ili wawe maboss ladies na kujikuta wakiamka kutoka katika usingizi huu wakiwa na miaka 30 kwenda juu,hawajawa maboss lady,broke, no conducive cash flow, hawana anwani,hawana ndoa,hawana familia,hawana mume wala watoto, heshima hawana zaidi ya rekodi chafu ya kubadili vitanda (midfielders wa lodge) wanajua kuta nyingi za lodge kulika kuta za kanisa. Kwa kifupi feminism imewapoteza njia.

8. Feminism ni brainwashing scheme inayolenga kutengeneza cults za Wanawake wenye trauma mbali mbali za kimaisha kujikubali na kumshirikisha shetani kama MUNGU wao kwa maana culture ya feminism haiwaruhusu kutumia muongozo wa MUNGU huyu wa Abraham. Watazame mafeminist wengi utaona wana move kama kikundi cha talebanians.

9. Feminist wengi hawajui nini maana ya kuwa mwanamke na hii ni matokeo ya hii ideology kuwapumbaza na kuwatoa kwenye reli ya uanamke. By average feminist ukimwambia kulea mtoto anasema ni utumwa,ila atapiga kijijini simu aletewe mtoto wa mwanamke mwenzake aje mjini kumpikia,kumlelea mtoto, kumfanyia usafi wa nyumba nzima,kumtuma dukani mara 100 kwa siku yote kwa mshahara wa 30,000 ambao atamkata 10,000 kwa kosa la kuunguza nyama sababu alikuwa anambeleza mtoto wake mwenyewe na kupitiwa na usingizi ila yeye akaita uzembe. Huyu ndio mkombozi wa wanawake na anajua thamani ya mwanamke au ni feminism imetengeneza vichaa wa jamii wanaokandamiza zaidi uanamke.

10. Ukiwatazama wanawake mafeminist wengi hawana furaha na hata takwimu zimeshaonyesha hilo. Kinyume na matarajio, feminism iliwaahidi wanawake liberation kwenye maisha nje ya mfumo dume but haikuwaambia kuwa liberation huja na gharama na mizigo na majukumu zaidi. Kujitegemea sio rahisi kwa mtegemezi.

Wanawake wasasa wanahangaika kama mtu aliyelala chumba chenye joto kali huku akiutafuta usingizi kwa kujipepea na gazeti.

Akijipepea usingizi unakuja, usingizi ukikolea mkono unaacha kujipepea anastushwa na joto,and the cyle continues. Maisha ya mwanamke na mwanaume ni mwanamke kulala huku mwanaume akipepea asikatishe usingizi wake hadi kukuche.

Feminism ikawa danganya na ndio maana saa hii mnaomba hela sana kwasababu you are out here on your own wanaume wamestuka hawataki kutumika kama ATM mkiwa na shida mnakuja na vichanjio kudraw hela ambazo hamkuweka.

11. Feminism ideology imewacorrupt watoto wa kike kuamini kuwa wao ndio wenye maamuzi ya mwisho ya miili yao to the point kwamba wanafanya vitendo vyenye irreversible side effects in the name of "my body my choice". Kutoa mimba, kulala na wanaume wengi kunakosababisha mangojwa makali ya STDs,kuingiliwa kinyume na maumbile kiasi kwamba inavuruga utaratibu wa kujifungua kawaida na matokeo yake wanatumia operation delivery na kulimit kiwango cha watoto mwanamke anaweza kutengeneza na mwanaume.

Madhara ni mengi, unajitoa ufahamu tu hapa
Hata pa kuanzia sina. Haujui unachoandika. Ni upuuzi kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Bila shaka wewe ni incel na ni mtu wa kuonewa huruma.

Amandla...
 
Feminist ideology haikuanza jana au juzi. Imeanza kitambo tu. Lakini kwanza tuelimishane kuhusu misamiati inayotumiwa ovyo ovyo.
1. Tomboy haihusiani na lesbianism ( wasagaji n.k.). Tomboy ni msichana anaependa kucheza na wavulana kuliko wasichana wenzake. Anakwea nao miti, anacheza nao mpira. Mara nyingi hata nguo anapenda za kiume kama kaptura ( utapandaje mti na gauni?). Lakini hawa ni wasichana na mara nyingi wakibalehe wawatamani wavulana ingawa unaweza kukuta bado marafiki zake wengi ni wavulana.
2. Gender Dystopia haihusuani na ushoga. Gender Dystopia ni pale mtu anapoona jinsia yake haiendani na ile aliyozaliwa nayo. Kama ni msichana anajiona kama mvulana ( sio tu kupenda kucheza nao kama Tomboy bali anajiona kabisa kuwa ni mvulana). Hawa huwa wanazichukua organ alizozaliwa nazo. Kama ni msichana, atafanya kila njia kuyaficha. Hawa ndio ikifika wakati muafaka wanabadilisha kabisa jinsia zao kuwa ile ambayo anaona inamfit zaidi.
3. Homosexual ni yule anavutiwa kimapenzi na kingono wale wenye jinsia yake. Homosexual hataki kubadili jinsia na anajitambua kwa jinsia aliyozaliwa nayo lakini anavutiwa na wale wa jinsia yake. Shoga anavutiwa na wanaume wenzake na wasagaji na wanawake wenzake. Elton John, George Michael ni mfano wa mashoga.
4. Bi-sexuals ni wale ambao wanavutiwa na wanaume na wanawake. Hawa wanaweza hata kuoa au kuolewa lakini bado akawa na mahusiano na watu wa jinsia yao. Ni tofauti na wale ambao Marekani wanaitwa DL ambao wanaficha kuwa wanavutiwa na watu wa jinsia yao kwa kuhofia hukumu ya jamii. Utakuta wanaume wako kwenye ndoa lakini ana uhusiano wa siri na mashoga. Au mwanamke ameolewa lakini anasagana kwa siri. Hawa wako wengi katika jamii.
5. Transvestites ni wale wanaopenda kuvaa nguo za jinsia nyingine. Ingawa wengi wanakuwa homosexuals lakini sio wote. Majina yao mengine ni cross dressers au drag queens. Rupaul ni Drag Queen maarufu.

