Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 12,280
- 10,378
Imekuuma kuwa amejibu kwa heshima? Hauna haki wala uwezo wa kuzungumzia wanaume wote. Wazungumzie incel wenzako.Hata usingehangaika kumjibu, huyo ni simp ndio wanaosimama mbele ya wanawake na kusema wanaume tunawaunga mkono kwenye feminism. Kumbe ni wanaume makasha tu hakuna mwanaume hapo.
Lakini si ulisema hautaki mjadala na mimi? Kumbe bado unaumia ninavyoonyesha jamii upumbavu na misogyny yako. Badala ya kuwadharau, kuwachukia na kuwabeza wanawake, jaribu kuwaheshimu na labda, labda atatokea mmoja unayeona amekuzidi atakupenda.
Kwa vile sioni tija ya kuendelea kujibizana na wewe sitakujibu tena. Nakuweka kwenye ignore list kwa hiyo hata ukinijibu kwa jina hili sitaona.
Amandla...