Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Naona ungekuwa una uwezo ungepiga marufuku watoto wa kike kuingia darasani. 🤣🤣🤣
Wangeingia,elimu ni muhimu sana kwa mwanadamu. Ila wangepewa elimu ya tofauti na wanaume ili wakitoka shule wawe na majukumu separate na ya wanaume na wajue mipaka yao.
 
Ina maana huoni tofauti kati ya mwanamke aliyezaliwa naturally mtoto wa kike na mwanaume aliyejibadili jinsia na kuwa mwanamke???!!!!
Wanaona na wanajua ila sasa si mafeminist walifosi miaka ya nyuma kuwa mwanaume na mwanamke ni sawa.

Sasa hadi kuna wanaume wanajikana kuwa sio wanaume wao ni wanawake ili wapate urahisi wa kimaisha. Wanatafuna watoto wazuri wa kike na wanaingiza mpunga mrefu kwenye michezo ya wanawake.

Wapo wengi unamfahamu huyu, Britney Griner anacheza kikapu ligi ya wanawake na anajitambulisha kama KE. Ila mtazame kwenye hizo picha hapo.
 

Attachments

  • images (27).jpeg
    images (27).jpeg
    30.8 KB · Views: 7
  • images (23).jpeg
    images (23).jpeg
    34 KB · Views: 8
  • Screenshot_20250504-004629.jpg
    Screenshot_20250504-004629.jpg
    202 KB · Views: 9
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
Feminism ni movement ya kishetani ambayo watu wachache waganga njaa wanatumika kunufaisha matumbo yao.
 
Feminism ni movement ya kishetani ambayo watu wachache waganga njaa wanatumika kunufaisha matumbo yao.
Nitarudia tena kusema kwamba wanawake wanatii zaidi hisia na mihemuko yao kuliko uhalisia au watu wengine.

Soma huyo binti namna anaona ni sawa kwake kuharibu jamii ili mradi tu atimize azma yake ya kuwa feminist uchwara.
 
Hizi movement za kijinga zitaja kutugharimu huko mbele, hawa matajiri wa Kimagharibi wamefanikiwa katika nchi zao kuuaminisha huu uchafu kuwa ni kitu cha kawaida ktk jamii.

Wanazo agenda mbili ufeminism, na ushoga.
Kuna mdau humu alileta mada, jinsi watu wanavyolipwa pesa nyingi kuhudhuria semina zinazofundisha jinsi ya kuwashawishi watoto wa shule za msingi kuingia kwenye ushoga.

Kuna haja ya serikali kupiga marufuku hizi harakati kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Nitarudia tena kusema kwamba wanawake wanatii zaidi hisia na mihemuko yao kuliko uhalisia au watu wengine.

Soma huyo binti namna anaona ni sawa kwake kuharibu jamii ili mradi tu atimize azma yake ya kuwa feminist uchwara.
 
Kuna maswali ukiuliza ni kama unapima kuona mtu atakujibu nini ila unafahamu wazi kuwa majibu ni yapi.
Wewe kama mtoto wa kike kukosa elimu ya kwann una bikra ni hasara ambayo jamii haitakiwi kufumbia macho kamwe.

So kwako hilo ni jambo baya mwanaume kujiskia fahari kuwa na mwanamke msafi wa kimwili na tabia?

Wanawake ndio wateseka zaidi na zinaa kuliko wanaume. Magonjwa ya zinaa yaishi kwa wanawake zaidi kuliko wanaume hiyo kama ulikuwa haufahamu ujue.

Wanawake kwa kila mwanaume anayefanya nae mapenzi analoose sexual drive kwa mwanaume anaefuata kwasababu hajaumbiwa kufurahia kwa kuingiliwa na wanaume wengi. Mwanaume kwa kila mwanamke anayetomba anapata experience inayomfanya kuwa vema kwa mwanamke anayefuatia. Na akija oa anaoa wanawake wachanga yaani wadogo kuliko aliopita nao.
Subiri ufike 40 utaelewa.

Ndio mwanaume hujiskia kushushiwa heshima then nini hutokea kwa mwanamke sasa? Mwanaume akioa mwanamke mpya anayejiheshimu huyu aliyemuacha nani anachukua na hapo kila mtu anajua kuwa alikuwa mke wa mtu akazingua?🤔

So mfano wewe ukitoka nje umevaa kimini mume akakukataza anafanya hivyo kwa faida yake au ya kwako pia? Shida ni nini kwenye akili yako wewe mbona unawaza kama mtoto wa miaka 12?😂

Umesema wanaume wanapigania wanawake wa sasa kwa mitazamo ya 1947 meaning kwamba wanataka wanawake wa sasa warejee maisha na mitazamo ya kipindi cha 1947. Ukikataa maana yake ni kwamba jamii ya miaka ile ni bora kuliko jamii ya sasa, why sasa tena unakanusha maneno yako?

Kutaka wanawake wastaarabike wasidange,walee watoto wao wenyewe,washikamane na wanaume,watumikie ndoa zao na kuheshimu misingi ya ndoa ndio unaita wanaume kujipigania wenyewe?

Elimu ipi,hii ya chuo kikuu? Unaweza nambia ni kwa namna gani degree ya HR, CPA, degree ya engineering,udaktari, Degree ya Business Administration inatumika katika maisha ya ndoa? Unaweza kunipa application ya elimu hata ya form six namna inatumika kusolve changamoto za ndoa na familia?

Au unashindwa kukiri kuwa hujui kuwa kuna elimu ya ndoa ambayo haina uhusiano na masomo yanoyotolewa UDSM na vyuo vingine vikubwa?

Kukeketa haijawahi kuwa wala haitakuja kuwa maagizo ya mwanaume. Ile ni matrilineal practice ambayo hufanyika kama sehemu ya mila za baadhi ya makabila kudhibiti hisia kwa mwanamke ili asitoke nje ya ndoa. Hufanywa na wanawake kwa wanawake,sijui ni wapi uliambiwa wanaume wanahusika?

Ila ni kawaida yenu mafeminist kutaka kila baya mwanaume awajibike ila mazuri msifiwe. Utasikia "nyuma ya kila mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke". Ila mkisha zaa na kuwa masingle mother sababu ya umalaya mnasema mwanaume ndie chanzo na sababu sio umalaya wenu.

Na hili la kukeketa ambalo hufanywa na kamati za wanawake unasema wanaume ndio sababu why unakuwa mpotoshaji hivi?

Hapa sidhani kama ninatakiwa kujibu kitu maana umeandika paragraph ndefu ila maudhui ni lawama tu na kubeza. So hapa sina cha kujibu.

Ukisema kupambania maana yake ni kuna vita. So unampambania mtoto dhidi ya kitu gani kinachomshambulia?

Ishara ya kwanza kuonyesha kuwa kuna tatizo ni kufosi baba mtoto/watoto asiwepo katika maisha ya mtoto/watoto kwa kuweka mazingira magumu kwake kuwafikia watoto halafu kumfosi alipie bills za watoto kwa mambo ambayo hakushiriki kupanga ili asuse akuache uwalee mwenyewe halafu ugumu wa kazi ya kulea watoto ukupe kichaa uanze kuwatemea watoto sumu za changamoto zako huku ukimlaumu baba yao na kuwaambia hafai eventually kuwapa watoto trauma ambazo hazina ulazima, hiyo ndio kuwapambania? Wewe sio mzima kichwani.

Sawa inaweza kuwa kweli so tutengeneze sheria ambayo itasema kuanzia leo watoto wa kike ndio watoto sahihi wa kiume ni changamoto au unapendekezaje? 🤔

Kingine so wanafanya hayo yote kwa nguvu ipi? Wengi si ndo hawa wanadanga,wanakwepa ndoa,hawapati watoto au wanazaa nje ya ndoa wanakuwa single mothers,hii ndio structure ya maisha ambayo unaona ni sawa kwako,yaani uzae watoto wasijenge maisha yao, waache kutafuta ndoa wahangaike kukutengenezea maisha mzazi na kusolve changamoto za familia na ukoo? Has feminism made you this lame wewe kumbikumbi?🤔

Imagine ungekua ukisikia mama yako analalamika kuwa baada ya kuolewa na baba yako walikuwa wakipambana pesa inayopatikana 80% anapeleka kwa wazazi wake na kusomesha baba zako wadogo na kusaidia mabinamu zako huku nyingi mkilala njaa, ukikosa ada,na kudumaza maendeleo ya familia yenu. Ungemuonaje baba yako?🤔 Au ndio kama kawaida mafeminist takataka huwa mnatafuta namna yoyote ile kublame wanaume kwa baya au zuri?