Amandla...
 
Feminism iliibuka baada ya wanawake kugundua kuwa wananyimwa fursa nyingi na hawatendewi haki kwa kisingio kuwa ndio stahili ya jinsia yao. Kwamba wao wameletwa duniani kuwahudumia wanaume na kuwazalia watoto ambao hana mamlaka nao.

Wanawake wengi walikatazwa kusoma kwa sababu elimu itawaharibu. Hata shuleni waliaminishwa kuwa akili zao haziwezi kumudu masomo magumu kama hesabu na sayansi. Wao waliambiwa wajikite katika mapishi, kushona nguo, kulea watoto na kupamba nyumba ili wame zao wasiadhirike. Wasichana kama Marie Curie ilibidi wafanye kazi ya ziada kuonyesha kuwa ki akili amewazidi wanawake wengi. Wanawake waliambiwa kuwa wao taaluma yao ni unesi, udaktari wawaachie wanaume. Feminists walipinga hii na kusema kuwa wanawake wanaweza kufanya karibu kazi zote wanazofanya wanaume.

Vita Kuu za Dunia ndio zilithibitisha ukweli wa madai yao maana wanawake ndio waliofanya kazi viwandani na kwengine wakati wanaume wameenda vitani.

Uvumbuzi mwengine uliowasaidia Feminists ni vidonge vya kukinga mimba maana wanaume walikuwa wanatumia uzazi wao kama kisingizio cha kuwanyima fursa. Hatuwezi kukuajiri katika nafasi hii maana kuna miezi utashindwa kufanya kazi kutokana na uja uzito na kulea watoto.

Vidonge viliwawezesha wanawake kuweza kuchagua wakati muafaka wa kuzaa. Ikumbukwe pia kuwa kuzaa kwa mara mara na katika umri mdogo unawaathiri sana wanawake. Hao wanaobezwa kuwa ni single mothers mara nyingi ni kwa sababu wanaume hawakutimiza wajibu wao wa kuwasaidia kulea watoto waliozaa pamoja.

Aidha, mara nyingi wasichana wanakataa kuwataja waliowapa uja uzito kwa kutotaka kuwaharibia maisha.
Kitu kingine ambacho Feminists walileta ni haki ya mwanamke kupiga na kupigiwa kura. Hata Ulaya wanawake walikuwa hawana haki ya kupiga kura.

Kwa hapo kwetu Feminists ndio wako mstari wa mbele kuhakikisha wajane na watoto wa kike hawadhulumiwi urthi wao. Wanapigania pia haki ya kukataa kutembea na mtu kwa sababu ama anakulipa mshahara, ni bosi wako au amekununukia bia. Wanapigania haki ya vifaa vya hedhi kupewa priority ili hedhi isiwe changamoto kwao kupata elimu, kushiriki michezo n.k.

Ni mpumbavu tu ndio atawatukana Feminists. Mara nyingi watu wanaofanya hivyo ni wale ambao wanakataliwa na wanawake wa kiwango fulani. Hali inaweza kuwa mbaya sana kwa sababu ufaulu wa wanawake unaukaribia na wakati mwingine unazili ule wa wanaume.

Amandla...
 
Sasa unachobisha ni nini kwanza hebu niambie bikira ina faida gani ya moja kwa moja kwa mwanamke mwenyewe bila kumhusisha mwanaume naomba unijibu hapa kwanza
Kuna maswali ukiuliza ni kama unapima kuona mtu atakujibu nini ila unafahamu wazi kuwa majibu ni yapi.
Wewe kama mtoto wa kike kukosa elimu ya kwann una bikra ni hasara ambayo jamii haitakiwi kufumbia macho kamwe.
bikira ina faida kwa mwanaume sababu huwa mnakiri wenyewe kwamba inamfanya mwanaume aone fahari kuwa wa kwanza na wa pekee kwa huyo mwanamke,
So kwako hilo ni jambo baya mwanaume kujiskia fahari kuwa na mwanamke msafi wa kimwili na tabia?
hata suala la mwanamke kuchepuka halina madhara ya moja kwa moja kwa mwanamke (ukitoa magonjwa ambayo hayachagui jinsia) tofauti na jamii inavyolichukulia, bali ni mwanaume ndio hujiona ameshushiwa heshima na uanaume wake kwa kuoa mwanamke ambaye wanaume wengi wamemvua nguo,
Wanawake ndio wateseka zaidi na zinaa kuliko wanaume. Magonjwa ya zinaa yaishi kwa wanawake zaidi kuliko wanaume hiyo kama ulikuwa haufahamu ujue.

