Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Ndio maana nikasema kwenye moja ya reply zangu hapa kuwa shida kubwa ni elimu.

Wewe unajua ushoga chanzo chake?

Au unataka nishuke magazeti hapa? Una hata idea kwann ushoga una exist?

Feminism ilianza lini na LGBTQ agenda ilinza lini?🤔

Unafahamu nini kuhusu gender dysphoria?

Upo tayari tujadili impact za single mother households nikikupa na study cases zake?

Unajua kwamba feminism ni stage ya ngapi katika ile new world order agenda?

Usinichokoze hapa ntakudhalilisha.

Nitakuuliza swali hilo hilo kwani ni lazima kuishi mwenyewe kwenye jamii ambayo kila mtu anatakiwa kuwa kwenye ndoa na familia yake? Kama haujui maana ya jambo usifosi mjadala na hakuna unachofahamu.

I am sticking to my life that's why am not faking with feminism because it is my business, ukivuruga jamii yangu na mimi nakugeuza topic, so back to you,wewe ni advocate wa feminism maana umekuja very personal na hoja zako za lawama. Anyways, bring it on am ready for you.

Usiseme "unaowapigania hawakuelewi" sema " i have no idea nini kinaendelea. Haufahamu tu kinachoendelea kwa sasa. Its global thing. Na siwezi kukuelimisha au kukuelekeza wakati umeshapick your team kwamba wewe ni team LGBTQ nd the rest so i don't think we have anything in common to share here

Niane ,so u think i am here for attention and find a lover, seriously?🤔

Who are you to choose who i fight with? I can fight you,your boyfriend, your brother,the president, Osama bin laden, damn i can fight whomever i feel like should be my target.

Ushoga is one of my topic please sit back and relax while i bore you with more incoming topics about ushoga.
Sema mzee hizo feminists zikikuvuruga unamwaga yai 😁😁😁
 
Ukitaka mie nawee tubishane kuhusu ushoga, anzisha mada husika, afu nitag.

Mbna utafurahi mwenyewee, hii ni kwa feminism bas uta deal na wanao husika. Ila nilikuambia unapozungumzia jambo, usichanganye. Stick na jambo husika.

Nimemalizaaaa
Umenena vizuri. Nitaandaa uzi halafu nitakutag.
 
Unajua kuna raha fulani kufoka kwa kiingereza.😂😂😂😂

Wewe unaejifanya una elimu naona huna chochote unachujua upo upo tu, bora ubakie msomaji tu utajifunza hii mada naona ipo juu ya uelewa wako wa mambo.
Huyo atakuwa malinist(shoga) bro🤣🤣,manake anapinga ila hajui anachopinga na jinsi Gani apinge!!!
 
mkuu sijakupinga nilikua nataka tukubaliane kua 1st wave feminism was about haki za msingi Kama kupiga kura,Elimu, Uraia,
Ya pili miaka ya 60 ilikua kudai haki za kutoa mimba,Sexual freedom,Kataa Ndoa na kampeni za single motherhood,.

Ila hao Jews nao hawakua nyuma ku push ajenda zao,Niliwahi kushare kitabu humu Cha Groria Steinem Feminist maarufu duniani akiongelea alivyokua anafadhiliwa na mashirika makubwa ya marekani ku push Agenda za femenism..Swali la kujiuliza kwanini matajiri na elites wanapenda harakati hizi na kutoa mabilion??Mkuu me nishafanya kazi na shirika Fulani kubwa Sana division ya East Africa masuala ya Wanawake na watoto,nilitaka tujue mzizi wa tatizo hili tusadie Jamii yetu na ujinga huu,tho sio yote Hasi ushaidi ninao,it's you to Jugde..

Kwa wenzetu ndoa hakuna tena, familia nyingi za mzazi mmoja, divorce rate ipo so high,Nini kifanyike kwetu zaidi ya ku post JF tu??maana naweza kutaja Hadi NGO ya kwanza Tanzania kupewa hela ku push Agenda..after 10yrs tutakua pabaya,now wanaume sio wanaume tena wanawake wanaofanya kazi na degree ya UDSM hawaambiliki wakasikia wala kutulia...