Hiyo itakuwa ni feminism ya Ugweno au Kihandeni Tanga. Ila sio feminism na mafeminist ninao wajua. Mngekuwa mnaunga mkono familia tungeona majority mpo ndoani. Ila wengi wenu ni wasimbe,wasagaji, masingle mother,mshatandikwa talaka. Mnapenda kutengeneza rasta kichwani a.k.a tarantula heads. Hakuna chochote mnachosapoti kuhusu ndoa. Takataka daraja la kwanza kwenye jamii.


Maamuzi gani mnayotaka kuwa nayo? Mwanaume akihitaji msaada atasema wife shika pale unisaidie. Asiposema kwann umlazimishe? Ya kwako ya ndani yanakushinda hadi unaita house girl kutoka kijijini akusaidie,utayaweza ya huku nje?

Wewe usichanganye Vijana Marioo wachumia kiuno/ walamba nyuchi na mwanaume anayetaka kutengeneza familia kwa jitihada zake binafsi. Ninyi feminists huwa mnakawaida ya kuishia na hawa vijana tegemezi wanaotaka kulelewa ili muwacontrol, mwanaume kama mimi nikae na mwanamke mjuaji kama wewe uniletee ujuaji ni ndani ya saa chache tu nitakuzaba vibao ukae kwa adabu. Sinaga muda wa kubishana na mtu ambaye huwezi kufululiza mwaka ukinilipia bills zangu. Wewe unaweza bishana na mtoto wako ambaye unamnunulia hadi chupi halafu aanze kukupangia maisha?

Swali kwako,nani alikutafutia mwanaume ambaye anataka mgawane majukumu,si huwa mnawataka wenyewe? Kwa mfano wewe hivi ulivyo,unategemea utakuja kutana na mwanaume anayejitambua ambaye ana pesa zake na uwezo aje akuweke ndani kama mke? Utachezea vipigo hadi useme mimi ndoa sijaumbiwa kuishi ndani yake. Labda kama utakuwa unatuigizia utata hapa ila huko uraiani ni adabu mwanzo mwisho.

Maana yake kwako hivyo vyote ni sawa na havina shida vikiwepo kwenye maisha ya mwanamke. Hili ni tatizo tayari na wewe haufikirii sawa sawa kudhania kuwa jamii ipo okay kuwa na hizi makitu.

Kutoka kutafuta haijaanza leo hata miaka ya nyuma wanawake walitoka wakaenda shamba kulima,wengine kuchunga wanyama. Sasa technology imekua kubwa. Kazi zimekuwa rahisi why wanawake badala ya kufanya kazi kama wenzenu wa japan na wachina ninyi mnakwenda nje kuanza mahusiano maeneo ya kazi. Sasa hapo wanaume wanashida na wanawake kutoka nje au wanamashaka na tabia zenu mara tu mkishatoka nje?



Hakuna sehemu nimechanganya, bali nimesema kwamba Feminism ndio pandikizi waliotengeneza njia kwaajiri ya LGBTQ kuongezeka na kuwa na social support kubwa kwenye jamii ya magharibi. Mfano tu hapa Tanzania ulishawahi kusikia mashoga kipindi gani ukitoa cha sasa? Muulize baba na mama yako kama miaka yao walishawahi shuhudia mashoga wazi wazi au tabia hizi za ushoga na usagaji kama miaka yetu hii watakwambia.

Kama LGBTQ ilianzishwa makazi ya watu wa Middle east naomba picha na ushahidi wa sherehe na Maandamano yao ya Pride month yaani ule mwezi maalumu wa LGBTQ ambao hujitangaza. Unazo hizo picha au ushahidi wowote wa shughuli zao huko middle east?


Kuwepo tokea zamani sio hoja. Hoja ni upo sasa na una maamkizi na mwamko mpya. Sasa sioni hoja yako unajikita eneo gani kusema walikuwapo tokea zamani.
Sijaelewa hoja yako hapa ni ipi? Unasema feminism haina madhara kwa wanawake yet unakiri kuwa mafeminist hawapendwi na wanaume sasa hayo si madhara ya feminism?

Kama hauoni wanawake ambao wanachemka kuolewa na kutulia katika ndoa ila wanafaulu kuzaa na wanaume za watu kisha kutelekezwa wanalea wenyewe kwasababu ya mitazamo yao ya kifeminist then sioni namna nyingine ya kukuelekeza maana unaleta mzaha sasa na haya mazungumzo yetu.


Ukitaka kujua huwa haupo serious na hii mijadala na huwa unalenga kurumbana na sio kujenga hoja ni kama hivi. Kule juu umesema kuwa Feminism haina madhara then hapa chini unakiri kwa maneno yako kuwa feminism imewa indoctrinated wanawake kuwachallenge wanaume . So wanaume waliumbwa kuwachallenge wanaume au kushirikiana nao kutengeneza jamii?

Feminism ina madhara kwa wanawake na watoto maana ndio victims wa hiyo ideology. Hapo wewe ukijitazama kwasababu ya feminism haupo mahusiano serious na pengine utazalia kwenu na kulea mtoto bila baba yake au utazoa mwanaume yoyote yule dhaifu ndio awe mumeo but ndani humo wewe ndie utakuwa kimbelembele wa familia badala ya mumeo kuwa kiongozi. How will that affect your ex boyfriends ambao walikutumia na wakatafuta wanawake serious wakaoa na kujenga nao familia bora? Nijibu swali kwanza,wewe umeolewa hapo,una watoto katika umri wako huo?

Ndoto ni kitu gani mbele ya maisha serious,yaani unaota maisha ambayo hauna,how stupid can u get?

Usiwasemee wanawake wenzako ambao ndoa kwao ni jambo muhimu na wanalizingatia. Wewe upo corrupted na akili ilyoharibiwa na feminism wenzako huku nje wanaolewa na wanaishi kwenye ndoa endelea kuishi kwenye feminism utopia uzee unakunyemelea ngoja ugonge 30 utakuwa unasoma hizi nyuzi unaumia.

Mwanaume anaweza kuwa na trauma ila akasimamia nafasi yake na majukumu familia ikaenda. Mwanamke akiwa na tamaa tu achia mbali trauma lazima avuruge utaratibu.

So achana na hilo maana sio sehemu ya mada. Kama unahoja fungua uzi wenye kichwa cha habari kisemacho kwanini wanaume huwa wanaficha trauma zao wanasema za wanawake then tutajadili huko.

Mwanaume on average hatakiwi kuhangaika na furaha ya mwanamke kiumbe ambaye hajui anataka nini. Sisi hatuna time na furaha zenu maana hazinaga kipimo wala standards maalumu. Tunachotaka mjiweke kwenye mkao wa kike ili tuweze kuwapokea kama wanawake.

Kama wewe hivi ulivyo hakuna mwanaume atataka hata kukugusa maana ni takataka,hakuna mwanamke ana haiba kama yako halafu mwanaume aweze kaa nae kwa amani. Ujuaji,ubishi na viburi vimekujaa.


Kama nilivyokwambia. Furaha ni jukumu lako binafsi. Naweza kukununulia gari,kukujengea nyumba nzuri,nikakupa na account ila ukakosa furaha sababu hatuspend time vizuri pamoja sababu nipo busy kukutafutia pesa za kukupa hiyo furaha.

Pia naweza kukaa ndani na wewe muda wote nikikubusu,kukuimbia, kubembeleza,kukutomba ila ukawa na huzuni kwamba kwann sitoki kuchakalika kama wanaume wengine hata kama hatushindi njaa na kodi nalipa na nakupa mahitaji yako madogo madogo. So mwanaume hana kazi ya kukupa wewe furaha,wewe anatakiwa kuishi na wewe mkijenga familia bora. Furaha akupe yeye kama nani acha kuwa mwehu.

Kama kulea mtoto hammview kama utumwa mbona siku hizi mnaachia mama zenu walee watoto wenu,ma House girl wawalelee watoto wenu. Wewe ni mwanaume sasa kusema utaelewa?

Wewe wanawake wangapi unaowajua wanalea wanaume?