Wanawake kwa kila mwanaume anayefanya nae mapenzi analoose sexual drive kwa mwanaume anaefuata kwasababu hajaumbiwa kufurahia kwa kuingiliwa na wanaume wengi. Mwanaume kwa kila mwanamke anayetomba anapata experience inayomfanya kuwa vema kwa mwanamke anayefuatia. Na akija oa anaoa wanawake wachanga yaani wadogo kuliko aliopita nao.
Subiri ufike 40 utaelewa.

Ndio mwanaume hujiskia kushushiwa heshima then nini hutokea kwa mwanamke sasa? Mwanaume akioa mwanamke mpya anayejiheshimu huyu aliyemuacha nani anachukua na hapo kila mtu anajua kuwa alikuwa mke wa mtu akazingua?🤔
kwahiyo mnapopiga hizi kelele inatoa taswira kwamba mnachopigania hapa ni heshima yenu na uanaume wenu tu na si kingine chochote ila mmejificha kwenye mwamvuli wa ustawi wa jamii na porojo nyingine
So mfano wewe ukitoka nje umevaa kimini mume akakukataza anafanya hivyo kwa faida yake au ya kwako pia? Shida ni nini kwenye akili yako wewe mbona unawaza kama mtoto wa miaka 12?😂
Ulichojibu hapa kinazidi kuthibitisha una uwezo mdogo wa kuelewa mada na kuchanganua hoja sasa ni wapi mimi nimesema kwamba jamii ya sasa ni bora kuliko jamii ya zamani,
Umesema wanaume wanapigania wanawake wa sasa kwa mitazamo ya 1947 meaning kwamba wanataka wanawake wa sasa warejee maisha na mitazamo ya kipindi cha 1947. Ukikataa maana yake ni kwamba jamii ya miaka ile ni bora kuliko jamii ya sasa, why sasa tena unakanusha maneno yako?
mimi nimesema acheni kutumia propaganda za mwaka 47 kuwadanganya wanawake kwamba mnawapigania wao na jamii ilihali mnajipigania ninyi wenyewe
Kutaka wanawake wastaarabike wasidange,walee watoto wao wenyewe,washikamane na wanaume,watumikie ndoa zao na kuheshimu misingi ya ndoa ndio unaita wanaume kujipigania wenyewe?
wanawake wa zamani hawakuwa na elimu ndio maana walikuali huo uongo wenu ila hawa wa sasa wameelimika wanahoji kwenye kila kitu,
Elimu ipi,hii ya chuo kikuu? Unaweza nambia ni kwa namna gani degree ya HR, CPA, degree ya engineering,udaktari, Degree ya Business Administration inatumika katika maisha ya ndoa? Unaweza kunipa application ya elimu hata ya form six namna inatumika kusolve changamoto za ndoa na familia?

Au unashindwa kukiri kuwa hujui kuwa kuna elimu ya ndoa ambayo haina uhusiano na masomo yanoyotolewa UDSM na vyuo vingine vikubwa?
mfano zamani wanawake walikuwa brainwashed kwamba kukeketwa ni kwa faida yao wenyewe hivyo wakawa wanaona fahari kukeketwa lakini baada ya jamii kuelimika ikaja kugundulika kumbe ilikuwa ni kwa faida ya waume zao (wasisalitiwe) ila wanaume walifanya ionekane kama ni faida kwa wanawake ili wanawake waikubali hiyo mila kirahisi.
Kukeketa haijawahi kuwa wala haitakuja kuwa maagizo ya mwanaume. Ile ni matrilineal practice ambayo hufanyika kama sehemu ya mila za baadhi ya makabila kudhibiti hisia kwa mwanamke ili asitoke nje ya ndoa. Hufanywa na wanawake kwa wanawake,sijui ni wapi uliambiwa wanaume wanahusika?

Ila ni kawaida yenu mafeminist kutaka kila baya mwanaume awajibike ila mazuri msifiwe. Utasikia "nyuma ya kila mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke". Ila mkisha zaa na kuwa masingle mother sababu ya umalaya mnasema mwanaume ndie chanzo na sababu sio umalaya wenu.

Na hili la kukeketa ambalo hufanywa na kamati za wanawake unasema wanaume ndio sababu why unakuwa mpotoshaji hivi?
Duuh yani gazeti lote hili nikajua umekuja na hoja mpya na za maana kumbe ni zile zile porojo zako za siku zote tena points nyingi hapo umerudiarudia kitu kile kile, yani mimi siku zote kukuelewesha kote kule nikajua huwa unajifunza na unaelewa kumbe yanaingilia huku yanatokea kule, yani badala ya kuniletea madhara ya feminism ya moja kwa moja kwa wanawake unaniletea madhara ambayo yanasababishwa na wanaume kushindwa kukubaliana na hali
Hapa sidhani kama ninatakiwa kujibu kitu maana umeandika paragraph ndefu ila maudhui ni lawama tu na kubeza. So hapa sina cha kujibu.
Ni nani kakudanganya kwamba wanawake hawawapambanii watoto wao hivi kwa akili ya kawiada tu kati ya wanaume na wanawake ni kina nani wanaoongoza kuwapambania watoto na kuwaweka kama kipaumbele chao,
Ukisema kupambania maana yake ni kuna vita. So unampambania mtoto dhidi ya kitu gani kinachomshambulia?