Je femenism jambo zuri au Kuna agenda ya Siri?are we colonized through compassion???Dini, Elimu,Gender equality zipo ku controll system (kwa wajinga wenye elimu)

Hoja yangu ipo palepale,katika history wanawake walinyanyaswa kwa namna yeyote lazima wangepaza Sauti na kusimama,ila now imefika Mbali Kuna wanawake wanapambana kuhusu woman rights lakini hawajafika huku kutoa mimba na ushoga..Hata hao Jews (Orthodox) wanapinga feminisn Hadi kesho na zamani wanawake wa hivyo Walikua wanatengwa,Hiyo Talmud Ina work Sana for Ashkenazi and sitaki kwenda deep habari zao humu zipo..

Kwa maoni yangu Feminism ideology sio mbaya,Ila inavyotumika Kama Tool ya kuuza uafrika wetu kwa Donors kupitia NGOS ndio mbaya isiwe Kama agenda ya kimataifa,. wanawake wetu waseme matatizo yao,changamoto zao..

Fvck UN,Fvck NGOs,fvck IMF
 
mkuu sijakupinga nilikua nataka tukubaliane kua 1st wave feminism was about haki za msingi Kama kupiga kura,Elimu, Uraia,
Ya pili miaka ya 60 ilikua kudai haki za kutoa mimba,Sexual freedom,Kataa Ndoa na kampeni za single motherhood,.

Ila hao Jews nao hawakua nyuma ku push ajenda zao,Niliwahi kushare kitabu humu Cha Groria Steinem Feminist maarufu duniani akiongelea alivyokua anafadhiliwa na mashirika makubwa ya marekani ku push Agenda za femenism..Swali la kujiuliza kwanini matajiri na elites wanapenda harakati hizi na kutoa mabilion??Mkuu me nishafanya kazi na shirika Fulani kubwa Sana division ya East Africa masuala ya Wanawake na watoto,nilitaka tujue mzizi wa tatizo hili tusadie Jamii yetu na ujinga huu,tho sio yote Hasi ushaidi ninao,it's you to Jugde..

Kwa wenzetu ndoa hakuna tena, familia nyingi za mzazi mmoja, divorce rate ipo so high,Nini kifanyike kwetu zaidi ya ku post JF tu??maana naweza kutaja Hadi NGO ya kwanza Tanzania kupewa hela ku push Agenda..after 10yrs tutakua pabaya,now wanaume sio wanaume tena wanawake wanaofanya kazi na degree ya UDSM hawaambiliki wakasikia wala kutulia...

Je femenism jambo zuri au Kuna agenda ya Siri?are we colonized through compassion???Dini, Elimu,Gender equality zipo ku controll system (kwa wajinga wenye elimu)

Hoja yangu ipo palepale,katika history wanawake walinyanyaswa kwa namna yeyote lazima wangepaza Sauti na kusimama,ila now imefika Mbali Kuna wanawake wanapambana kuhusu woman rights lakini hawajafika huku kutoa mimba na ushoga..Hata hao Jews (Orthodox) wanapinga feminisn Hadi kesho na zamani wanawake wa hivyo Walikua wanatengwa,Hiyo Talmud Ina work Sana for Ashkenazi and sitaki kwenda deep habari zao humu zipo..

Kwa maoni yangu Feminism ideology sio mbaya,Ila inavyotumika Kama Tool ya kuuza uafrika wetu kwa Donors kupitia NGOS ndio mbaya isiwe Kama agenda ya kimataifa,. wanawake wetu waseme matatizo yao,changamoto zao..

Fvck UN,Fvck NGOs,fvck IMF
🤣🤣🤣,we jamaa utakuwa ni muhafidhina,mnapopingana ni padogo tu mkuu,"AGENDA ILIKUWA MBAYA TANGU ZAMANI ILA ILIANZA KWA SURA NZURI",kakupa na mifano mingi tu,wakoloni kuja kama marafiki badae wakabadilika,Kwa kifupi "unamfuga mbuzi na kumtunza vizuri sio Kwa sababu unampenda,hapana,ila kusudi uje umle nyama siku ya idi"
 
🤣🤣🤣,we jamaa utakuwa ni muhafidhina,mnapopingana ni padogo tu mkuu,"AGENDA ILIKUWA MBAYA TANGU ZAMANI ILA ILIANZA KWA SURA NZURI",kakupa na mifano mingi tu,wakoloni kuja kama marafiki badae wakabadilika,Kwa kifupi "unamfuga mbuzi na kumtunza vizuri sio Kwa sababu unampenda,hapana,ila kusudi uje umle nyama siku ya idi"
Nimeweka Kama linavyoonekana(surface) pia nimeweka Kama ilivyo(Reality)

Sijakataa hoja ya Missionaries first then invasion,nimegusia pande zote hili tujue pa kuanzia..
 