Unaongea kama as if saa hii hakuna wanawake wanalea watoto wenyewe huku. Hivi tukisema SINGLE MOTHER huwa unaelewa ni nani? Wewe unashida ya uelewa. Wanaume hawana hasara mnawapunguzia majukumu na gharama na kuliharibu taifa na jamii. Watoto wenyewe wakiwa wakubwa aidha wanakuwa hasara sababu ya lifestyle mlizowalea au wakikutana na baba zao wanakengeuka na kuwageuka mama zao. Sasa sijui unakuwa umekuja duniani kufanya nini. Bora hata ungekuwa muigiza X.

Matoto mnalea vibaya . Ya kike yanakuwa madangaji wa kiume wanakuwa gigolos (Marioo) wengine wanakuwa majambazi wanawakaba tena wenyewe mama zao,wanawaibia pesa ndani. Sasa unahisi tunakomolewa wanaume,ebo.


Kila mfumo una operate under expenses. Utafanya kazi kwa expenses ya nani? Mfano tu saa hii mkitoka, huku majumbani watoto wanalawitiwa na majirani,wanapigwa,wanauwawa, wanafanyiwa mambo ambayo sio. Hiyo ni faida,na wewe umekaa hapa unatetea upuuzi unaopelekea yote hayo. Nonsense. Yaani unaona ni bora mfumo destructive kuliko mfumo uliosustain maisha hadi wewe ukazaliwa. Wewe ulikuta mama yako anakulea pekee yako? Mabangi haya mnavuta mafeminist yanawatoa network.


Wewe una tuzuia kama nani sasa maana haueleweki una ajenda gani kwamba tusiwaandame ili jamii iendelee kuharibika au tusiwaandame ili wewe ujisikie vizuri. Sisi tutaendelea na hakuna kitu unaweza kufanya kuzuia.

Tutawasakama hadi muipate. Na wewe kwasasa unaelekea walipo wenzako. Uwe single mother ukutane na nyuzi hizi upate kichaa uwe unalia ukizisoma. 😂😂

Ndio tuache hiyo ndio kazi yetu tulipewa na MUNGU ya uongozi,wewe ufeminism umepewa na wamarekani. Tutadeal na nyie perpendicular,utake usitakee.

Ndio maana nasema wewe unachukulia mchezo maisha. Unachati upo kwenye chumba ndani ya mjengo wa baba yako unahisi na huku wenzako wana life style kama yako.

Huku kuna wenzako wakifika miaka 20 wanabalaswa kwao wakajitafutie. Chanzo cha mapato kwa wanawake wengi ni mwanaume. Wewe unalipiwa bili na baba yako shukuru MUNGU. Ungekuwa kapuku hapa saa hii upo geto unatombwa ili upate hela ya salooni.

Huku nje sisi tunahimiza ndoa ili watoto wa kike wasitirike na maisha ya kutangatanga wasitumike vibaya. Wewe unakuja na story zako hapa.


Aliyekwambia sisi tunampango wa kubadilika ni nani? Yaani ninyi mkijifanya vichaa ni sawa na kuwapiga nyani na maembe,tunayala😂😂😂 si unaona tokea masingle mother muongezeke wanaume wanakula mama na watoto kirahisi. Baba angekuwapo kidogo mtoto angekuwa salama. Saa hii wanaume wanafurahia nyumba hazina ulinzi. Anampa binti laki mama elfu hamsini, anawala wote. Wewe upo hapa kuhisi wanaume wanaingia hasara na kuteseka.

Hela tunawapa,kuwala hatutaacha ba kudanga muache.

Nimeshakutajia umechagua tu kutokuelewa sababu unataka majibizano. Sasa unataka kitu ambacho wewe mwenyewe unasema haukijui au hauelewi kipoje,hapo sasa mimi nakupanga vipi.

Yaani ni sawa umeenda hospital unamwambia nipime nionyeshe naumwa nini. Anakupima anakupa majibu unasema mimi siwezi kuumwa huo ugonjwa.

Tunaooa ni sisi. Tukimwambia tunakutana na bikra unakataa sasa sijui huwa tukiwa tunawapelekea moto huwa unatazama? Mabikra wapo. Sisi kuwasema wanawake haina hata uhusiano na sisi kupata wanawake. Mwanaume wa miaka 30+ soko lake lipo huko chini yako yaani hata wewe ni mzee kwake.

Sasa wewe piga makelele na mimi hapa mwenzako ninaishi na mwanamke na yupo vyedi kitabia. Sina kero kuwa nae. Balaa kwako,hujaolewa hadi saa hii unajificha nyuma ya keyboard kupingana na wanaume ambao wanatetea maslahi ya wanawake na wewe ukiwamo.
We subiria tu hapo. 😂

Aliyekwambia tunawaoa ni nani,we mbona unachukulia vitu kinadharia sana. Hao wanaooa si ndio hao masimp ambao wengine ndio hawa wanakuja hapa kutupinga pamoja na wewe. Hao ndio wanaoa. Sisi hatuzoi used. Tunatongoza,tunabutua tunatemana nao.

Dude!

You made me have a mental video of Mr. Hajj taking all these “your” words out of “his” mouth!

It was a disgustingly crazy mental vid. Sad

You talk too much!
 
Feminism iliibuka baada ya wanawake kugundua kuwa wananyimwa fursa nyingi na hawatendewi haki kwa kisingio kuwa ndio stahili ya jinsia yao. Kwamba wao wameletwa duniani kuwahudumia wanaume na kuwazalia watoto ambao hana mamlaka nao.
Basi kama hiyo ni kweli then basi hata hapa afrika migogoro mingi ya kisiasa haina mkono wa mataifa ys magharibi huwa yanasingiziwa tu. Na hata viongozi kama Gaddafi waliuliwa na raia wao mataifa ya nje hayahusiki hata chembe.

Huwezi kuwa unasoma kitu halafu unasema si kweli as wewe ndio muasisi. Who are you kukataa hoja zangu kwamba the feminism ideology was a long time orchestrated plan by the Jews, wewe unajua ninachokisema kimetokea wapi,au mwenzetu ni google una every latest information.

Wanawake wengi walikatazwa kusoma kwa sababu elimu itawaharibu. Hata shuleni waliaminishwa kuwa akili zao haziwezi kumudu masomo magumu kama hesabu na sayansi. Wao waliambiwa wajikite katika mapishi, kushona nguo, kulea watoto na kupamba nyumba ili wame zao wasiadhirike. Wasichana kama Marie Curie ilibidi wafanye kazi ya ziada kuonyesha kuwa ki akili amewazidi wanawake wengi. Wanawake waliambiwa kuwa wao taaluma yao ni unesi, udaktari wawaachie wanaume. Feminists walipinga hii na kusema kuwa wanawake wanaweza kufanya karibu kazi zote wanazofanya wanaume.
Okay, hizi ni hoja za msingi, sasa tuje dunia ya Leo baada ya hayo maazimio kupitishwa tukawa na hii dunia ya leo,je, jamii imeboreka maradufu au imekuwaje na hii feminism inavyoendelea kwasasa?
Vita Kuu za Dunia ndio zilithibitisha ukweli wa madai yao maana wanawake ndio waliofanya kazi viwandani na kwengine wakati wanaume wameenda vitani.
Ilibidi wafanyae wasingefanya na vita ya dunia inaendelea workforce gani ingetumika kama ziada. Na si ndio kazi ya mwanamke kumsaidia mwanaume pale mwanaume anapoelemewa na majukumu au?
Uvumbuzi mwengine uliowasaidia Feminists ni vidonge vya kukinga mimba maana wanaume walikuwa wanatumia uzazi wao kama kisingizio cha kuwanyima fursa. Hatuwezi kukuajiri katika nafasi hii maana kuna miezi utashindwa kufanya kazi kutokana na uja uzito na kulea watoto.
Nice work na leo unaweza jionea mamilion ya ujauzito zinatolewa bila sababu za msingi,thanks to feminists and feminism.
Vidonge viliwawezesha wanawake kuweza kuchagua wakati muafaka wa kuzaa. Ikumbukwe pia kuwa kuzaa kwa mara mara na katika umri mdogo unawaathiri sana wanawake. Hao wanaobezwa kuwa ni single mothers mara nyingi ni kwa sababu wanaume hawakutimiza wajibu wao wa kuwasaidia kulea watoto waliozaa pamoja.
So jibu ni kutoa mimba au kumeza vidonge vya kudhibiti mimba si ndio? Unasemaje wanabezwa na walichofanya ni maamuzi yao binafsi but yanawaathiri watoto na jamii? Ili mwanaume atimize wajibu wa kuwa baba anatakiwa kupewa haki gani kwanza? ( Kama haujui usijibu)
Aidha, mara nyingi wasichana wanakataa kuwataja waliowapa uja uzito kwa kutotaka kuwaharibia maisha.
Kitu kingine ambacho Feminists walileta ni haki ya mwanamke kupiga na kupigiwa kura. Hata Ulaya wanawake walikuwa hawana haki ya kupiga kura.
Na sasa wanapiga kura na kupigiwa. Hiyo imeboreshaje maisha yetu eneo la siasa na uongozi?
Unajua impact ya Wanawake eneo la kura huko mataifa ya magharibi ambapo feminism imetokea?