Ishara ya kwanza kuonyesha kuwa kuna tatizo ni kufosi baba mtoto/watoto asiwepo katika maisha ya mtoto/watoto kwa kuweka mazingira magumu kwake kuwafikia watoto halafu kumfosi alipie bills za watoto kwa mambo ambayo hakushiriki kupanga ili asuse akuache uwalee mwenyewe halafu ugumu wa kazi ya kulea watoto ukupe kichaa uanze kuwatemea watoto sumu za changamoto zako huku ukimlaumu baba yao na kuwaambia hafai eventually kuwapa watoto trauma ambazo hazina ulazima, hiyo ndio kuwapambania? Wewe sio mzima kichwani.
katika watu ambao wanaongoza kujali wazazi, watoto, ndugu na jamaa ni wanawake zamani wazazi walikuwa wanajivunia kuzaa watoto wa kiume ila siku hizi wanajivunia kuzaa watoto wa kike maana wanasema watoto wa kike hata wakiolewa huwa hawasahau nyumbani,
Sawa inaweza kuwa kweli so tutengeneze sheria ambayo itasema kuanzia leo watoto wa kike ndio watoto sahihi wa kiume ni changamoto au unapendekezaje? 🤔

Kingine so wanafanya hayo yote kwa nguvu ipi? Wengi si ndo hawa wanadanga,wanakwepa ndoa,hawapati watoto au wanazaa nje ya ndoa wanakuwa single mothers,hii ndio structure ya maisha ambayo unaona ni sawa kwako,yaani uzae watoto wasijenge maisha yao, waache kutafuta ndoa wahangaike kukutengenezea maisha mzazi na kusolve changamoto za familia na ukoo? Has feminism made you this lame wewe kumbikumbi?🤔
watoto wa kiume wakishaoa tu wanapunguza kujali wazazi hata kama ni matajiri kwanza mwanaume akishapata hela cha kwanza anawaza kuhonga wanawake na kuweka heshima vilabuni mwanaume anaweza kuwa na maisha mazuri mjini ila wazazi wake kijijini wanaishi maisha ya kubangaiza siku akifiwa anaenda kuaibika huko kijijini kwao
Imagine ungekua ukisikia mama yako analalamika kuwa baada ya kuolewa na baba yako walikuwa wakipambana pesa inayopatikana 80% anapeleka kwa wazazi wake na kusomesha baba zako wadogo na kusaidia mabinamu zako huku nyingi mkilala njaa, ukikosa ada,na kudumaza maendeleo ya familia yenu. Ungemuonaje baba yako?🤔 Au ndio kama kawaida mafeminist takataka huwa mnatafuta namna yoyote ile kublame wanaume kwa baya au zuri?
Hapa napo umedanganya big time feminism inaunga mkono suala la familia ya baba na mama ila haiungi mkono suala la mama kuwa mtumwa kwa baba bali inataka kuwe na usawa kuanzia kwenye majukumu hadi kwenye maamuzi ya kifamilia kitu ambacho kina madhara kwa mwanaume,
Hiyo itakuwa ni feminism ya Ugweno au Kihandeni Tanga. Ila sio feminism na mafeminist ninao wajua. Mngekuwa mnaunga mkono familia tungeona majority mpo ndoani. Ila wengi wenu ni wasimbe,wasagaji, masingle mother,mshatandikwa talaka. Mnapenda kutengeneza rasta kichwani a.k.a tarantula heads. Hakuna chochote mnachosapoti kuhusu ndoa. Takataka daraja la kwanza kwenye jamii.

