Hapana kwanini ifungwe wakati ni sehemu moja wapo ya watu kupata enlightenment?Hii thread isifungwe maana kuna haja ya kuelimishana kuhusu "feminism" na nafasi ya mwanamke katika jamii. Kwa muda mrefu mjadala umetawaliwa na misogynists na apologists wao. Wakiachiwa, sumu yao itaharibu jamii kuliko hata ya hao mnaowaita "feminists".
Amandla...
Na unaitafsiri vipi misogyn ukihusishanisha na hii mada?
nyie mafeminists uchwara hasa wa kiume huwa mna akili za kipumbavuu sana, tena mimi naonaga nyie ndio watu hatari sana kwenye jamii yetu kuliko hata third wave feminists wenyewe, maana nyie ndio huwa mko mstari wa mbele kuendesha kampeni ya cancellation na censorship kwa wanaume pale mnapokutana na jambo msilokubaliano nalo kuhusiana na mambo ya kijinsia.
Katika wachangiaji wote hapa wakiwemo wanawake hakuna hata mmoja aliyesema hii thread ifutwe, ila wewe sasa dume zima na mboo yako isiyokuwa na madhara bila aibu kabisa unatamka eti hii thread ifutwe tena kwa sababu za kishenzi ambazo zinatokana ba hisia zako.
Eti misogynist mbona wewe unaonekana ni pure misandrist japo ni mwanaume? Halafu nikujuze wanaume wa aina yako yaani nyie simps huwa mnadharauliwa sana na wanawake mioyoni.
Ndio maana huwezi kukuta mwanamke hasa hao feminists wameolewa na simps, nyie simps huwa mnatumika tu kukamilisha ajenda zao kisha mnatupwa huko mpaka pale watakapowahitaji tena kama ambayo wanazitumia sanitary pads.
Wanaume wa dizaini yako ni cancer kwenye jamii yetu, maana nyie ndio mnapalilia mfumo jike mkiamini kwamb ndio civilization.