Sera za immigration, vita, parenting, social warfare,hayo mambo ya sexuality etc vimeathiriwa vipi na wanawake kupiga kura?🤔
Kwa hapo kwetu Feminists ndio wako mstari wa mbele kuhakikisha wajane na watoto wa kike hawadhulumiwi urthi wao. Wanapigania pia haki ya kukataa kutembea na mtu kwa sababu ama anakulipa mshahara, ni bosi wako au amekununukia bia. Wanapigania haki ya vifaa vya hedhi kupewa priority ili hedhi isiwe changamoto kwao kupata elimu, kushiriki michezo n.k.
Kuwa serious basi. Hivi hapa juzi kuna binti amebakwa na wahuni ambao wanajihusisha na jeshi kule dodoma. Hivi uliona kauli za viongozi wanawake wakitoa tamko lolote?

Kuanzia Raisi mwanamke kimya, spika wa bunge mwanamke kimya, mkuu wa polisi kule dodoma kimya, Tume ya haki za binadamu kimya, UWT kimya, wanawake mashuhuri na wenye majina wote kimya.

Waliopiga kelele mtandaoni mimi ni shahidi ni wanaume na ndio walisababisha baadhi ya viongozi kuanza kuingilia kati nayo imeshia kiusanii kuwa vijana wamekwenda jela,umeona tamko lolote kutoka JWTZ?

Means wabakaji hawajachukuliwa hatua tuliigiziwa tu.

Hapa hata mwanamke apigwe mtetezi wake huwa ni wanaume na ndio wenye huruma na wanawake. Mahousegirl wadogo wengine ni miaka 12 vitoto vya kuwa shule,kila uchao vinaletwa mjini kufanya kazi za u house girl,nani huwa anawaleta,si hawa hawa mafeminist wanawake, ushawahi sikia mwanaume atake house girl tena kabinti kadogo?

Sasa wewe ni feminist gani unaowaongelea wanatetea wanawake na watoto?

Ukiona feminist wa Tanzania kafungua NGO au yupo busy kutetea wanawake na watoto then jua its for publicity ili apate malipo, sponsors wa nje na ndani, au apate teuzi. Nothing more.

Feminist are not women and children saviors ni watu wenye matatizo ya akili wanajificha nyuma ya harakati.
Ni mpumbavu tu ndio atawatukana Feminists. Mara nyingi watu wanaofanya hivyo ni wale ambao wanakataliwa na wanawake wa kiwango fulani. Hali inaweza kuwa mbaya sana kwa sababu ufaulu wa wanawake unaukaribia na wakati mwingine unazili ule wa wanaume.
Mzee unanitia mashaka. Mwanaume au wanaume hatupo hivi, mbona kama umerudisha kadi ya chama cha wanaume mapema sana mzee.
 
Dude!

You made me have a mental video of Mr. Hajj taking all these “your” words out of “his” mouth!

It was a disgustingly crazy mental vid. Sad

You talk too much!
English please, sijaelewa umemaanishaje hapa if you don't mind me asking.

Everything is possible, maybe i talk too much or you listen very little then u stop before u understand anything.
 
Hizi movement za kijinga zitaja kutugharimu huko mbele, hawa matajiri wa Kimagharibi wamefanikiwa katika nchi zao kuuaminisha huu uchafu kuwa ni kitu cha kawaida ktk jamii.

Wanazo agenda mbili ufeminism, na ushoga.
Kuna mdau humu alileta mada, jinsi watu wanavyolipwa pesa nyingi kuhudhuria semina zinazofundisha jinsi ya kuwashawishi watoto wa shule za msingi kuingia kwenye ushoga.

Kuna haja ya serikali kupiga marufuku hizi harakati kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Mwakiembe aliongelea hili swala na kulifanyia hadi press conference, watu wanachukulia poa sana.
 
Kwanza ifahamike kwamba neno feminism lina tokana na neno feminine ambalo ukiperuzi maana yake utakuta ni “having characteristics that are traditionally thought to be typical of or suitable for a woman” na pia utaweza kukutana na maana ikisema “describes qualities, appearances, or behaviours typically associated with women or girls”. Katika hizi maana mbili utaona kwamba neno feminine (adjective) ambalo linatokana na jina (noun) Female limelenga kumtambulisha mwanamke kwa sifa zake za kike kinyume na shughuli za mafeminists wengi wa hovyo kama Jadda et al ambao humtambulisha mwanamke kwa sifa za kiume.

Ukiingia mtandaoni ukatazama maana ya neno “feminist’ na “Feminism” utakutana na maneno kama haya: “a feminist is someone who supports equal rights for women” au “a feminist is a socio-political movement advocating for the equality of the sexes, believing modern societies are patriarchal and unjustly treat women.

Kwa mtu mwenye utimamu wa akili akitazama tu hizi maana yaani maana ya neno jina na neno kitendo haviendani hata kidogo. Yaani kwa asili neno female lina maana ya “wa kike” au “ya kike” lakini iweje tena movement yake yaani feminism iseme ni harakati za kumfanya mwanamke alingane na mwanaume na kuacha asili yake kudai haki za kiume, sawa na mwanaume bila kutumikia au kuwa na wajibu sawa na mwanaume? Make this make sense ndugu zanguni. Ni kichaa tu ambaye ataona hili jambo limekaa sawa sawa na hallina dosari yoyote ya kimantiki.

Hivi kama wanajamii tumeshawahi kujiuliza maswali magumu kama ni haki zipi ni za mwanamke? Au tuhoji hivi, mwanaume ana haki zipi za kimsingi na mwanamke ana haki zipi za kimsingi?

Je, kama mwanaume anapendelewa kihaki je, anapendelewa katika maudhui yapi ambayo mwanamke anaminywa?
Hivi tumeshawasikiliza kwa umakini wanawake wanacholalamika na matakwa yao (sio mahitaji) then kuwatazama wanachokifanya katika uhalisia wakishapewa fursa wanazotaka?

Mimi siungani na hii movement na nina ipinga kama movent haramu kwenye jamii na yeyote anayeisapoti pia anakuwa ni haramu katika hii jamii kushinda hata dawa za kulevya maana dawa za kulevya hazijaleta madhara mabaya kushinda feminism ndani ya muda mfupi.
Unawezaje kuwa na harakati batili inayojinasibu kuwa ipo kulenga kumtetea na kumkomboa mwanamke ila kiuhalisia ime target kushape akili za wanawake kuwa negative katika jamii yao na kuwageuza kuwa kansa ya kuiharibu jamii hiyo hiyo huku kikiacha u’hovyo wa kila aina.
Hebu mtu aniambie faida za feminism na matokeo yake tokea imekuwa introduced miaka ya 1990s?

Ni muda sasa kutambua feminism kama harakati haramu kwa jamii na tuanze kuikemea kwa nguvu zote.

Nimeona pale chou kikuu UDSM wame introduce masomo ya femism ili kuwajaza ujinga mabinti na vijana wetu ambao wanakwenda kupewa elimu ya kuikomboa jamii yao na sio kuigawa katika makundi ya jinsia.

Kama tutaendelea kukaa kimya then tutarajie maasi zaidi kama yanayotokea huko mataifa ya magharibi kama USA, CANADA na United Kingdom ambayo kwasasa yanapitia mvurugiko mkubwa sana wakijamii kwasababu ya uzembe wa kuendekeza ideology za kipumbavu kama feminism katika jamii zao na matokeo yake zimeparanganyua kabisa ustawi na jamii sasa haieleweki ina uelekeo upi.
Uzi best sana huu mkuu. Ukichunguza Kwa upana ideology nyingi za wanawake Huwa hazielemei kutafuta ukombozi Wala maendeleo yoyote ya kijamii Bali hutaka kuonekana wanaonewa, hii inawasaidia ku play victims Kwa lengo Moja maalum ambalo ni kuiharibu jamii without feeling guilty, kabla ya uharibifu wowote ambao mwanamke hupanga kufanya Kwa matakwa yake hutafuta kuti kavu la kujifichia aonekane hakuwa na options zaidi ya upuuzi atakaoufanya.