kwahiyo wanaume ndio hamtaki kukubaliana na hilo suala la mwanamke naye kuwa na maamuzi kwenye familia
Maamuzi gani mnayotaka kuwa nayo? Mwanaume akihitaji msaada atasema wife shika pale unisaidie. Asiposema kwann umlazimishe? Ya kwako ya ndani yanakushinda hadi unaita house girl kutoka kijijini akusaidie,utayaweza ya huku nje?
ila suala la kuwa na majukumu sawa ndilo mnalikubali bila kipingamizi matokeo yake wanawake ndio wanashindwa hizo ndoa maana wanaona kama zitaenda kuwa mzigo kwao,
Wewe usichanganye Vijana Marioo wachumia kiuno/ walamba nyuchi na mwanaume anayetaka kutengeneza familia kwa jitihada zake binafsi. Ninyi feminists huwa mnakawaida ya kuishia na hawa vijana tegemezi wanaotaka kulelewa ili muwacontrol, mwanaume kama mimi nikae na mwanamke mjuaji kama wewe uniletee ujuaji ni ndani ya saa chache tu nitakuzaba vibao ukae kwa adabu. Sinaga muda wa kubishana na mtu ambaye huwezi kufululiza mwaka ukinilipia bills zangu. Wewe unaweza bishana na mtoto wako ambaye unamnunulia hadi chupi halafu aanze kukupangia maisha?
haiwezekani uendelee kumtii mtu ambaye kimajukumu mko sawa yani mwanamke afanye majukumu yake afanye ya mwanaume na bado amtii huyo mwanaume ilihali yeye mwanaume majukumu yake ni machache tu kiuhalisia ni mwanaume mbinafsi au mwanamke mwenye akili za kitumwa tu ndio ataona hilo ni sawa
Swali kwako,nani alikutafutia mwanaume ambaye anataka mgawane majukumu,si huwa mnawataka wenyewe? Kwa mfano wewe hivi ulivyo,unategemea utakuja kutana na mwanaume anayejitambua ambaye ana pesa zake na uwezo aje akuweke ndani kama mke? Utachezea vipigo hadi useme mimi ndoa sijaumbiwa kuishi ndani yake. Labda kama utakuwa unatuigizia utata hapa ila huko uraiani ni adabu mwanzo mwisho.
Hapo ukiacha kutoa mimba hayo mengine sijaona ambacho kina madhara makubwa ya moja kwa moja kwa wanawake yani kwa kifupi bado hujanipa madhara, madhara pekee yanayotokana na umalaya ni magonjwa tu na kama nilivyosema magonjwa hayachagui jinsia, kwahiyo kama hoja ni magonjwa basi itabidi mkemee umalaya kwa jinsia zote lakini kwa biasness yenu huwa mnaona umalaya wa wanawake ndio mbaya yote hayo ni kwa maslahi yenu binafsi tu
Maana yake kwako hivyo vyote ni sawa na havina shida vikiwepo kwenye maisha ya mwanamke. Hili ni tatizo tayari na wewe haufikirii sawa sawa kudhania kuwa jamii ipo okay kuwa na hizi makitu.
Hilo suala la wanawake kutoka kuenda kutafuta ukitrace back utagundua lilisababishwa na wanaume kwa sababu ya kuwanyanyasa wanawake kwa kisingizio cha kwamba wanawahudumia na hawana pa kuenda yani mtu anataka akifanya kosa usimuulize eti kisa anakulisha anakuvisha nk, toka zamani wanaume waliwaaminisha wanawake kwamba mamlaka waliyonayo wanaume juu yao ni kwa sababu ya huduma anazotoa mwanaume kwa familia yani ni kama walikuwa wanatuma ujumbe kwamba the one who makes money is the one who makes rules, kwahiyo wanawake wakaelewa kwamba kumbe ili na wao wawe na sauti na maamuzi juu ya maisha yao basi inawabidi nao watoke kuenda kutafuta kwa sababu kiuhalisia suala la mwanaume kumtawala mwanamke siyo nature bali ni social constructs ndio maana wanazaliwa wanawake ambao hawana mentality ya kutawaliwa vinginevyo ingekuwa ni nature basi wanawake wote wangekuwa wanazaliwa na mentality ya kutawaliwa na kusingeibuka wanaopinga hilo
Kutoka kutafuta haijaanza leo hata miaka ya nyuma wanawake walitoka wakaenda shamba kulima,wengine kuchunga wanyama. Sasa technology imekua kubwa. Kazi zimekuwa rahisi why wanawake badala ya kufanya kazi kama wenzenu wa japan na wachina ninyi mnakwenda nje kuanza mahusiano maeneo ya kazi. Sasa hapo wanaume wanashida na wanawake kutoka nje au wanamashaka na tabia zenu mara tu mkishatoka nje?


Kwanza kabisa usichanganye feminism na lgbt hivi ni vitu viwili tofauti na hata tukifuatilia historia vilipoanzia tutagundua vilianza katika nyakati tofauti na kwenye jamii tofauti feminism ilianzia west na lgbt ilianzia middle east sodoma na gomora
Hakuna sehemu nimechanganya, bali nimesema kwamba Feminism ndio pandikizi waliotengeneza njia kwaajiri ya LGBTQ kuongezeka na kuwa na social support kubwa kwenye jamii ya magharibi. Mfano tu hapa Tanzania ulishawahi kusikia mashoga kipindi gani ukitoa cha sasa? Muulize baba na mama yako kama miaka yao walishawahi shuhudia mashoga wazi wazi au tabia hizi za ushoga na usagaji kama miaka yetu hii watakwambia.

Kama LGBTQ ilianzishwa makazi ya watu wa Middle east naomba picha na ushahidi wa sherehe na Maandamano yao ya Pride month yaani ule mwezi maalumu wa LGBTQ ambao hujitangaza. Unazo hizo picha au ushahidi wowote wa shughuli zao huko middle east?

kwa taarifa yako ushoga ulikuwepo toka zamani ni vile tu hakukuwa na mitandao ya kijamii ya watu kujianika hadharani, kusema kwamba feminism na lgbt vinaendana eti kisa tu vyote vinapigiwa chapuo na jamii za magharibi ni sawa na kusema physics na chemistry ni masomo yanayoendana kisa tu yote ni masomo ya science hivyo usifananishe ushoga ambao una madhara kwa wanaume na feminism ambayo haina madhara kwa wanawake
Kuwepo tokea zamani sio hoja. Hoja ni upo sasa na una maamkizi na mwamko mpya. Sasa sioni hoja yako unajikita eneo gani kusema walikuwapo tokea zamani.
Sijaelewa hoja yako hapa ni ipi? Unasema feminism haina madhara kwa wanawake yet unakiri kuwa mafeminist hawapendwi na wanaume sasa hayo si madhara ya feminism?
Sasa feminism imetengeneza masingle mother kivipi mbona hunyooshi maelezo,
Kama hauoni wanawake ambao wanachemka kuolewa na kutulia katika ndoa ila wanafaulu kuzaa na wanaume za watu kisha kutelekezwa wanalea wenyewe kwasababu ya mitazamo yao ya kifeminist then sioni namna nyingine ya kukuelekeza maana unaleta mzaha sasa na haya mazungumzo yetu.

