Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Ndio maana nikasema kwenye moja ya reply zangu hapa kuwa shida kubwa ni elimu.

Wewe unajua ushoga chanzo chake?

Au unataka nishuke magazeti hapa? Una hata idea kwann ushoga una exist?

Feminism ilianza lini na LGBTQ agenda ilinza lini?🤔

Unafahamu nini kuhusu gender dysphoria?

Upo tayari tujadili impact za single mother households nikikupa na study cases zake?

Unajua kwamba feminism ni stage ya ngapi katika ile new world order agenda?

Usinichokoze hapa ntakudhalilisha.

Nitakuuliza swali hilo hilo kwani ni lazima kuishi mwenyewe kwenye jamii ambayo kila mtu anatakiwa kuwa kwenye ndoa na familia yake? Kama haujui maana ya jambo usifosi mjadala na hakuna unachofahamu.

I am sticking to my life that's why am not faking with feminism because it is my business, ukivuruga jamii yangu na mimi nakugeuza topic, so back to you,wewe ni advocate wa feminism maana umekuja very personal na hoja zako za lawama. Anyways, bring it on am ready for you.

Usiseme "unaowapigania hawakuelewi" sema " i have no idea nini kinaendelea. Haufahamu tu kinachoendelea kwa sasa. Its global thing. Na siwezi kukuelimisha au kukuelekeza wakati umeshapick your team kwamba wewe ni team LGBTQ nd the rest so i don't think we have anything in common to share here

Niane ,so u think i am here for attention and find a lover, seriously?🤔

Who are you to choose who i fight with? I can fight you,your boyfriend, your brother,the president, Osama bin laden, damn i can fight whomever i feel like should be my target.

Ushoga is one of my topic please sit back and relax while i bore you with more incoming topics about ushoga.
Nimesha staafu kuandika magazeti, kuhusu ushoga huna cha kunambia wala kunielekeza, naujua kuliko wewee. Hayo ya feminism na new world order agendas hayo utajuana na wahusika wake.

Hiyo para ya 2 nimecheka had mbavu zinauma, hiyo ya 3 makasiriko yako baki nayo mwenyewe hainihusu,

Nweii, umesema utanidhalilisha, nakupa ruksa sasa em nidhalilishe nione.
😂😂😂😂😂😂
 
Nje ya uwezo kivipi tena. Wewe unajua kataa ndoa imeanzaje? Sasa subirini endeleeni kuona hatujui tunachofanya,mtaomba maji huko mbeleni hadi mtaita Vatican waingilie.

Sisi tuliwasikia mama zetu kuwa wanawake walinyanyasika miaka ya nyuma,oooh mfume dume this mfumo dume that. Tukaamua kuwa bora zaidi ya mababu na baba zetu.

Tukataka kuwawezesha wanawake zetu ili tujenge jamii bora,nyie watoto wa kike wa miaka ya 1990's mlivyo mafala mkaanza kuleta umakalio na itikadi za kimagharibi kwa wanaume ambao tumejitoa kwenu kubabake zenu.

Sasa kama alivyo sema Rambo,"whomever draws the first blood must pay".

1. Tumeanza na kukataa ndoa na wanawake ambao sio bikra.

2. Hatutoi pesa kwenye request za kipumbavu sijui kioo cha simu,gesi imeisha sijui nywele, hiyo mkachukue mlipofunzwa viburi, sisi tutachangia ukiumwa mahututi, tutakulipia chakula ili usife kwa njaa uendelee kuteseka ukituonyesha usupawoman.

3. Hatufanyi mahusiano na wadangaji au malaya kuwatuliza wawe wake hiyo ni hapana utatulizwa na baba yako.

4. Hela zetu tutapeleka kwa mama zetu,wake zetu wa ndoa na yatima,mambo ya chukua milioni hii ni ya kwako weka mfukoni mtayaona kwenye movie za akina Ray tu huko.

5. Ukipigwa na mwanaume m'malizane ukiomba msaada wa mwanaume mwingine au mimi nikiingilia lazima unipe mchezo huwezi na mimi nakupiga kama ulivyopigwa.

Kwa kifupi mtakoma.
Wee ni wa kuhurumiwa kabisa, uko ktk stage mbayaa mnoo.
Nakupa poleee, tena polee kubwa. Unalo hilooo.
😂😂😂😂😂😂
 
History fupi kwa Tanzania,Unadhani ideology was imported?? kabla ya ukoloni Kuna makabila yalikua yanaongozwa na wanawake, Walikua wanamiliki Ardhi,Viongozi wa kimila,biashara na shughuli za uzalishaji,Mambo yalibadilika baada ya kuja Wajerumani na waingereza,wakapiga chini wanawake wote..
That is not feminism that is Matriarchy mzee. Usichanganye mada. Unafananisha askari wa JWTZ na Mgambo wa jiji kwasababu wote wanavaa ngwanda ila unasahau alama muhimu.