Kwani we mgeni humu? 😀😀
We leta mada za ushoga uone anavyotirirka
Aaaaah aiseeee. Kwahiyo ni wa kiume huyu kumbe,why sasa anajiweka kama wa kike kwenye profile hadi swaga zake,pengine ni mwanamke anacheza na akili zetu.
 
Mwanamke anaekataa ndoa na hajawai kuwa na ndoa huyo ni tapeli mwenye gonjwa la afya kabambe ya akili.
Kabisa. Mtu anazaliwa hajawahi kuona baba na mama wakiwa pamoja. Hajawahi kuexpirience mahusiano ya upendo wa wazazi. Anakuwa na mfano mbaya kichwani.

Anakuwa mtu mzima anashindwa kujenga mahusiano mazuri na jinsia ya kiume kwasababu alifeli kuelewa maana ya mwanaume na mwanamke kuishi pamoja ina takiwa kuwaje na kwa malengo gani.

Matokeo yake anajikuta ana manga manga na wanaume tofauti sababu ana insecurities kichwani ila anajiona sawa.

Sasa ni kundi gani ambalo akikaa wanaelewana ni mafeminist. Hapo ndipo sehemu atakaa kutema sumu kuponda ndoa kuwa ni jambo baya na hakuna faida kwa mwanamke kuolewa wala kuwa mume kwenye maisha ila atakaa kimya kuhusu wanawake kudanga,kujiuza, kutoa mimba, kuharibu ndoa zao. Huko kote atakaa kimya.

Ila akisikia mwanamke amekorofishana na mume wake,mfano manara au Dk mwaka,huyoooo kashaenda Facebook, Instagram live na TikTok live kuwaambia mabinti kuwa si mnaona sasa nikiwaambia ndoa hazifai.

Mfano hai ni lile jinga Joyce Kiria.
 
Kabisa. Mtu anazaliwa hajawahi kuona baba na mama wakiwa pamoja. Hajawahi kuexpirience mahusiano ya upendo wa wazazi. Anakuwa na mfano mbaya kichwani.

Anakuwa mtu mzima anashindwa kujenga mahusiano mazuri na jinsia ya kiume kwasababu alifeli kuelewa maana ya mwanaume na mwanamke kuishi pamoja ina takiwa kuwaje na kwa malengo gani.

Matokeo yake anajikuta ana manga manga na wanaume tofauti sababu ana insecurities kichwani ila anajiona sawa.

Sasa ni kundi gani ambalo akikaa wanaelewana ni mafeminist. Hapo ndipo sehemu atakaa kutema sumu kuponda ndoa kuwa ni jambo baya na hakuna faida kwa mwanamke kuolewa wala kuwa mume kwenye maisha ila atakaa kimya kuhusu wanawake kudanga,kujiuza, kutoa mimba, kuharibu ndoa zao. Huko kote atakaa kimya.

Ila akisikia mwanamke amekorofishana na mume wake,mfano manara au Dk mwaka,huyoooo kashaenda Facebook, Instagram live na TikTok live kuwaambia mabinti kuwa si mnaona sasa nikiwaambia ndoa hazifai.

Mfano hai ni lile jinga Joyce Kiria.
Upo sahihi kabisa mkuu, wahivyo walishafeli kuishi na wanaume kwa mitabia yao mibovu, unakuta mtu anasema yeye hataki kuolewa na ilihali hakuna hata alieonesha nia ya kumuoa, nadhani ni namna fulani ya wao kujifariji.
 