Pili, wanawake wa kisasa wanatafuta Kila agenda ili kuurasimisha umalaya na njia zote ili kuvuruga mwenendo wa jamii zetu, women don't seek for solutions they'll only find ways for destruction. Fuatilia wanawake wote wanaoshinikiza hizo sera Huwa hawaegemei upande wa kujenga, huwezi kuskia feminist akisema "Mume wangu anaugua ninapambana kulisha familia ili tubaki kuwa strong" never.

Hoja pendwa za feminist, ni namna Gani ya wanawake wataishi vizuri Kwa kushusha thamani za waumezao na kulea watoto bila wazazi🤣🤣 It kills my smile. Dear ladies hivi kuachika ni achievement!? Nowadays Feminist wanahisi kama mwanamke kuwa rude, arrogant, careless, lack of social responsibility and accountability will make them be seen as the strongest ladies 🤣🤣. It doesn't make any sense kuhisi ata wanaume tunapendelewa hapana, They are just creating the environment Kwa kuweka wanaume kwenye kizuizi Cha kifikra na hisia ili watumie nguvu zetu na jitihada kuyuvuruga wakati wao wanaendeleza dhambi zao zilizovikwa utukufu.

Hivi ata hizo haki za binafamu or jinsia Huwa wanafanya women empowerment or gender substitute? What I know is, usawa ni kumpush aliye chini ku catch pace ya aliyejuu ili kuweka uwiano rafiki kutengeneza usawa. Lakini in reality haipo hivyo, what's Happening ni kumuangusha mtoto wa kiume na kumuinua mtoto wa kike Kwa lazima. Sasa hapa nani anapendelewa? Ni yule anayepambana kuweka utofauti au yule anayepewa viwango rahisi kuonekana analeta ushindani? Inasikitisha sana.

Huwa nakaa nawaza kuwa kama tu huko nchi za magharibi ambako ata literacy rate ni kubwa na tumeaminishwa wanaelimu na uelewa mpana haya mambo yanaeahukumu je vipi ikikaririwa na dada zetu wagumu wa kujifunza na kukwapua Kila hoja za mitandaoni? Wadogo zetu wakike, dada zetu, wake zetu je watasalimika na Hilo?.

Wahusika wa haya mambo wakati mnagawa mataulo ka kike (which is a good thing) muunganishe na hizi elimu za kuwarudisha dada zetu na wadogo zetu kurudi katika tamaduni na uelewa wetu wa kiafrika Kwa kuzingatia Mila,desturi na maadili ya mwafrika.
 
zamani wazazi walikuwa wanajivunia kuzaa watoto wa kiume ila siku hizi wanajivunia kuzaa watoto wa kike
Unajua ni kwa nini imekuwa video vice versa? Ili ni tatizo la Kisaikolojia zaidi.
Unajua kwa sasa mwanaume anapigwa pande zote, za uso, za kisogo, mbavu, utosi, ni Manundu mwili mzima.
Dude!

You made me have a mental video of Mr. Hajj taking all these “your” words out of “his” mouth!

It was a disgustingly crazy mental vid. Sad

You talk too much!
I think he was trying to educate you the way you can understand easily.
 
Basi kama hiyo ni kweli then basi hata hapa afrika migogoro mingi ya kisiasa haina mkono wa mataifa ys magharibi huwa yanasingiziwa tu. Na hata viongozi kama Gaddafi waliuliwa na raia wao mataifa ya nje hayahusiki hata chembe.
Una tabia ya ku generalise. Migogoro haifanani. Hapana shaka kuwa kifo cha Lumumba kina mkono wa nchi za magharibi. Lakini Ken- Saro Wiwa aliuawa na waafrika wenzake. Yanayoendelea Sudan ya Kusini yanatokana na uroho wa viongozi wa nchi ile. Hivyo yanayoendelea DRC. Gaddafi aliuawa na raia wenzake ambao inawezekana walikuwa facilitated na nchi ya magharibi. Hii haina maana migogoro yetu yote imechochewa nao. Sisi wenyewe kuna migogoro inayo tuhusu wenyewe.
Huwezi kuwa unasoma kitu halafu unasema si kweli as wewe ndio muasisi. Who are you kukataa hoja zangu kwamba the feminism ideology was a long time orchestrated plan by the Jews, wewe unajua ninachokisema kimetokea wapi,au mwenzetu ni google una every latest information.
Utanilazimishaje nikubali hoja yako ambayo najua kuwa ni ya kipumbavu. Hao Jews unaosema wame orchestrate Feminist hawakuwa na nguvu yeyote maana walikuwa wanabaguliwa na kudharauliwa sana. Hawakuanza kuuawa wakati wa Hitler. Wanawake hawakuanza hivi karibuni kudai haki sawa na wanaume. Kuna Muingereza Mary Wollstonecraft wa karne ya 18. Kuna mfaransa Simone de Beauvoir. Kuna Black Feminists kama bell hooks, Sojourner Truth, Patricia Hill Collins ambao walisema kweli yao ni tofauti na ya wanawake wa kizungu. Wanaonewa kwa sababu ya weusi wao na jinsia yao. Sasa wewe nitajie hao Feminists wa kiyahudi unaosema ndio walianzisha hii ideology. Nakushauri tumia tu Google. Itakusaidia.
,
Okay, hizi ni hoja za msingi, sasa tuje dunia ya Leo baada ya hayo maazimio kupitishwa tukawa na hii dunia ya leo,je, jamii imeboreka maradufu au imekuwaje na hii feminism inavyoendelea kwasasa?
Swali gani hili la kipuuzi? Wewe unadhani hao unadhani dunia ingebaki na imani ya kuwa mwanamke kazi yake ni kuzaa tu na kuwahudumia wanaume tungefika hapa tulipofika? Mchango wa madaktari, mainjinia, maprofesa mpaka wanasiasa unaubeza? Leo hii unaweza kumpeleka mke wako hospitali na ukakuta Gynecologist ni mwanamke mwenzake ambae ana experience na yanayomsumbua? Yote hayo huyaoni?
Ilibidi wafanyae wasingefanya na vita ya dunia inaendelea workforce gani ingetumika kama ziada. Na si ndio kazi ya mwanamke kumsaidia mwanaume pale mwanaume anapoelemewa na majukumu au?
Sio wajibu wa mwanamke kumsaidia mwanaume. Wajibu wa mwanamke kama ilivyo kwa mwanaume ni kushirikiana na wenzake ili kujenga familia na taifa bora. Kuna familia nyingi zinaokolewa na juhudi na busara za wanawake. Sasa hivi hofu kunwa ni kwa vijana wa kiume ambao wanaamini kuwa haki yao ni kuhudumiwa kwa sababu tu ni mwanaume.
Nice work na leo unaweza jionea mamilion ya ujauzito zinatolewa bila sababu za msingi,thanks to feminists and feminism.
Ni wanawake wachache mno ambao wanatoa mimba kwa kupenda tu. Mara nyingi chanzo ni mwanaume. Wanaume huwa wanashinikiza mimba itolewe ili akwepe majukumu au anahofia heshima yake itaathirika ( mtu mzima amempa mimba house girl wake n.k.). Au anatambua kuwa hana uwezo wa kumtunza mtoto akizaliwa hasa kama mwanaume amemtelekeza. Feminist huwa hawajikuti kwenye hiyo dilemma kwa sababu haombi kibali cha mwanaume kuhakikisha hapati mimba.
So jibu ni kutoa mimba au kumeza vidonge vya kudhibiti mimba si ndio? Unasemaje wanabezwa na walichofanya ni maamuzi yao binafsi but yanawaathiri watoto na jamii? Ili mwanaume atimize wajibu wa kuwa baba anatakiwa kupewa haki gani kwanza? ( Kama haujui usijibu)
Haki na wajibu haupewi. Ni sehemu ya ubinadamu. Mwanaume rijali hangojei kupewa kitu ndio atimize wajibu wake. Mtu kama huyo ana jina lake ambalo sio vizuri kulitaja.
Na sasa wanapiga kura na kupigiwa. Hiyo imeboreshaje maisha yetu eneo la siasa na uongozi?
Unajua impact ya Wanawake eneo la kura huko mataifa ya magharibi ambapo feminism imetokea?
Maswali mengine ya kijinga. Wanawake kama walivyo wanaume huwa wanakosea. Miongoni mwao pia kuna wema na waovu. Kuna wakina Margaret Thatcher na kuna wakina Golda Meir. Wote hao wana strength na weakness zao. Wapimwe kwa matendo yao individually, sio kwa jinsia wanayo share na wengine.
Sera za immigration, vita, parenting, social warfare,hayo mambo ya sexuality etc vimeathiriwa vipi na wanawake kupiga kura?🤔
Seriously unategemea jibu? Kwako wewe unaamini kuhusika kwao ni lazima kumeathiri sio kujenga! Sasa nikueleze nini mtu kama wewe?
Kuwa serious basi. Hivi hapa juzi kuna binti amebakwa na wahuni ambao wanajihusisha na jeshi kule dodoma. Hivi uliona kauli za viongozi wanawake wakitoa tamko lolote?
Kwa hiyo wewe unaona wabaya ni wanawake waliokaa kimya na sio wale wanaume waliombaka? Mbona Gwajima na wengine walizungumzia sana suala hilo?
Kuanzia Raisi mwanamke kimya, spika wa bunge mwanamke kimya, mkuu wa polisi kule dodoma kimya, Tume ya haki za binadamu kimya, UWT kimya, wanawake mashuhuri na wenye majina wote kimya.
Muongo. Walizungumza sana. Wale usiowapenda kama Fatma Karume, Maria Sarungi walizungumza sana. Bawacha na UWT walilaani.
Waliopiga kelele mtandaoni mimi ni shahidi ni wanaume na ndio walisababisha baadhi ya viongozi kuanza kuingilia kati nayo imeshia kiusanii kuwa vijana wamekwenda jela,umeona tamko lolote kutoka JWTZ?
Acha kutaka sifa za kijinga. Sasa uongozi wa JWTZ ni wa kike? Suala liko mahakamani ulitaka waseme nini zaidi ya kusikitishwa?
Means wabakaji hawajachukuliwa hatua tuliigiziwa tu.
?
Hapa hata mwanamke apigwe mtetezi wake huwa ni wanaume na ndio wenye huruma na wanawake. Mahousegirl wadogo wengine ni miaka 12 vitoto vya kuwa shule,kila uchao vinaletwa mjini kufanya kazi za u house girl,nani huwa anawaleta,si hawa hawa mafeminist wanawake, ushawahi sikia mwanaume atake house girl tena kabinti kadogo?
Wanaowabaka hao ma house girl na mabar maids ni Feminists?
Sasa wewe ni feminist gani unaowaongelea wanatetea wanawake na watoto?