Feminism as ana adjective ni kitendo cha kufanya shughuli za kuimalisha uanamke,ukinambia unyago na kuwacheza wanawake ni feminism i can agree with you kwasababu lengo ilikuwa ni kumjenga mtoto wa kike kuwa na mambo ya kike kike na sio kama sasa wanawajenga watoto wa kike kuwa na mambo ya kiume, kuvaa nguo za kiume,kukwepa shughuli za kike kufanya za kiume,kula kama wanaume, kutoshiriki mambo ya kike bali ya kiiume how is that feminism in anyway?🤔

Usiklemishe vitu,vielewe sawa sawa. Feminism ni ideology ambayo imekuwa imported miaka ya tisini kipindi mzee nyerere anaachia madaraka kumpa mzee mwinyi. Mama gretude mogela ndio mafeminist wa kwanza kwenda Beijing kwenye mikutano na semina za mikakati ya kusambaza hii ideology kwenye jamii.

Na usichikijua sasa alikuwa anaogopa kwenda na alikuwa anakataa. Serikali kupitia viongozi pamoja na mume wake ndio walimsihi na kumbembeleza kwenda kishingo upande alikuwa hana hata mpango wa kwenda. Interview yake pale TBC1 anayasema haya mwenyewe na mumewe pembeni anachangia hoja.

Feminism ni miongoni mwa program za mataifa ya magharibi kwa mataifa madogo katika kuyarubuni na kuyatawala. Unafahamu SAP (structure adjustment program) ilikuwa na malengo gani?🤔
Nyerere alipochukua nchi baada ya Uhuru akarudisha wanawake katika nafasi za uongozi,wakati huo ndio ikazaliwa UWT Umoja Wa Wanawake Tanzania,unajua kitu gani muhimu UWT walipigana??
Nadhani bado haujanipata vema na mjadala wangu wa feminism hapa. Tukianza kujadili UWT tutapoteza Direction. UWT sio chama chenye mlengo wa kimagharibi kilianzishwa ili kutambua nafasi ya wanawake katika chama cha mapinduzi wakati huo.

Ukienda popote lazima utakutana na vyama special vya wanawake but not related to feminism purely the only represent a certain value either political or economical or religious.

Sasa hii feminism tunayoizungumzia ni inayotoka nje na ndio maana unaona inakinzana na mazingira ya jamii zetu za kiafrika na hata huko ilipotoka napo haijazaa matunda mazuri.
Elimu sawa kwa wote
Umri wa kuolewa
Sheria za mirathi kubadilika
Haki za wajane,
Yote hayo yaliwezekana enzi za mwalimu
SIjaelewa hii hoja umelenga sehemu gani kwasababu hapa ni kama umezungumzia changamoto za wanawake ambazo tayari most zimetatuliwa. Sijaelew hapa hoja yako mzee, i am puzzled nielekeze vema mkuu.
Hapo kibaya kipi??

Balaa lilianza miaka ya 2000 baada ya kuanza hizi NGOS,.Mambo mengi ya kuandika muda mchache Ila mambo yamevurugwa makusudi kugawa watu..
Mmmmmm,mzee kikao cha Beijing cha kwanza kilifanyika mwaka gani na unajua kilichojadiliwa kule?
 
Unaongea vitu vingi Ila havina maana,ushoga ulikuwepo tangu sodoma na gomora,.tangu Karne ya kwanza,.madai yako kuhusu Hitler nishasema ni conspiracy theories,hiyo Tamlud Soma wewe me nishasoma kitambo.stick kwa madai yako jibu hoja,Soma kwa kuelewa..sijapinga ulichosema kuhusu feminism,hapa nataka kukwambia usichojua kuhusu feminism na agenda ilivyobadilishwa kua Kama inavyoonekana leo
Maana unashindwa wewe kuconnect kwasababu mimi naongea vitu vinavyorelate na kile ambacho wewe umehoji.

Ukisema ushoga ulikuwepo tokea Sodoma na Gomorrah mimi sijaongelea kitambo hicho ambacho mimi na wewe hatuna documented evidence zaidi ya story za hearsay za bible na wanaimani.

Mimi nakwambia factual data zimetokea juzi tu hapo katika time line yetu ambayo Hitler tunajua habari zake na documents,videos, witnesses na victims wapo wakishuhudu.

Hapa sijazungumzia ushoga wa Sodoma na Gomorrah vitu ambavyo hata Yesu hajavikuta and it has been 2000 years more, but hii ni kitu ambacho documentary yenye picha,video na wazungumzaji.