mkuu sijakupinga nilikua nataka tukubaliane kua 1st wave feminism was about haki za msingi Kama kupiga kura,Elimu, Uraia,
Ya pili miaka ya 60 ilikua kudai haki za kutoa mimba,Sexual freedom,Kataa Ndoa na kampeni za single motherhood,.
Nakubaliana na wewe kwasababu that was the face value walikuwa wanauza in the first place. But as muda ulivyokwenda na walengwa waka buy in the chips for game sasa wakaanza ajenda rasmi.
Ila hao Jews nao hawakua nyuma ku push ajenda zao,Niliwahi kushare kitabu humu Cha Groria Steinem Feminist maarufu duniani akiongelea alivyokua anafadhiliwa na mashirika makubwa ya marekani ku push Agenda za femenism..Swali la kujiuliza kwanini matajiri na elites wanapenda harakati hizi na kutoa mabilion??Mkuu me nishafanya kazi na shirika Fulani kubwa Sana division ya East Africa masuala ya Wanawake na watoto,nilitaka tujue mzizi wa tatizo hili tusadie Jamii yetu na ujinga huu,tho sio yote Hasi ushaidi ninao,it's you to Jugde..
Kwa kifupi ni kwamba. Marekani ile unayoiona matajiri wakubwa wengi wana asili ya Israel. Na ndio wenye maamuzi ya mwisho. One of their mission ni kuondoa influence ya race zingine zote katika global agenda wabakie wao. Again Jews na culture yao ya Jews ni ya kale kushinda zote ,ukristo,uislam,uhindu zote hizo zimewakuta na zimeanza wao wapo tayari.

Sasa ni kama wana mission ya kuclaim back dominance yao ya ulimwengu ambao sasa upo scattered.

Wewe ukisikia story za new world order unaelewa nini tazama hiyo new world order namna inatengenezwa.

Kuna story utasikia sijui taifa kubwa litakuwa china, wengine sijui wanasema ni marekani but behind the scene ni jews wanacontrol hii show.

Tazama pale Palestine, kwann vita haviishi. Watu husema ni vita vya history za kidini but mimi nasema si kweli. Wapalestina wapo wakristo kule ingawa watu hudhani wapalestina ni 100% moslems. Rudi kwa wa Israel huku ambapo wakristo husimama nao wakidhani ni taifa teule,wa Israel hawatambui ukristo na wanaukashifu kila uchao, how can that be even be a religious war?

Kingine,umeshawahi sikia Netanyahu amefunguliwa mashitaka ya makosa ya kukiuka haki za binadamu kwa mauwaji anayofanya kule Palestine? Tazama namna US ipo kimya, why? Kwasababu top elites ni Jews na ndio wanakimbiza mifumo ya US.

Kuna vingi nilisoma siku ile kwenye ile thread ya Twitter jamaa alishare alot of classified information ambazo i think zimekuwa zikivujishwa kidogo kidogo tokea vita vya pili kuisha. Hitler alichoma mavitabu mlima hivi wenye mipango ambayo hawa Jews walipanga kufanya, feminism ni miongoni mwa mikakati waliyokuwa nayo tokea wakati huo na walishaanza utekelezaji. Imagine miaka kabla ya vita vya pili jamaa tayari walishaanza kusambaza ushoga na transgenderism ideas kwenye jamii ya watu huko Ujerumani.

Mzee kuna mengi sana ya kuongea ila tusimamie topic tu hapa kwamba western feminism ideology must go.
Kwa wenzetu ndoa hakuna tena, familia nyingi za mzazi mmoja, divorce rate ipo so high,Nini kifanyike kwetu zaidi ya ku post JF tu??maana naweza kutaja Hadi NGO ya kwanza Tanzania kupewa hela ku push Agenda..after 10yrs tutakua pabaya,now wanaume sio wanaume tena wanawake wanaofanya kazi na degree ya UDSM hawaambiliki wakasikia wala kutulia...
Nambie kama hizi ishara hauzioni hapa Tanzania kwasasa, especially miji mikubwa kama Dar ambapo mahusiano yamekuwa biashara kwa wanawake kuwekeza miili yao kama mitaji.

Familia za sasa kwa wastani 10 nane ni masingle mother wenye wanaume wanaozuga nao kama waume wa ndoa ila sio rasmi.

Kupost kwenye mitandao ni hatua ya awali na muhimu sana katika kutoa elimu ya kutambua nini kinaendelea kwenye jamii. Humu ndani tupo na watu muhimu,viongozi,wasanii, wanaharakati na wanajamii wakereketwa wa maswala ya maendeleo, hao wote wanasoma na inaanza kuwapa amsha ya nini kinaendelea.

In time utaona mijadala inaanza bungeni, kwenye nyumba za ibada na hata mitaani. Ni swala la muda sababu kila mtu anajionea.