si useme tu kwamba feminism imeleta madhara kwa sababu wanaume hawataki kuoa wanawake wenye ideologies za kifemimist sababu hawataki kuwa challenged,
Ukitaka kujua huwa haupo serious na hii mijadala na huwa unalenga kurumbana na sio kujenga hoja ni kama hivi. Kule juu umesema kuwa Feminism haina madhara then hapa chini unakiri kwa maneno yako kuwa feminism imewa indoctrinated wanawake kuwachallenge wanaume . So wanaume waliumbwa kuwachallenge wanaume au kushirikiana nao kutengeneza jamii?
which proves my point kwamba feminism ina madhara kwa wanaume wanaiona kama threat ndio maana wanaikataa na kulazimisha ionekane kama ina madhara kwa wanawake
Feminism ina madhara kwa wanawake na watoto maana ndio victims wa hiyo ideology. Hapo wewe ukijitazama kwasababu ya feminism haupo mahusiano serious na pengine utazalia kwenu na kulea mtoto bila baba yake au utazoa mwanaume yoyote yule dhaifu ndio awe mumeo but ndani humo wewe ndie utakuwa kimbelembele wa familia badala ya mumeo kuwa kiongozi. How will that affect your ex boyfriends ambao walikutumia na wakatafuta wanawake serious wakaoa na kujenga nao familia bora? Nijibu swali kwanza,wewe umeolewa hapo,una watoto katika umri wako huo?
Yani bado umerudia kitu kile kile kwa sababu hakuna tatizo lolote katika mwanamke kusoma na kutaka kutimiza ndoto zake ila ninyi ndio mnalazimisha kwamba ndoa ndio iwe ndoto kubwa na kipaumbele cha kwanza cha mwanamke, kana kwamba ni guaranteed kuwa mwanamke akiingia kwenye ndoa basi atakuwa na furaha na amani maisha yake yote kuliko akiamua kufukuzia na kutimiza ndoto zake, kitendo cha wanaume kutotaka kuoa wanawake waliosoma na wanaofukuzia ndoto zao siyo madhara kwa wanawake bali ni ujinga na ubinafsi wa wanaume wenyewe kuogopa kuwa challenged
Ndoto ni kitu gani mbele ya maisha serious,yaani unaota maisha ambayo hauna,how stupid can u get?

Usiwasemee wanawake wenzako ambao ndoa kwao ni jambo muhimu na wanalizingatia. Wewe upo corrupted na akili ilyoharibiwa na feminism wenzako huku nje wanaolewa na wanaishi kwenye ndoa endelea kuishi kwenye feminism utopia uzee unakunyemelea ngoja ugonge 30 utakuwa unasoma hizi nyuzi unaumia.
Hayo masuala ya trauma ndio usiongee kabisa maana huwa hayawaaffect wanawake pekee bali hata wanaume, halafu mnachonishangaza huwa hamuongelei haya masuala kwa wanaume kana kwamba wanaume hayawatokei au kwamba wao maisha yao yako perfect yamewanyookea, yani wanaume ni kama mko in denial kwamba ninyi hamna matatizo yoyote kwenye jamii y'all are just okay ila wenye matatizo ni wanawake tu na ndio wanaopaswa kukemewa
Mwanaume anaweza kuwa na trauma ila akasimamia nafasi yake na majukumu familia ikaenda. Mwanamke akiwa na tamaa tu achia mbali trauma lazima avuruge utaratibu.

So achana na hilo maana sio sehemu ya mada. Kama unahoja fungua uzi wenye kichwa cha habari kisemacho kwanini wanaume huwa wanaficha trauma zao wanasema za wanawake then tutajadili huko.
Okay kwahiyo wanaume ndio mnajua maana yakuwa mwanamke ni nini yani ninyi ndio mmekuwa wasemaji wa wanawake na ndio mnajua nini kinachowapa furaha wanawake na kipi kinawapa huzuni kuliko wao wenyewe wanavyojijua,
Mwanaume on average hatakiwi kuhangaika na furaha ya mwanamke kiumbe ambaye hajui anataka nini. Sisi hatuna time na furaha zenu maana hazinaga kipimo wala standards maalumu. Tunachotaka mjiweke kwenye mkao wa kike ili tuweze kuwapokea kama wanawake.

Kama wewe hivi ulivyo hakuna mwanaume atataka hata kukugusa maana ni takataka,hakuna mwanamke ana haiba kama yako halafu mwanaume aweze kaa nae kwa amani. Ujuaji,ubishi na viburi vimekujaa.

hapo nikikuuliza nini maana ya kuwa mwanamke utanitajia mambo ambayo mwanamke akifanya anayepata furaha na kufaidika nayo ni mwanaume lakini utajaribu kutwist uhalisia na kufanya ionekana kama anayepata furaha na kufaidika ni mwanaume kama unabisha nitajie mambo yanayompa furaha mwanamke,
Kama nilivyokwambia. Furaha ni jukumu lako binafsi. Naweza kukununulia gari,kukujengea nyumba nzuri,nikakupa na account ila ukakosa furaha sababu hatuspend time vizuri pamoja sababu nipo busy kukutafutia pesa za kukupa hiyo furaha.

