Ungependekeza nini kifanyike kurekebisha, kuzuia au kuondoa tatizo hili kwenye jamii?
1. Serikali iache mara moja kujikita kwenye shughuli za uhamasishaji wa usawa na ijikite katika kutatua changamoto zinaowaface wanawake ambazo nyingi ili kuzitatua wanabindi kudeal na wanaume kwanza Kwasababu serikali kama taasisi inamhitaji mwanaume na mwanamke katika ujenzi wa taifa sasa kujikita kumnyanyua m'moja ambaye ndie anatakiwa kusaidiwa kila siku na kumdidimiza ambaye ndie mtoa msaada ni kujitoa ufahamu na kujaza maji kikapu.
Tafakari jambo m'moja serikali wanapambana wanawake wapate elimu ya juu,wapewe nyadhifa,na mishahara mizuri ili iweje? Maana kwa kufanya hivyo tumetoa wanawake wengi sana majumbani na kuwasambaza mitaani ambapo bado tija yao haijaonekana zaidi ya kusifia tu mwanamke wa shoka ila ndoa zinavunjika,watoto wanawekwa rehani na kukosa matunzo mazuri, uchumi wa familia unashuka kutokana na gharama za maisha kupanda,etc sasa how was this important in solving anything?🤔
2. Tujikite katika zile elimu za awali za kujenga wanawake wenye haiba ya kike maana mwisho wa siku jamii inamhitaji mwanamke mwenye haiba ya kike anayetambua wajibu wake,anajituma kama mwanamke kwenye familia na ndoa yake, ambaye hana changamoto za kiakili na anayeweza kuwa msaada mkubwa kwa mume wake. Zile elimu zinaweza kuwekwa kitaalamu na zikawa rasmi watoto wakike wakawa na mafunzo yao rasmi ambayo wanaume hatuingii ili kuwajenga kuja kuwa impactful members wa jamii ambao wanaume tunawahitaji. Hawa wasasa hakuna anae wahitaji maana they are "misfits".
3. Jamii inafahamu kuwa Feminism ni mpango wa kikundi fulani cha binadamu na si asili ambacho kimelenga kufanya uharibifu kwenye jamii kwa malengo yao binafsi.
Kimsingi jamii inawajibika kukataa feminism ideology na kuendelea kushikamana na imani za dini zetu ili kuokoa kizazi cha sasa na kijacho cha watoto wa kike.
Hawa wa sasa ukiwatazama hawana faida yoyote ukitolea kufanya nao ngono tu ila maeneo ya msingi ni rejct product.
Hawafai kuwa wake kwasababu ya kukosa utii na kujawa ujuaji na maviburi.
Hawafai kuwa marafiki sababu wanaomba hela kushinda hata mke halali wa ndoa.
Hawafai kuwa mama sababu ukizaa nae anaanza mtesa mtoto kupitia wewe atalazimisha mambo yaende anavyotaka ukikataa anamtenganisha mtoto mbali na wewe baba kisha anaanza mjaza maneno ambayo mtoto yatakuja kumtesa sana na kumpa maumivu yasiyopona milele. Yote ni kuprove kwamba feminism ndio jambo sawa kwenye komwe lake.
Kiufupi feminism imetengeneza ombwe la mwanamke kwenye jamii ya sasa. Soon watoto wetu wa kiume wakitengeneza mfumo nje ya maisha ya ndoa wataona ndoa ni mtihani na sio jambo la lazima sasa hawa wanawake wanaozaliwa wengi kuliko wanaume nani atawabeba na kuwapa matunzo? Kwasababu tusijidanganye kuwa mwanamke anaweza kujisimamia bila mwanaume mzee ni uongo wa karne. Hawa wote unaoona wanafanya kazi wanafanya mabiashara wengi wanaishi kwa majuto bila mwanaume wanafosi mahusiano hata na watoto wadogo. Si mnamuona shilole, Auntie Ezekiel na Irene Wolper kwa mifano, wale pesa wanazopata wangekuwa ni wanaume saa hii wameoa na wana utulivu wa familia. Ila tazama sasa kwa mwanamke hali inavyokuwa,amefanikiwa ila mahusiano bado kwake ni kitendawili kila siku ni migogoro na matamko mitandaoni.
4. Wanaume mnaojitambua acheni kusapoti upuuzi wa uwezeshaji wa wanaume kiuchumi sijui kisiasa hakuna faida itakayokuja kupatikana mbele zaidi ya kutengeneza jeshi la vichaa litakalokuja kutesa watoto wetu baadae. Narudia tena tazama marekani ya sasa na ile ya miaka ya nyuma kama zinafanana. Ndio maana hata China inawapita kimaendeleo sasa.
Hivi kwanini mnaona mataifa ya magharibi pekee ndio model ya jamii ya kuiga mbona hamtazami Urusi, India,China muone namna hawana time na maswala ya jinsia.
Tazama serikali ya urusi na china, wanawake wakuhesabu kwenye vyeo mnaona yanatetereka hayo mataifa? Ninyi huku tanzania kazi kushabikia jambo ambalo hata hamjui limetokea kwenye akili au kikundi cha nani na kilikuwa na malengo yapi.
Wanawake taasisi inayomhusu ni familia,huko ndipo uwanja wake ulipo. Biashara inayomhusu ni ya familia chini ya mumewe. Maswala ya unyanyasaji wa kijinsia sisi kama jamii tunayamudu. Mwanamke yoyote akisumbuliwa alete malalamiko kwenye jamii tutadeal na huyo mwanaume moja kwa moja bila kumfumbia macho.
Mara ngapi wanawake wamedai haki mitandaoni na watu tukapaza sauti na shida ikatatuliwa wakapata haki zao?
Feminism ifutwe.
Kwa kifupi feminism ifutwe.