Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,566
- 94,827
Mi nimetulia mkuu. Nimekaa paleeeee nawaangaliaTulia nakwambia 😂😂😂
Mi nimetulia mkuu. Nimekaa paleeeee nawaangaliaTulia nakwambia 😂😂😂
Tatizo shule mkuu, mto mada na wenzie hawakupata haki ya elimuHarakati za feminism zilivyoanza Wala halikua Jambo baya labda hujasoma historia ilipoanzia,maana yake na kwanini ilianzishwa Kama political movement..
Ila Sasa now Kuna radical feminist ambao ndio wanaleta kizungumkuti katika jamii,na wanaume Kama wewe ambao hamjaelewa what is feminism.. wanawake wengi Leo wamechukukulia Jambo hili tofauti Sana,kwa kutokujua au bendera fata upepo..
Mkuu Mimi nawewe labda tumesoma darasa Moja,mfano nampenda Ken Walibora na kitabu chake Kidagaa kimemwozea..Tatizo shule mkuu, mto mada na wenzie hawakupata haki ya elimu
Jadda hizi takwimu huwa hazioni hizi as if huwa hazipo mtandaoni.Moja wapo ya sababu ktk hizo asilimia 116.
View attachment 3322798
My friend,as your name suggest "lost files" kuna mafile hatujawahi wekewa public.Harakati za feminism zilivyoanza Wala halikua Jambo baya labda hujasoma historia ilipoanzia,maana yake na kwanini ilianzishwa Kama political movement..
Ila Sasa now Kuna radical feminist ambao ndio wanaleta kizungumkuti katika jamii,na wanaume Kama wewe ambao hamjaelewa what is feminism.. wanawake wengi Leo wamechukukulia Jambo hili tofauti Sana,kwa kutokujua au bendera fata upepo..
Suala la Jews kuchukiwa na Hitler hakuna anaejua,nimesoma kitabu Cha Hitler MEIN KAMPF kaeleza mtazamo wake wa kisiasa,mengine theories tu,kashawaita orange JUICE..My friend,as your name suggest "lost files" kuna mafile hatujawahi wekewa public.
Nilikuwa Twitter ndipo kuna jamaa nina wafollow wamenipa muangaza kuhusu feminism from the beginning.
Sasa mzee hii kitu ipo connected na Israel (Zionist).
Unajua kwann Hitler aliwachukia sana na aliwauwa?
Umeshasoma ule muongozo wao unaitwa unaitwa TALMUD?
Tafuta copy ile halafu utaelewa why feminism ilianzishwa. Ukitaka kujua why feminism ilianzishwa tazama hali ya kijamii ya mataifa kama Marekani sasa na huko ulaya maswala ya ushoga,usagaji, Forster homes,etc.
Mzee nilikuwa najua kama wewe hicho unachokisema but ajenda olikuwa nyuma ya hiyo kitu ni nyingine.
Again, umeshawahi jiuliza why Hitler alikuwa anawachukia sana Jews na alikuwa tayari kuwamaliza wote?🤔
Mzee huko Eden utatoka nje ya mambo yakidunia. Mimi sikupi story za kusadikika nakuambia the real deal.Suala la Jews kuchukiwa na Hitler hakuna anaejua,nimesoma kitabu Cha Hitler MEIN KAMPF kaeleza mtazamo wake wa kisiasa,mengine theories tu,kashawaita orange JUICE..
Mengi uliyosema kwenye post ndio harakati zinazofanywa Sasa na watu ambao hawajui movement ilikua na lengo gani Kwanza,najua hujui Kama hao modern feminist Ila nipo tayari kukupa darasa huru,chagua tuanze Eden,. History, philosophy,itikadi au culture??nataka nikuoneshe the positive side..
History fupi kwa Tanzania,Unadhani ideology was imported?? kabla ya ukoloni Kuna makabila yalikua yanaongozwa na wanawake, Walikua wanamiliki Ardhi,Viongozi wa kimila,biashara na shughuli za uzalishaji,Mambo yalibadilika baada ya kuja Wajerumani na waingereza,wakapiga chini wanawake wote..Sasa mbona wewe mwenye elimu ndio umekuwa pangu pakavu tia mchumzi na elimu yako, GTFOH 😒😒😒
Kwahiyo?He was surprised by your response.
Unaongea vitu vingi Ila havina maana,ushoga ulikuwepo tangu sodoma na gomora,.tangu Karne ya kwanza,.madai yako kuhusu Hitler nishasema ni conspiracy theories,hiyo Tamlud Soma wewe me nishasoma kitambo.stick kwa madai yako jibu hoja,Soma kwa kuelewa..sijapinga ulichosema kuhusu feminism,hapa nataka kukwambia usichojua kuhusu feminism na agenda ilivyobadilishwa kua Kama inavyoonekana leoMzee huko Eden utatoka nje ya mambo yakidunia. Mimi sikupi story za kusadikika nakuambia the real deal.
Kipindi Hitler anachukua inchi alianza kufanyia utekelezaji maazimio yake ya kutokomeza jews kutokana na mambo waliyokuwa wakiyafanya na mipango waliyokuwa wanapanga dhidi ya race nyingine.
One of the things wameplan ni kutokomeza race zote ili wao wabakie pekee yao kwenye huu ulimwengu.
Yaani wataanza na race ya watu wachache (wazungu wale pure Aryan) then wataelekea race zingine.
Feminism ni njia tu ya kuelekea ushoga na usagaji. We haujilizi why imebadilisha muelekeo na kama haikuwa na malengo hayo umeona mafeminist wakipinga au kuprotest kuwa movement yao imekuwa compromised?
Mzee ingia hapo mtandaoni tafuta copy ya Talmud halafu soma vitu walivyoandika hapo utaelewa nini kinaendelea,achana na hizo mbaga za darasani ulizosoma kwenye History 2. Mzee acha kabisa.
The time Hitler anaingia kitu alifanya kuchoma madanguro ya majews jamaa walishaanza LGBTQ tokea kipindi hicho na waliazimia kuisambaza.
Alichoma mlima wa mavitabu ya program walizopanga kuzitekeleza na ndio maana na wao akaanza wachoma na kuwaua.
Leo miaka kadhaa baada ya Hitler kufa, wameanza utekelezaji wao upya wa kutokomeza races zingine kwenye program zao mbali mbali ikiwamo feminism, pornography, LGBTQ, Black lives matter, na maswala ys ujasusi wa kiuchumi.
Mambo ni mengi mzee niwie radhi kama naongea vitu vingi kwa wakati m'moja.
Hapa nimekuelewa sana mkuu! Na Tz tupo speed ya 5g kuelekea huko.Hapo South Africa si ndio maana wanaijeria wakienda ndio wanawala sana mabinti wa kule maana wanaume walileta us*ng* wa kucheka cheka na hizi itikadi za kimagharibi hadi zikashika speed zimewapunguza uwezo na umuhimu wao hadi wanawake zao wanawadharau.
Unaongea vitu vingi Ila havina maana,ushoga ulikuwepo tangu sodoma na gomora,.tangu Karne ya kwanza,.madai yako kuhusu Hitler nishasema ni conspiracy theories,hiyo Tamlud Soma wewe me nishasoma kitambo.stick kwa madai yako jibu hoja,Soma kwa kuelewa..sijapinga ulichosema kuhusu feminism,hapa nataka kukwambia usichojua kuhusu feminism na agenda ilivyobadilishwa kua Kama inavyoonekana leo