Pia naweza kukaa ndani na wewe muda wote nikikubusu,kukuimbia, kubembeleza,kukutomba ila ukawa na huzuni kwamba kwann sitoki kuchakalika kama wanaume wengine hata kama hatushindi njaa na kodi nalipa na nakupa mahitaji yako madogo madogo. So mwanaume hana kazi ya kukupa wewe furaha,wewe anatakiwa kuishi na wewe mkijenga familia bora. Furaha akupe yeye kama nani acha kuwa mwehu.
halafu nani kakudanganya kwamba mwanamke kulea mtoto ni utumwa mbona unachanganya mambo wanawake wanachoona ni utumwa ni kuwatii na kuwalea hawa wanaume wa sasa ambao hawana msaada wowote kwao lakini hawajawahi kuona utumwa kulea watoto wao ukitoa wale psychopaths wanaotoa mimba au wanaotupa watoto ila hayo mapungufu mengine ni kutokana na pressure tu ya majukumu yanayowakabili
Kama kulea mtoto hammview kama utumwa mbona siku hizi mnaachia mama zenu walee watoto wenu,ma House girl wawalelee watoto wenu. Wewe ni mwanaume sasa kusema utaelewa?

Wewe wanawake wangapi unaowajua wanalea wanaume?
Mimi ninachoona hapa hii ni transition period tu wanawake bado hawajaupokea kikamilifu huu mfumo wa haki sawa ila siku wakiupokea kikamilifu watajiandaa kuanzia kimwili hadi kiakili kuyapokea majukumu ya kulea pamoja na kuhudumia watoto wao peke yao bila msaada wa wanaume,
Unaongea kama as if saa hii hakuna wanawake wanalea watoto wenyewe huku. Hivi tukisema SINGLE MOTHER huwa unaelewa ni nani? Wewe unashida ya uelewa. Wanaume hawana hasara mnawapunguzia majukumu na gharama na kuliharibu taifa na jamii. Watoto wenyewe wakiwa wakubwa aidha wanakuwa hasara sababu ya lifestyle mlizowalea au wakikutana na baba zao wanakengeuka na kuwageuka mama zao. Sasa sijui unakuwa umekuja duniani kufanya nini. Bora hata ungekuwa muigiza X.

Matoto mnalea vibaya . Ya kike yanakuwa madangaji wa kiume wanakuwa gigolos (Marioo) wengine wanakuwa majambazi wanawakaba tena wenyewe mama zao,wanawaibia pesa ndani. Sasa unahisi tunakomolewa wanaume,ebo.

maana wanapofanya haya maamuzi siyo kwamba hawajui au hawaoni matokeo yake wanajua na wanaona ila bado wanafanya hayo maamuzi hii ni maana yake huu mfumo hauna madhara ila ni wanawake wenyewe kushindwa kuupokea na kujiandaa vizuri hivyo ni suala la muda tu,
Kila mfumo una operate under expenses. Utafanya kazi kwa expenses ya nani? Mfano tu saa hii mkitoka, huku majumbani watoto wanalawitiwa na majirani,wanapigwa,wanauwawa, wanafanyiwa mambo ambayo sio. Hiyo ni faida,na wewe umekaa hapa unatetea upuuzi unaopelekea yote hayo. Nonsense. Yaani unaona ni bora mfumo destructive kuliko mfumo uliosustain maisha hadi wewe ukazaliwa. Wewe ulikuta mama yako anakulea pekee yako? Mabangi haya mnavuta mafeminist yanawatoa network.
kinachotokea ni kwamba wanaume bado wanawaandama wanawake yani kitu kidogo tu utasikia "tuliwaambia wanawake hamuwezi oneni sasa mnaharibu" hebu wapeni nafasi ya kupumua acheni wafanye mambo yao kwanini mnawaandama sana, nakupa mfano tangu mama samia alipochukua nchi kosa

Wewe una tuzuia kama nani sasa maana haueleweki una ajenda gani kwamba tusiwaandame ili jamii iendelee kuharibika au tusiwaandame ili wewe ujisikie vizuri. Sisi tutaendelea na hakuna kitu unaweza kufanya kuzuia.

Tutawasakama hadi muipate. Na wewe kwasasa unaelekea walipo wenzako. Uwe single mother ukutane na nyuzi hizi upate kichaa uwe unalia ukizisoma. 😂😂
lolote atakalofanya watu wanaanza kumuattack kisa uanamke wake utasikia "tulisema tu wanawake hawawezi", wakati unakuta mambo ambayo kashindwa kuyafanya ni yale yale ambayo wanaume watano walioongoza hii nchi kwa miaka 60 toka ipate uhuru nao walishindwa kuyafanya ila hakuna aliyesema wanaume hawawezi lakini wanategemea huyu mama ayafanye ndani ya miaka michache tu ya uongozi wake
Ndio tuache hiyo ndio kazi yetu tulipewa na MUNGU ya uongozi,wewe ufeminism umepewa na wamarekani. Tutadeal na nyie perpendicular,utake usitakee.
Mimi naona wanaume bado hamjastuka ndio maana tunaona bado kuna wimbi kubwa la wanawake wanaojiona bado wana haki ya kupewa hela na wanaume na hawa ndio wanaokwamisha feminism na kuifanya ionekane ina lengo baya,
Ndio maana nasema wewe unachukulia mchezo maisha. Unachati upo kwenye chumba ndani ya mjengo wa baba yako unahisi na huku wenzako wana life style kama yako.

Huku kuna wenzako wakifika miaka 20 wanabalaswa kwao wakajitafutie. Chanzo cha mapato kwa wanawake wengi ni mwanaume. Wewe unalipiwa bili na baba yako shukuru MUNGU. Ungekuwa kapuku hapa saa hii upo geto unatombwa ili upate hela ya salooni.