Ukiona feminist wa Tanzania kafungua NGO au yupo busy kutetea wanawake na watoto then jua its for publicity ili apate malipo, sponsors wa nje na ndani, au apate teuzi. Nothing more.

Feminist are not women and children saviors ni watu wenye matatizo ya akili wanajificha nyuma ya harakati.

Mzee unanitia mashaka. Mwanaume au wanaume hatupo hivi, mbona kama umerudisha kadi ya chama cha wanaume mapema sana mzee.
Wewe ni incel. Una chuki kwa sababu unakataliwa na unazidiwa kwa kila namna na wanawake. Ego yako ni fragile kiasi unakimbilia ku vent humu ambako hawatakuona.
Kwaheri. Sitakujibu tena.

Amandla....
 
Nani aliyekwambia imeanza jana. Kama haujaelewa kitu usikurupuke.

Halafu unahisi umekuja kunifunika. Na hata hauna unachojua kuhusu hata malesbian. Hiki ulichokiandika hapa ungefuta tu. Wewe unawajua vizuri matomboy au umeamua tu kuleta ligi. Yaani unakataa kwamba matomboy sio malesbians?😂😂😂 Dah
Haujui unachosema. Kajielimishe kidogo kuhusu matomboy. Hawana uhusiano na lesbianism.
Wewe una matatizo sio bure. Ni wapi nimetumia neno dystopia,hii ndio shida ya kukurupukia topic na haujasoma kwa utulivu ukaelewa vema mada inaongelea nini.
Ni gender dysphoria sio Gender dystopia. Unskurupuka hata maneno huyajui vizuri.
Hapo ni kweli nilikosea. Na neno ni dysphoria. Sasa nielimishe nini maana ya gender dysphoria.
AIsee hadi unanipa uvivu kukujibu. So mashoga huwa wanajitambua kama nani ukiwatazama? Yaani unakataa kuku sio ndege halafu unamuelezea tena kama ndege.

Wewe unawajua mashoga vizuri kwanza,hebu nenda kasome tena definition ya neno "Gender dysphoria" kisha rudi hapa uje unambie vizuri mashoga wanachopitia ni kitu gani,mbona hauna akili hivi?🤔
Nielimishe kuhusu gender dysphoria na inavyohusika na ushoga.
Unajua kabisa kuwa mashoga ni wanaume ambao wanajikataa kuwa wao si wanaume bali wanajiona kuwa wamezaliwa na jinsia ya kiume kimakosa ndio maana unaona wanataka kuingiliwa na wanaume wenzao na kuvaa kama wanawake ili tu kuridhisha nafsi zao kuwa wao ni wanawake. Sasa how is that not related to gender dysphoria? Mxiem 😒 😐 😐 umeshaanza kunikera na ujuaji wako mwingi na hakuna unachojua.
Mashoga wengi hawavai nguo za kike. Hawana hiyo dysphoria unayoizungumzia. Wengi wanajihesabu kuwa ni wanaume na wanavaa nguo za kiume. Kuna wengine wanabeba mpaka vyuma lakini ni mashoga. Wenye gender dysphoria ni trans.
So kwa mfano mwanaume anazaliwa na gender dysphoria halafu akaenda kubadili jinsia yake awe mwanamke, akilala na mwanaume anakuwa amelala na jinsia opposite na yake au nikuelewe vipi?
Huyo akibali jinsia anakuwa mwanamke na sio mwanaume. Anaondolewa uume na kutengenezewa uke, anapewa hormone za kike zinazo mfanya aote matiti na mwili wake uwe wa kike. Akilalala na mwanaume anakuwa amelala na jinsia tofauti.
So wale wanaume wanaojibadili jinsia huwa wanabadili genes zao kuwa wanawake?
Mfano wewe ni mwanaume ukilala na transgender,unakuwa umelala na biological female? How is that not homosexual relationship?🤔
Wanafanyiwa hormone therapy ambayo inabadilisha maumbile. Dna haibadiliki.
Hebu kuwa makini na hoja zako.

So how is this relevant to the topic bado sijaweza kuconnect why unatupa definition ya hizi terms as if tunazidiscuss zenyewe.

Again,why tunapeana hizi definition?
Sasa utadiscuss vipi kitu kama watu mnatofautiana katika basic definition? Huo sasa unakuwa ubishi.
Kwaheri na asante kwa kunisahihisha kuwa sio dystopia, ni dysphoria.

Amandla...
 
Wangeingia,elimu ni muhimu sana kwa mwanadamu. Ila wangepewa elimu ya tofauti na wanaume ili wakitoka shule wawe na majukumu separate na ya wanaume na wajue mipaka yao.

Wangeingia,elimu ni muhimu sana kwa mwanadamu. Ila wangepewa elimu ya tofauti na wanaume ili wakitoka shule wawe na majukumu separate na ya wanaume na wajue mipaka yao.
Ungekuwa na uwezo ungepiga marufuku wanawake kufanya kazi maofisini. Ungeweka sheria wanawake wakimaliza hiyo elimu (most likely darasa la 7) then wasubiri kina Zemanda waje wawaoe na kuzaa watoto na kulea familia baaaaasi!!!! Ambao hawatapata waume wa kuwaoa sijui inakuwaje??!!!!💁🏿‍♂️🤷🏽🤷‍♂️
 
Uzi best sana huu mkuu. Ukichunguza Kwa upana ideology nyingi za wanawake Huwa hazielemei kutafuta ukombozi Wala maendeleo yoyote ya kijamii Bali hutaka kuonekana wanaonewa, hii inawasaidia ku play victims Kwa lengo Moja maalum ambalo ni kuiharibu jamii without feeling guilty, kabla ya uharibifu wowote ambao mwanamke hupanga kufanya Kwa matakwa yake hutafuta kuti kavu la kujifichia aonekane hakuwa na options zaidi ya upuuzi atakaoufanya.

