Una tabia ya ku generalise. Migogoro haifanani. Hapana shaka kuwa kifo cha Lumumba kina mkono wa nchi za magharibi. Lakini Ken- Saro Wiwa aliuawa na waafrika wenzake. Yanayoendelea Sudan ya Kusini yanatokana na uroho wa viongozi wa nchi ile. Hivyo yanayoendelea DRC. Gaddafi aliuawa na raia wenzake ambao inawezekana walikuwa facilitated na nchi ya magharibi. Hii haina maana migogoro yetu yote imechochewa nao. Sisi wenyewe kuna migogoro inayo tuhusu wenyewe.
Sijui umefafanua kitu gani hapa sasa. Maana unasema nina tabia ya generalization then unakiri kwamba nyuma ya migogoro niliyotaja kuna mkono wa mzungu.
Utanilazimishaje nikubali hoja yako ambayo najua kuwa ni ya kipumbavu. Hao Jews unaosema wame orchestrate Feminist hawakuwa na nguvu yeyote maana walikuwa wanabaguliwa na kudharauliwa sana. Hawakuanza kuuawa wakati wa Hitler. Wanawake hawakuanza hivi karibuni kudai haki sawa na wanaume. Kuna Muingereza Mary Wollstonecraft wa karne ya 18. Kuna mfaransa Simone de Beauvoir. Kuna Black Feminists kama bell hooks, Sojourner Truth, Patricia Hill Collins ambao walisema kweli yao ni tofauti na ya wanawake wa kizungu. Wanaonewa kwa sababu ya weusi wao na jinsia yao. Sasa wewe nitajie hao Feminists wa kiyahudi unaosema ndio walianzisha hii ideology. Nakushauri tumia tu Google. Itakusaidia.
Hakuna mtu kakulazimisha ni wewe unaforce mimi nionekane naongea kitu ambacho hakipo,so nimekaa chini nimetunga? Sasa unabisha ingia hapo mtandaoni tazama shughuli za mafeminist wa sasa ni zipi halafu unambie who is facilitating them?
Swali gani hili la kipuuzi? Wewe unadhani hao unadhani dunia ingebaki na imani ya kuwa mwanamke kazi yake ni kuzaa tu na kuwahudumia wanaume tungefika hapa tulipofika? Mchango wa madaktari, mainjinia, maprofesa mpaka wanasiasa unaubeza? Leo hii unaweza kumpeleka mke wako hospitali na ukakuta Gynecologist ni mwanamke mwenzake ambae ana experience na yanayomsumbua? Yote hayo huyaoni?
Ungekuwa articulated kama unavyojinasibu ungelijibu. Sasa onagoma kujibu unataka tuongee nini zaidi na unakiri kuwa we are not on the same page.
Hivi vitu umeongea hapa vinapatikana hata kwenye madaftari ya wanafunzi kuzungumzia advantages za jambo na disadvantage zake. Mimi ninakwambia observation ya kinachoendelea sasa.
Wewe unaongelea wanawake kupata kazi,sijui michango yao baada ya kuwa mainjia,who gives tha *** kwan hizo kazi mwanzoni wanawake walifanya na Dunia ilisimama walipokuwa hawapo maeneo ya kazi?
Usiniletee propaganda za mtu anayelipwa kuwa publicity wa brand hapa. Mimi sijali wewe na hao unaowasapoti kuwa wanachangia nini katika soko la ajira. I am more worried na watoto wa kiume ambao kwasasa wanaangamia huku naona halafu wewe na pumbu zako useless unakuja kuni patronize hapa ili niseme its okay,are f*cking with my intelligence u piece of wet wipe? 🤔
Wewe hawa watoto wa sasa wa kiume kubadilika haikustui unakuja hapa na hizi sifa utadhani tupo siku ya wanawake Duniani hapa. Mimi siko hapa kusheherekea decoration ya mafanikio ya engineers wa kike nipo hapa kutetea maslahi ya watoto wetu siku zijazo especially watoto wa kiume ambao now wanadidimizwa kwa makusudi.
Sio wajibu wa mwanamke kumsaidia mwanaume. Wajibu wa mwanamke kama ilivyo kwa mwanaume ni kushirikiana na wenzake ili kujenga familia na taifa bora. Kuna familia nyingi zinaokolewa na juhudi na busara za wanawake. Sasa hivi hofu kunwa ni kwa vijana wa kiume ambao wanaamini kuwa haki yao ni kuhudumiwa kwa sababu tu ni mwanaume.