Huku nje sisi tunahimiza ndoa ili watoto wa kike wasitirike na maisha ya kutangatanga wasitumike vibaya. Wewe unakuja na story zako hapa.

ndio maana tunawaambia wanaume kama kweli ninyi ndio mnaumia na haya yanayoendelea kwenye jamii na mnataka jamii ibadilike basi anzisheni ninyi mabadiliko kwa vitendo na si kwa maneno tatizo mkiambiwa ndio mnasingizia eti haya yanayoendelea yana madhara kwa wanawake ilihali mnaona wanawake wenyewe hawajali mnaoumia ni ninyi,
Aliyekwambia sisi tunampango wa kubadilika ni nani? Yaani ninyi mkijifanya vichaa ni sawa na kuwapiga nyani na maembe,tunayala😂😂😂 si unaona tokea masingle mother muongezeke wanaume wanakula mama na watoto kirahisi. Baba angekuwapo kidogo mtoto angekuwa salama. Saa hii wanaume wanafurahia nyumba hazina ulinzi. Anampa binti laki mama elfu hamsini, anawala wote. Wewe upo hapa kuhisi wanaume wanaingia hasara na kuteseka.
kama mnataka wanawake waache umalaya na udangaji acheni kuwapa hela wakiwaomba kataeni kwani watawafanya nini pia kama hamtaki wanawake waendelee kufanya biashara ya kujiuza acheni kununua makahaba siku zote biashara ikikosa wateja itakufa tu yenyewe sasa mlivyo wanafiki leo hii akijitokeza mtu akaiambia serikali iwe inakamata makahaba inatokea mijitu inatetea na ni mianaume inasema eti hiyo biashara ni kongwe haiwezi kufa kirahisi wengine wanasema makahaba waachwe maana wanaokoa ndoa zao halafu hao hao wanarudi tena kuja kusema wanawake wameharibikiwa hawafai kuolewa hivi sijui kama unaona tatizo lilipo
Hela tunawapa,kuwala hatutaacha ba kudanga muache.
Yani bado hujanitajia madhara ya moja kwa moja ya feminism kwa wanawake narudia ulichonitajia ni madhara ya feminism kwa wanaume ambayo ndio yamesababisha wawe na hasira dhidi ya wanawake na kuamua kuwakomoa na kuwaharibia maisha kwa kisingizio kwamba watakaoteseka ni wao kisha mnasema hayo ni madhara kwa wanawake,
Nimeshakutajia umechagua tu kutokuelewa sababu unataka majibizano. Sasa unataka kitu ambacho wewe mwenyewe unasema haukijui au hauelewi kipoje,hapo sasa mimi nakupanga vipi.

Yaani ni sawa umeenda hospital unamwambia nipime nionyeshe naumwa nini. Anakupima anakupa majibu unasema mimi siwezi kuumwa huo ugonjwa.
lakini mwisho wa siku tunakuja kuona hamjawakomoa wao bali tena mnakuta mmejikomoa wenyewe yani mnajipa moyo kwamba mtakuja kuoa mabikira maana ni wengi sana na wako wanasubiri kuolewa tu hawawazi mambo mengine mwisho wa siku mkija kustuka usingizini mnakuta walio tayari kuolewa ni hao hao wanawake mlioruka nao kwenye foolish age mkidhani mnawakomoa,
Tunaooa ni sisi. Tukimwambia tunakutana na bikra unakataa sasa sijui huwa tukiwa tunawapelekea moto huwa unatazama? Mabikra wapo. Sisi kuwasema wanawake haina hata uhusiano na sisi kupata wanawake. Mwanaume wa miaka 30+ soko lake lipo huko chini yako yaani hata wewe ni mzee kwake.

Sasa wewe piga makelele na mimi hapa mwenzako ninaishi na mwanamke na yupo vyedi kitabia. Sina kero kuwa nae. Balaa kwako,hujaolewa hadi saa hii unajificha nyuma ya keyboard kupingana na wanaume ambao wanatetea maslahi ya wanawake na wewe ukiwamo.
We subiria tu hapo. 😂
na mwisho wa siku ndio mnakuja kuoa hao hao halafu mkiambiwa muwe sehemu ya hayo mabadiliko kwenye jamii kwa kuacha kuchezea wanawake mnashupaza shingo mnajidai vidume kisha mambo yakiharibika ndio mnajifanya mnaumizwa na mmomonyoko wa maadili kwenye jamii na kuja kujilalamisha mitandaoni in the name of kukemea kwamba wanawake hawajiheshimu hivyo hawafai kuolewa na wanaume inabidi waoe mabikira au wakatae ndoa.. pathetic!!
Aliyekwambia tunawaoa ni nani,we mbona unachukulia vitu kinadharia sana. Hao wanaooa si ndio hao masimp ambao wengine ndio hawa wanakuja hapa kutupinga pamoja na wewe. Hao ndio wanaoa. Sisi hatuzoi used. Tunatongoza,tunabutua tunatemana nao.
 
Oohh kwahiyo kumbe kuwa mzinzi ni kutokuwa na akili kwahiyo na wanaume wazinzi kama ninyi nao hamna akili si ndio, najua utakuja na zile porojo zenu za oo mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaume kama ni hivyo sasa hao wanawake wanazini na kina nani, kama mwanaume na mwanamke hawako sawa basi kila jinsia itafute viumbe wengine wa kuzini nao halafu ndio mje ya logic ya kipuuzi kama hiyo
Kwahiyo ume assume kuwa wanawake hawana akili kwamba hawawezi kuamua kuwa wazini ama wasizini hawana utashi huo?
 
Back
Top Bottom