Hao wanawake ambao wamejikita kwenye ufeminism hatuna haja ya kudeal nao. Hao hao ni wa kuwatafuna na kuwaacha solemba. Sisi tudeal na kizazi cha hawa mabinti wadogo na jamii. Hawa ndio wanaohitaji ukombozi. Feminism inamtarget binti mdogo kati ya umri wa miaka 8 hadi 30 hapo. Hao ndio target age group yao. Mwanamke akishavuka 30 anavurugwa na maisha anapata wapi muda wa kufukuzana na ideology za maneno matupu na kumjaza jazba lakini hazimsaidii kulipa bills zake. Atajinyenyekesha hadi apate mwanaume akae kimya aufyate.
Je femenism jambo zuri au Kuna agenda ya Siri?are we colonized through compassion???Dini, Elimu,Gender equality zipo ku controll system (kwa wajinga wenye elimu)
Feminism sio jambo zuri na ni silaha ya kifikra ya kututoa kwenye reli. Adui wa miaka hii haji na jeshi mpakani. Anakuja na programs mbali mbali za kiafya kama chanjo, elimu ambayo anajua baada ya miaka 10 haitakuwa na tija kwako. Na kuwapa ideology za kuwagawa.
Hoja yangu ipo palepale,katika history wanawake walinyanyaswa kwa namna yeyote lazima wangepaza Sauti na kusimama,ila now imefika Mbali Kuna wanawake wanapambana kuhusu woman rights lakini hawajafika huku kutoa mimba na ushoga..Hata hao Jews (Orthodox) wanapinga feminisn Hadi kesho na zamani wanawake wa hivyo Walikua wanatengwa,Hiyo Talmud Ina work Sana for Ashkenazi and sitaki kwenda deep habari zao humu zipo..
Ipo deep sana hii connection kati ya jews na feminism mzee. Usikatae. Unatumia surface info, there's something deep hauja observe.
Kwa maoni yangu Feminism ideology sio mbaya,Ila inavyotumika Kama Tool ya kuuza uafrika wetu kwa Donors kupitia NGOS ndio mbaya isiwe Kama agenda ya kimataifa,. wanawake wetu waseme matatizo yao,changamoto zao..

Fvck UN,Fvck NGOs,fvck IMF
Mzee ukisema feminism sio mbaya then what is our discussion about?

Okay,tufanye sasa feminism ipo in our society mambo yapo hivi, isipokuwapo nini kibaya kitatokea mzee?
 
Upo sahihi kabisa mkuu, wahivyo walishafeli kuishi na wanaume kwa mitabia yao mibovu, unakuta mtu anasema yeye hataki kuolewa na ilihali hakuna hata alieonesha nia ya kumuoa, nadhani ni namna fulani ya wao kujifariji.
Hakuna mwanamke kwenye hii dunia hataki kuolewa kama vile ambavyo hakuna msomi anapoteza muda wake kwenda chuo kikuu kusoma hadi PHD ili akakae nayo ndani then arudi kuuza nyanya gengeni.

Kinachotokea watoto wa kisasa wa kike katika usichana wao wanakosa elimu halisi ambayo ndio feminism original. Elimu inayowafunza namna sahihi ya ku'co-exist na wanaume.

Hivi hata wewe ukienda ulaya unatakiwa kupewa elimu ya msingi namna ya kuishi na wazungu. Ukienda bank kufanya kazi unapewa mafunzo maalumu ya namna ya kuishi mazingira ya taasisi ya kibenki.

Ukiwa mwalimu unapewa mafunzo maalumu ya namna ya kuwa mwalimu na kuishi mazingira ya wanafunzi na jamii ya walimu. Sasa iweje uwe mwanaume au mwanamke halafu usipate mafunzo sahihi ya ndoa na mahusiano utegemee kutoboa?

Mwanamke anakuwaje mwanamke kupitia mafunzo ya kukinzana na mwanaume kushindana nae kiuchumi,kielimu,kijamii halafu mwanaume huyo huyo akutazame kama kiumbe dhaifu akutetee,huo si ni ufala?

Ndio maana mwanaume yoyote anaesapoti feminism kitu cha kwanza huwa nahisi ni aidha hanithi au anaweza kuwa bisexual au shoga kabisa.

Mwanaume mwenye pumbu nzima,akili timamu,uti wa mgongo imara,mtima wa kiume ,damu kali ya kiume yenye madini ya chuma ya kutosha na seli tasilimu kwenye misuli imara hawezi sapoti huo upumbavu wa feminism.
 
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
 
Back
Top Bottom