So if i should be specific,achana na story za bible verse hapa kwasababu mimi sijakupeleka huko. Mimi naongelea Jews hawa wasasa wanaofanya mambo yao kwa njia ya mitandao, mifumo ya kisiasa,na program mbali mbali nyuma ya mikono ya ufadhili.

Ukibishana na mimi kwasababu haujui haikufanyi kuwa mtu smart bali ni mjinga asiyekuwa tayari kujifunza,ashakum si matusi.

Kama unabisha sasa unambie wewe mimi ndie nimeandika "Talmud", mimi ndie ninaezungumzia feminism kama imported ideology yenye kulenga kuharibu kwa mara ya kwanza?

Unasema conspiracy wakati video nimeziona askari wa jeshi la Hitler wakichoma majengo ya madanguro ya Jews,wanachoma mavitabu yamepigwa picha za michoro ya watu wakitest gender reassignment surgeries (ambazo sasa wanazifanya huko marekani na zina victims kibao wanaongea kuzihusu wakihusisha na feminism na Jewish angeda kwenye global population).

Mzee kausha basi usilete ujuaji.
 
Wee ni wa kuhurumiwa kabisa, uko ktk stage mbayaa mnoo.
Nakupa poleee, tena polee kubwa. Unalo hilooo.
😂😂😂😂
So maana yake ni umeishiwa hoja unataka kunifanyia diagnosis ya magonjwa ya akili kwani wewe ni daktari wa magonjwa ya akili?

This is typical feminism trait. Ukiishiwa cha kujibu unaanza sasa kutafuta personal angles za kumshambulia msemaji ili kumdhoofu kiakili aache kufocus na mada akuwaze wewe.

Sasa wewe ni aidha upo upande wangu au dhidi yangu. Kama upo upande wangu then nisapoti kinyume chake weka hoja mezani za namna gani mimi sipo sawa,ukiona hoja zinagoma ndio tayari ujue nimekuzidi tayari madini upo shallow so don't take it personal.
 
Wewe unaejifanya una elimu naona huna chochote unachujua upo upo tu, bora ubakie msomaji tu utajifunza hii mada naona ipo juu ya uelewa wako wa mambo.
Watu kama hawa ndio hata wakiambiwa kuwa mkewe yupo lodge analiwa akamfumanie anakuita mfitini wa ndoa na mkewe akija anakusemea kuwa umsemea uongo kwake.😂😂😂😂

Huyo hajielewi hata anaongea nini siajabu amelewa. Anakuja very personal utadhani hii mada ina muhusu yeye.
 
So maana yake ni umeishiwa hoja unataka kunifanyia diagnosis ya magonjwa ya akili kwani wewe ni daktari wa magonjwa ya akili?

This is typical feminism trait. Ukiishiwa cha kujibu unaanza sasa kutafuta personal angles za kumshambulia msemaji ili kumdhoofu kiakili aache kufocus na mada akuwaze wewe.

Sasa wewe ni aidha upo upande wangu au dhidi yangu. Kama upo upande wangu then nisapoti kinyume chake weka hoja mezani za namna gani mimi sipo sawa,ukiona hoja zinagoma ndio tayari ujue nimekuzidi tayari madini upo shallow so don't take it personal.
😂😂😂😂😂 narudia tena, nakupaa Poleeee.
 
Nimesha staafu kuandika magazeti, kuhusu ushoga huna cha kunambia wala kunielekeza, naujua kuliko wewee. Hayo ya feminism na new world order agendas hayo utajuana na wahusika wake.

Hiyo para ya 2 nimecheka had mbavu zinauma, hiyo ya 3 makasiriko yako baki nayo mwenyewe hainihusu,

Nweii, umesema utanidhalilisha, nakupa ruksa sasa em nidhalilishe nione.
😂😂😂😂😂😂
Jibu vitu nimekuuliza kule sijaona umejibu hata kimoja kwa mtu unaejinasibu kuwa mashoga unawajua sana.

By the way,wewe ni balozi wa homosexuals Tanzania au?
 
Haya Rudi shule me siwezi kukuelekeza muda Sina,
Tatizo sio muda tatizo hauna hoja za msingi. Unanipa habari za kwenye madaftari ya sekondari.

Kwani si ndio huko tulisoma kwamba wazungu wametuletea democracy ili tujitawale,is that the case in real life?

So si kila jambo lipo kama vile unavyolekezwa vingine hebu fanya kutafiti upate taarifa zaidi.
 
Jibu vitu nimekuuliza kule sijaona umejibu hata kimoja kwa mtu unaejinasibu kuwa mashoga unawajua sana.

By the way,wewe ni balozi wa homosexuals Tanzania au?
Sioni cha kukujibu mie, ni vile unajichosha tUh, umeanza leo hizo harakati zako? Cha ajabu hata baadhi ya unao wapigania wana kupinga, hujistukii?