Sasa kama unajua kuwa sio wajibu wa mwanamke kumsaidia mwanaume mbona unakuja kusema ni sawa kwa mwanamke kutetewa apate kazi katika maeneo ambayo wanaume ndio huwa kazini, mtu timamu wa akili unaweza kusema kitu kama hiki?
Yaani unakiri kwamba mwanamke hata kama atapewa kazi then hana wajibu wala majukumu ya kumsaidia mwanaume why then sasa apewe kazi na hana majukumu na mtaani tuna wanaume wanakosa kazi hadi wanashindwa majukumu yao?
Again sipo hapa kutukuza mafanikio ya feminism na wanawake na maendeleo yao, nipo hapa kuongelea madhara ya Feminists na feminism kwenye jamii yetu na namna inaathiri mahusiano ya wanaume na wanawake,kuharibu watoto wetu wa kiume na kuwawekea watoto wetu wa kike future mbaya baadae. Kama unatatizo na hilo you can take that feminism crap,mix it in your cup of coffee,drink it and have a good life. Because i don't give a zero f*ck about hizi mapambo unaleta hapa.
Ni wanawake wachache mno ambao wanatoa mimba kwa kupenda tu. Mara nyingi chanzo ni mwanaume. Wanaume huwa wanashinikiza mimba itolewe ili akwepe majukumu au anahofia heshima yake itaathirika ( mtu mzima amempa mimba house girl wake n.k.). Au anatambua kuwa hana uwezo wa kumtunza mtoto akizaliwa hasa kama mwanaume amemtelekeza. Feminist huwa hawajikuti kwenye hiyo dilemma kwa sababu haombi kibali cha mwanaume kuhakikisha hapati mimba.
Again ningeendelea kukujibu kwa hoja kama ungekuwa mwanamke but katika kitu haujafahamu kuhusu mimi and naomba ukifahamu from here now on kuwa mimi huwa siwaki na SIMPS au mwanaume ambae katika mijadala ya kiume anajikuta yupo neutral au anatetea kambi ya kike. Kwangu hiyo ni usaliti and it brings some gay vibes.
Katika kitu nachukia ni kuona mwanaume yoyote anaongea mambo ya kike kwa sauti ya kiume. Watu kama wewe mna mchango mkubwa sana katika kuzorotesha taifa sababu ya kutetea u*s*ng* unaoendelea kwenye jamii kwa kukingia wanawake vifua wakati nyuma ya pazia kuna mengi wanafanya kwa maamuzi yao binafsi ila wakiharibu wanasema ni kosa la mwanaume.
Unasema ni wanawake wachache wanatoa mimba kwasababu ya kutaka,so wengi wao wanalazimishwa,una uhakika na hili unalosema au umechagua kuwa mjinga tu hapa?
Sisi tunaongea vitu tunavyojua na tunaviona wewe unakuja hapa kutetea mambo kike kike halafu unajikuta mwanaume katika kundi la wanaume *****. Hebu nenda kwenye mijadala ya wanawake huko mkapongezane na shughuli za akina mama ,usiwe unajimix kwenye mada zetu za kiume tukiwa tunatoa sumu zetu,achana na sisi kabisa, this was man space unakuja na pigo za kike kwa sauti ya kiume umeshanikata stimu.
Ungekuwa mwanamke ningesema twende sawa maana ni mwanamke unatetea kambi yako but wewe ni mwanaume halafu unakuja hapa na mbaga za kike.
Haki na wajibu haupewi. Ni sehemu ya ubinadamu. Mwanaume rijali hangojei kupewa kitu ndio atimize wajibu wake. Mtu kama huyo ana jina lake ambalo sio vizuri kulitaja.
Unataka mimi nijibu hapa,hizi ni vitu gani umeandika hapa sasa. U are wasting my time.
Maswali mengine ya kijinga. Wanawake kama walivyo wanaume huwa wanakosea. Miongoni mwao pia kuna wema na waovu. Kuna wakina Margaret Thatcher na kuna wakina Golda Meir. Wote hao wana strength na weakness zao. Wapimwe kwa matendo yao individually, sio kwa jinsia wanayo share na wengine.
Seriously unategemea jibu? Kwako wewe unaamini kuhusika kwao ni lazima kumeathiri sio kujenga! Sasa nikueleze nini mtu kama wewe?
Kwa hiyo wewe unaona wabaya ni wanawake waliokaa kimya na sio wale wanaume waliombaka? Mbona Gwajima na wengine walizungumzia sana suala hilo?
