Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 10,664
- 22,838
- Thread starter
- #21
Kabisa bro unanielewa vema kabisa. As we speak mwanamke mweusi wa kimarekani hakuna mtu anataka kuishi nae kama mke. Ni wanawake reject Duniani hakuna mtu anaweza settle nao.Hiyo kitu imea aim kubomoa msingi wa familia wa mtu mweusi ili iwe rais kutawalika.
Its similar thing walichofanya na black america kule Us, kubomoa msingi wa familia, familia ikishabomoka, prisons zitapata wateja. Itachukua time tena mtu mweusi kurudi kwenye hali yake
Wanachoweza ni kuigiza na fake romance wakiwa wanataka kutumia pesa za mwanaume nje ya hapo hawana cha kuoffer zaidi ya maviburi.
Walinza kuja Tanzania miaka ya 2019 kipindi cha Corona plandemic (sio pandemic) wakiwa na malengo ya kujenga life upya afrika. Aisee unaambiwa marioo walikuwa wanakunguta sana hawa wanawake sababu ya kukosa adabu anamjibu mwanaume kama mwanamke mwenzake kwa dharau kisa anatoa pesa.
Wakaenda Ghana, Cameroon, Nigeria kote wakakuta mziki ni ule ule wanachezea mkong'oto wakileta jeuri za kimarekani na akili za kifeminist. Walidhani hapa ni Los Angeles kwamba unamtukana mwanaume akikumind unamuitia police unasema domestic violence,huku ukienda polisi unaulizwa shida nini hadi amekupiga, askari walikuwa wanawakataa na mashtaka yao wengi sababu wanaleta akili za kimarekani.
Marekani kwasasa jamii ya mtu mweusi inateketea kwanza kwa wanawake kushindwa kujenga familia,wanaume kukimbia child support so wanakwepa mahusiano ya kuzaa,tabia za wanawake wa marekani weusi kuwa na viburi, Ushoga unaotokana na malezi ya single mothers umekithiri sana so hakuna wanaume strong, magonjwa (Atlanta pale ni capital ya STDs kuna magonjwa ya zinaa mengine hata hayajulikani huku kwetu sababu ya watu kufanya sodomy, kunyonyana K na kulambana njia za haja kubwa)ya zinaa etc.
MUNGU asaidie tusifike huko.