Pili, wanawake wa kisasa wanatafuta Kila agenda ili kuurasimisha umalaya na njia zote ili kuvuruga mwenendo wa jamii zetu, women don't seek for solutions they'll only find ways for destruction. Fuatilia wanawake wote wanaoshinikiza hizo sera Huwa hawaegemei upande wa kujenga, huwezi kuskia feminist akisema "Mume wangu anaugua ninapambana kulisha familia ili tubaki kuwa strong" never.

Hoja pendwa za feminist, ni namna Gani ya wanawake wataishi vizuri Kwa kushusha thamani za waumezao na kulea watoto bila wazazi🤣🤣 It kills my smile. Dear ladies hivi kuachika ni achievement!? Nowadays Feminist wanahisi kama mwanamke kuwa rude, arrogant, careless, lack of social responsibility and accountability will make them be seen as the strongest ladies 🤣🤣. It doesn't make any sense kuhisi ata wanaume tunapendelewa hapana, They are just creating the environment Kwa kuweka wanaume kwenye kizuizi Cha kifikra na hisia ili watumie nguvu zetu na jitihada kuyuvuruga wakati wao wanaendeleza dhambi zao zilizovikwa utukufu.

Hivi ata hizo haki za binafamu or jinsia Huwa wanafanya women empowerment or gender substitute? What I know is, usawa ni kumpush aliye chini ku catch pace ya aliyejuu ili kuweka uwiano rafiki kutengeneza usawa. Lakini in reality haipo hivyo, what's Happening ni kumuangusha mtoto wa kiume na kumuinua mtoto wa kike Kwa lazima. Sasa hapa nani anapendelewa? Ni yule anayepambana kuweka utofauti au yule anayepewa viwango rahisi kuonekana analeta ushindani? Inasikitisha sana.

Huwa nakaa nawaza kuwa kama tu huko nchi za magharibi ambako ata literacy rate ni kubwa na tumeaminishwa wanaelimu na uelewa mpana haya mambo yanaeahukumu je vipi ikikaririwa na dada zetu wagumu wa kujifunza na kukwapua Kila hoja za mitandaoni? Wadogo zetu wakike, dada zetu, wake zetu je watasalimika na Hilo?.

Wahusika wa haya mambo wakati mnagawa mataulo ka kike (which is a good thing) muunganishe na hizi elimu za kuwarudisha dada zetu na wadogo zetu kurudi katika tamaduni na uelewa wetu wa kiafrika Kwa kuzingatia Mila,desturi na maadili ya mwafrika.
Hawa sio waelewa. Dawa ya watu ambao si waelewa kama hawa ni kuwapelekea moto wa Jihadi ya injili mwanzo mwisho hadi watasema poh.
 
Una tabia ya ku generalise. Migogoro haifanani. Hapana shaka kuwa kifo cha Lumumba kina mkono wa nchi za magharibi. Lakini Ken- Saro Wiwa aliuawa na waafrika wenzake. Yanayoendelea Sudan ya Kusini yanatokana na uroho wa viongozi wa nchi ile. Hivyo yanayoendelea DRC. Gaddafi aliuawa na raia wenzake ambao inawezekana walikuwa facilitated na nchi ya magharibi. Hii haina maana migogoro yetu yote imechochewa nao. Sisi wenyewe kuna migogoro inayo tuhusu wenyewe.
Sijui umefafanua kitu gani hapa sasa. Maana unasema nina tabia ya generalization then unakiri kwamba nyuma ya migogoro niliyotaja kuna mkono wa mzungu.
Utanilazimishaje nikubali hoja yako ambayo najua kuwa ni ya kipumbavu. Hao Jews unaosema wame orchestrate Feminist hawakuwa na nguvu yeyote maana walikuwa wanabaguliwa na kudharauliwa sana. Hawakuanza kuuawa wakati wa Hitler. Wanawake hawakuanza hivi karibuni kudai haki sawa na wanaume. Kuna Muingereza Mary Wollstonecraft wa karne ya 18. Kuna mfaransa Simone de Beauvoir. Kuna Black Feminists kama bell hooks, Sojourner Truth, Patricia Hill Collins ambao walisema kweli yao ni tofauti na ya wanawake wa kizungu. Wanaonewa kwa sababu ya weusi wao na jinsia yao. Sasa wewe nitajie hao Feminists wa kiyahudi unaosema ndio walianzisha hii ideology. Nakushauri tumia tu Google. Itakusaidia.
Hakuna mtu kakulazimisha ni wewe unaforce mimi nionekane naongea kitu ambacho hakipo,so nimekaa chini nimetunga? Sasa unabisha ingia hapo mtandaoni tazama shughuli za mafeminist wa sasa ni zipi halafu unambie who is facilitating them?
Swali gani hili la kipuuzi? Wewe unadhani hao unadhani dunia ingebaki na imani ya kuwa mwanamke kazi yake ni kuzaa tu na kuwahudumia wanaume tungefika hapa tulipofika? Mchango wa madaktari, mainjinia, maprofesa mpaka wanasiasa unaubeza? Leo hii unaweza kumpeleka mke wako hospitali na ukakuta Gynecologist ni mwanamke mwenzake ambae ana experience na yanayomsumbua? Yote hayo huyaoni?
Ungekuwa articulated kama unavyojinasibu ungelijibu. Sasa onagoma kujibu unataka tuongee nini zaidi na unakiri kuwa we are not on the same page.

Hivi vitu umeongea hapa vinapatikana hata kwenye madaftari ya wanafunzi kuzungumzia advantages za jambo na disadvantage zake. Mimi ninakwambia observation ya kinachoendelea sasa.

Wewe unaongelea wanawake kupata kazi,sijui michango yao baada ya kuwa mainjia,who gives tha *** kwan hizo kazi mwanzoni wanawake walifanya na Dunia ilisimama walipokuwa hawapo maeneo ya kazi?

Usiniletee propaganda za mtu anayelipwa kuwa publicity wa brand hapa. Mimi sijali wewe na hao unaowasapoti kuwa wanachangia nini katika soko la ajira. I am more worried na watoto wa kiume ambao kwasasa wanaangamia huku naona halafu wewe na pumbu zako useless unakuja kuni patronize hapa ili niseme its okay,are f*cking with my intelligence u piece of wet wipe? 🤔

Wewe hawa watoto wa sasa wa kiume kubadilika haikustui unakuja hapa na hizi sifa utadhani tupo siku ya wanawake Duniani hapa. Mimi siko hapa kusheherekea decoration ya mafanikio ya engineers wa kike nipo hapa kutetea maslahi ya watoto wetu siku zijazo especially watoto wa kiume ambao now wanadidimizwa kwa makusudi.

Sio wajibu wa mwanamke kumsaidia mwanaume. Wajibu wa mwanamke kama ilivyo kwa mwanaume ni kushirikiana na wenzake ili kujenga familia na taifa bora. Kuna familia nyingi zinaokolewa na juhudi na busara za wanawake. Sasa hivi hofu kunwa ni kwa vijana wa kiume ambao wanaamini kuwa haki yao ni kuhudumiwa kwa sababu tu ni mwanaume.
Sasa kama unajua kuwa sio wajibu wa mwanamke kumsaidia mwanaume mbona unakuja kusema ni sawa kwa mwanamke kutetewa apate kazi katika maeneo ambayo wanaume ndio huwa kazini, mtu timamu wa akili unaweza kusema kitu kama hiki?

Yaani unakiri kwamba mwanamke hata kama atapewa kazi then hana wajibu wala majukumu ya kumsaidia mwanaume why then sasa apewe kazi na hana majukumu na mtaani tuna wanaume wanakosa kazi hadi wanashindwa majukumu yao?