Wewe usiwe mjinga,mimi nipo Twitter pale tokea ile video inapostiwa mara ya kwanza. Nenda kwenye page ya Martin kasome utaona comments hadi za wanawake wanalalamikia hilo kuwa wanawake wamewaachia wanaume lile tukio wao wapo kimya inamaana haliwaumi.
Huyo fatma karume alikuja kucomment kwa mara ya kwanza siku kadhaa mbele. Wengine walifuatia kidogo baadae. Nenda kasome comments za watu kule halafu ujiridhishe. Unajua hata nani alileta ule mjadala mtandaoni? Huyo tu aliyetuma wale wahuni ni mwanamke,wewe unakuja kutetea hapa,hebu niondolee bange mimi.
Muongo. Walizungumza sana. Wale usiowapenda kama Fatma Karume, Maria Sarungi walizungumza sana. Bawacha na UWT walilaani.
Nenda katazame time line ya tukio hadi kipindi wanazungumza. Mimi nilikuwepo kwenye space zaidi ya tatu hakuna mchangiaji wala mwanamke kujadili lile swala.
Wanaume ndio walishikia bango ile issue. Hao unaowataja walikuja baadae sana bada ya tukio kuvurumishwa sana hewani. Wewe unanibishiaje vitu vina ushahidi nenda kule Twitter katazame tokea mwanzo halafu kuwa unasoma comments kwenye posts utaona aibu unachotetea na utakachokikuta.
Acha kutaka sifa za kijinga. Sasa uongozi wa JWTZ ni wa kike? Suala liko mahakamani ulitaka waseme nini zaidi ya kusikitishwa?
Mimi nitaacha ujinga wewe ukiacha upumbavu. Nimesema kuwa JWTZ hawakutoa tamko. Ikupe picha kuwa wale vijana hawajachukuliwa hatua yoyote. Ile kwenda mahakamani ni kiini macho kuwalaghai raia ili ule mjadala ufe.
Wewe umeona wapi watu wanahukumiwa bila aliyewatuma kutiwa mbaroni. Hiyo kesi umewai kuona wapi. Yaani utume watu wakabake na kumfanyia binti mdogo miaka 16 ukatili halafu wewe kwenye kesi usiwepo na ni prime suspect? Halafu kesi inakwenda fasta ndani ya mwezi watu wamefungwa. Jwtz, ni jeshi la wanainchi halijatoa taarifa yoyote kwa mabosi zake (wanainchi), unaongea nini wewe?🤔
Wanaowabaka hao ma house girl na mabar maids ni Feminists?
So tunajadili ubakaji tena? Wewe sikiliza usiniletee hizi habari hapa. Again,kama umeshajijua wewe ni Simp usiwake na mimi kwasababu mimi na wanaume wanaojinasibu ni advocates wa mambo ya kike kwangu nawaona ni gays na mimi siwaki na hizo vibe so kama vipi potezea mada. Mimi huwa si deal na ma traitor wa jinsia, go back to sister's sorority mkacheze Barbie house or pillow fight. This is men space.
Wewe ni incel. Una chuki kwa sababu unakataliwa na unazidiwa kwa kila namna na wanawake. Ego yako ni fragile kiasi unakimbilia ku vent humu ambako hawatakuona.
Kwaheri. Sitakujibu tena.
Incel by definition ni involuntary Celibate yaani kapera bila hiyari. Nigga, nina kwangu,nina mwanamke naishi nae. Kama haujui neno lina maana gani usilitumie. Usiniletee hizi mbaga za kike hapa. Sipo hapa kutafuta umaarufu au kutafuta mademu, am here to communicate my thoughts kwa jamii yangu ya kitanzania.
Nina tafuta jambo na topic ninaloweza lichambua ninalisema bila kuhofia litaumiza nani sababu ukweli unachoma unapoelekea.
Sasa sijui wewe unajikuta nani kuja kunambia kuwa sipo sahihi kusema kipi na kipi as if unalipwa kuja kutetea upuuzi.
This is Men space kama wewe unaona unakandamizwa nenda kwa wanaume wenzako huko mkajadili namna ya kudanga wakutafutie na mwanaume mwenzako akutawale huku ukisubiria siku ya mwanamke wa shoka uvae kanga ukasherehekee nao huko vilingine.
Untill then achana na mambo ya kiume,huku sisi hatutaki unafiki na tabia za kike.