Unapoteza muda wako buree, poleee
 
That is not feminism that is Matriarchy mzee. Usichanganye mada. Unafananisha askari wa JWTZ na Mgambo wa jiji kwasababu wote wanavaa ngwanda ila unasahau alama muhimu.

Feminism as ana adjective ni kitendo cha kufanya shughuli za kuimalisha uanamke,ukinambia unyago na kuwacheza wanawake ni feminism i can agree with you kwasababu lengo ilikuwa ni kumjenga mtoto wa kike kuwa na mambo ya kike kike na sio kama sasa wanawajenga watoto wa kike kuwa na mambo ya kiume, kuvaa nguo za kiume,kukwepa shughuli za kike kufanya za kiume,kula kama wanaume, kutoshiriki mambo ya kike bali ya kiiume how is that feminism in anyway?🤔

Usiklemishe vitu,vielewe sawa sawa. Feminism ni ideology ambayo imekuwa imported miaka ya tisini kipindi mzee nyerere anaachia madaraka kumpa mzee mwinyi. Mama gretude mogela ndio mafeminist wa kwanza kwenda Beijing kwenye mikutano na semina za mikakati ya kusambaza hii ideology kwenye jamii.

Na usichikijua sasa alikuwa anaogopa kwenda na alikuwa anakataa. Serikali kupitia viongozi pamoja na mume wake ndio walimsihi na kumbembeleza kwenda kishingo upande alikuwa hana hata mpango wa kwenda. Interview yake pale TBC1 anayasema haya mwenyewe na mumewe pembeni anachangia hoja.

Feminism ni miongoni mwa program za mataifa ya magharibi kwa mataifa madogo katika kuyarubuni na kuyatawala. Unafahamu SAP (structure adjustment program) ilikuwa na malengo gani?🤔

Nadhani bado haujanipata vema na mjadala wangu wa feminism hapa. Tukianza kujadili UWT tutapoteza Direction. UWT sio chama chenye mlengo wa kimagharibi kilianzishwa ili kutambua nafasi ya wanawake katika chama cha mapinduzi wakati huo.

Ukienda popote lazima utakutana na vyama special vya wanawake but not related to feminism purely the only represent a certain value either political or economical or religious.

Sasa hii feminism tunayoizungumzia ni inayotoka nje na ndio maana unaona inakinzana na mazingira ya jamii zetu za kiafrika na hata huko ilipotoka napo haijazaa matunda mazuri.

SIjaelewa hii hoja umelenga sehemu gani kwasababu hapa ni kama umezungumzia changamoto za wanawake ambazo tayari most zimetatuliwa. Sijaelew hapa hoja yako mzee, i am puzzled nielekeze vema mkuu.

Mmmmmm,mzee kikao cha Beijing cha kwanza kilifanyika mwaka gani na unajua kilichojadiliwa kule?
Hapa Sasa umejibu Kama mtu anaefahamu anachokisema kwa hivi tutaelewana,..

Tangu mwanzo hukua unaelewa nazungumzia Nini, nimesema angalia historia ya feminism utaona na kitu kilichopo Sasa ni vitu viwili TOFAUTI,mfano Nina kitabu Cha A Vindication of the Rights of Woman (1792) Cha Mary Wollstonecraft
Hicho ndio kitabu Cha kwanza Cha feminism,Wala akizungumzii wanawake kua Kama wanaume,kinazungumzia haki za msingi ambazo wanawake hawapewi.. mfano Equal education,rationality over beauty,mchango wa mwanamke katika jamii, akieleza ukisomesha mwanamke anakua Mama bora,mke Bora,usawa katika ndoa (it was worse back then)..huko ndio ilipoanzia haikua imported ideology ilikua namna ya kupambana na changamoto zao,kutoa sauti...
Haya matakwa ya modern feminists ni jambo tofauti zaidi ya ku empower mwanamke ni kuleta utengano katika jamii,na hao wa magharibi ndio wafadhili wa shughuli hizo..

Beijing walienda kujadili Nini??walienda kuongea Mambo ya kawaida Sana haswa kuwawezesha wanawake katika nyanja za siasa, uchumi and nk..haikua itikadi Kali Kama Sasa
 
😂😂😂😂😂 narudia tena, nakupaa Poleeee.
Umeshindwa tayari. Pole ya nini na umeshindwa kuendelea na hoja. We ulikuja hapa kutetea ushoga nimekuuliza maswali umekimbilia kusema pole,for what?
 
Sioni cha kukujibu mie, ni vile unajichosha tUh, umeanza leo hizo harakati zako? Cha ajabu hata baadhi ya unao wapigania wana kupinga, hujistukii?

Unapoteza muda wako buree, poleee
Utakuwa umetumwa kuja kuzima moto. Nani huyo unaemuongelea?
 
Back
Top Bottom