Again sipo hapa kutukuza mafanikio ya feminism na wanawake na maendeleo yao, nipo hapa kuongelea madhara ya Feminists na feminism kwenye jamii yetu na namna inaathiri mahusiano ya wanaume na wanawake,kuharibu watoto wetu wa kiume na kuwawekea watoto wetu wa kike future mbaya baadae. Kama unatatizo na hilo you can take that feminism crap,mix it in your cup of coffee,drink it and have a good life. Because i don't give a zero f*ck about hizi mapambo unaleta hapa.
Ni wanawake wachache mno ambao wanatoa mimba kwa kupenda tu. Mara nyingi chanzo ni mwanaume. Wanaume huwa wanashinikiza mimba itolewe ili akwepe majukumu au anahofia heshima yake itaathirika ( mtu mzima amempa mimba house girl wake n.k.). Au anatambua kuwa hana uwezo wa kumtunza mtoto akizaliwa hasa kama mwanaume amemtelekeza. Feminist huwa hawajikuti kwenye hiyo dilemma kwa sababu haombi kibali cha mwanaume kuhakikisha hapati mimba.
Again ningeendelea kukujibu kwa hoja kama ungekuwa mwanamke but katika kitu haujafahamu kuhusu mimi and naomba ukifahamu from here now on kuwa mimi huwa siwaki na SIMPS au mwanaume ambae katika mijadala ya kiume anajikuta yupo neutral au anatetea kambi ya kike. Kwangu hiyo ni usaliti and it brings some gay vibes.

Katika kitu nachukia ni kuona mwanaume yoyote anaongea mambo ya kike kwa sauti ya kiume. Watu kama wewe mna mchango mkubwa sana katika kuzorotesha taifa sababu ya kutetea u*s*ng* unaoendelea kwenye jamii kwa kukingia wanawake vifua wakati nyuma ya pazia kuna mengi wanafanya kwa maamuzi yao binafsi ila wakiharibu wanasema ni kosa la mwanaume.

Unasema ni wanawake wachache wanatoa mimba kwasababu ya kutaka,so wengi wao wanalazimishwa,una uhakika na hili unalosema au umechagua kuwa mjinga tu hapa?

Sisi tunaongea vitu tunavyojua na tunaviona wewe unakuja hapa kutetea mambo kike kike halafu unajikuta mwanaume katika kundi la wanaume *****. Hebu nenda kwenye mijadala ya wanawake huko mkapongezane na shughuli za akina mama ,usiwe unajimix kwenye mada zetu za kiume tukiwa tunatoa sumu zetu,achana na sisi kabisa, this was man space unakuja na pigo za kike kwa sauti ya kiume umeshanikata stimu.

Ungekuwa mwanamke ningesema twende sawa maana ni mwanamke unatetea kambi yako but wewe ni mwanaume halafu unakuja hapa na mbaga za kike.
Haki na wajibu haupewi. Ni sehemu ya ubinadamu. Mwanaume rijali hangojei kupewa kitu ndio atimize wajibu wake. Mtu kama huyo ana jina lake ambalo sio vizuri kulitaja.
Unataka mimi nijibu hapa,hizi ni vitu gani umeandika hapa sasa. U are wasting my time.
Maswali mengine ya kijinga. Wanawake kama walivyo wanaume huwa wanakosea. Miongoni mwao pia kuna wema na waovu. Kuna wakina Margaret Thatcher na kuna wakina Golda Meir. Wote hao wana strength na weakness zao. Wapimwe kwa matendo yao individually, sio kwa jinsia wanayo share na wengine.

Seriously unategemea jibu? Kwako wewe unaamini kuhusika kwao ni lazima kumeathiri sio kujenga! Sasa nikueleze nini mtu kama wewe?

Kwa hiyo wewe unaona wabaya ni wanawake waliokaa kimya na sio wale wanaume waliombaka? Mbona Gwajima na wengine walizungumzia sana suala hilo?
Wewe usiwe mjinga,mimi nipo Twitter pale tokea ile video inapostiwa mara ya kwanza. Nenda kwenye page ya Martin kasome utaona comments hadi za wanawake wanalalamikia hilo kuwa wanawake wamewaachia wanaume lile tukio wao wapo kimya inamaana haliwaumi.

Huyo fatma karume alikuja kucomment kwa mara ya kwanza siku kadhaa mbele. Wengine walifuatia kidogo baadae. Nenda kasome comments za watu kule halafu ujiridhishe. Unajua hata nani alileta ule mjadala mtandaoni? Huyo tu aliyetuma wale wahuni ni mwanamke,wewe unakuja kutetea hapa,hebu niondolee bange mimi.
Muongo. Walizungumza sana. Wale usiowapenda kama Fatma Karume, Maria Sarungi walizungumza sana. Bawacha na UWT walilaani.
Nenda katazame time line ya tukio hadi kipindi wanazungumza. Mimi nilikuwepo kwenye space zaidi ya tatu hakuna mchangiaji wala mwanamke kujadili lile swala.

Wanaume ndio walishikia bango ile issue. Hao unaowataja walikuja baadae sana bada ya tukio kuvurumishwa sana hewani. Wewe unanibishiaje vitu vina ushahidi nenda kule Twitter katazame tokea mwanzo halafu kuwa unasoma comments kwenye posts utaona aibu unachotetea na utakachokikuta.
Acha kutaka sifa za kijinga. Sasa uongozi wa JWTZ ni wa kike? Suala liko mahakamani ulitaka waseme nini zaidi ya kusikitishwa?
Mimi nitaacha ujinga wewe ukiacha upumbavu. Nimesema kuwa JWTZ hawakutoa tamko. Ikupe picha kuwa wale vijana hawajachukuliwa hatua yoyote. Ile kwenda mahakamani ni kiini macho kuwalaghai raia ili ule mjadala ufe.

Wewe umeona wapi watu wanahukumiwa bila aliyewatuma kutiwa mbaroni. Hiyo kesi umewai kuona wapi. Yaani utume watu wakabake na kumfanyia binti mdogo miaka 16 ukatili halafu wewe kwenye kesi usiwepo na ni prime suspect? Halafu kesi inakwenda fasta ndani ya mwezi watu wamefungwa. Jwtz, ni jeshi la wanainchi halijatoa taarifa yoyote kwa mabosi zake (wanainchi), unaongea nini wewe?🤔
Wanaowabaka hao ma house girl na mabar maids ni Feminists?
So tunajadili ubakaji tena? Wewe sikiliza usiniletee hizi habari hapa. Again,kama umeshajijua wewe ni Simp usiwake na mimi kwasababu mimi na wanaume wanaojinasibu ni advocates wa mambo ya kike kwangu nawaona ni gays na mimi siwaki na hizo vibe so kama vipi potezea mada. Mimi huwa si deal na ma traitor wa jinsia, go back to sister's sorority mkacheze Barbie house or pillow fight. This is men space.
Wewe ni incel. Una chuki kwa sababu unakataliwa na unazidiwa kwa kila namna na wanawake. Ego yako ni fragile kiasi unakimbilia ku vent humu ambako hawatakuona.
Kwaheri. Sitakujibu tena.
Incel by definition ni involuntary Celibate yaani kapera bila hiyari. Nigga, nina kwangu,nina mwanamke naishi nae. Kama haujui neno lina maana gani usilitumie. Usiniletee hizi mbaga za kike hapa. Sipo hapa kutafuta umaarufu au kutafuta mademu, am here to communicate my thoughts kwa jamii yangu ya kitanzania.

Nina tafuta jambo na topic ninaloweza lichambua ninalisema bila kuhofia litaumiza nani sababu ukweli unachoma unapoelekea.

Sasa sijui wewe unajikuta nani kuja kunambia kuwa sipo sahihi kusema kipi na kipi as if unalipwa kuja kutetea upuuzi.

This is Men space kama wewe unaona unakandamizwa nenda kwa wanaume wenzako huko mkajadili namna ya kudanga wakutafutie na mwanaume mwenzako akutawale huku ukisubiria siku ya mwanamke wa shoka uvae kanga ukasherehekee nao huko vilingine.

Untill then achana na mambo ya kiume,huku sisi hatutaki unafiki na tabia za kike.


Amandla....
 
Oooh kumbe.
Jibu ni hapana.
We feminist uchwara hebu tulia uelimishwe maana huna ujuacho, huna uwezo wa kutetea huo ujinga wakifermist hata kwa sentence 2.🤣🤣🤣
 
We feminist uchwara hebu tulia uelimishwe maana huna ujuacho, huna uwezo wa kutetea huo ujinga wakifermist hata kwa sentence 2.🤣🤣🤣
Nimechekaaa hatariii, 😂😂😂😂
Badoo hamjasemaa, lol
 
Back
Top Bottom