Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah mzee hii ni zaidi ya K.O🤣🤣🤣. Unampasua za kichwa tu mfululizo.
Huyo bwege huwa anaudhi sana sijawahi kukutana na comment yake yoyote akisimama na wanaume, yaan siku zote yeye huwa yuko na wanawake tu na tena kwa kuwakandamiza sana wanaume.

Yaani ungekuwa unasoma comments zake akibishana na watu kwenye ile thread ya mkasa wa Hakimi na mkewe ungeweza hata kumpiga makofi, yaan alikuwa anaandika upumbavu mtupu.

Eti kuna mahali katika kati ya mjadala anahoji kwanini kwanza PSG wanamlipa mama yake na Hakimi mshaara wa Hakimi na wakati anayewafanyia kazi ni Hakimi? Hao PSG nao watakuwa wameshirikiana na Hakimi kumpora stahiki zake yule binti inapaswa wachunguzwe...😂😂

Imagine huyo ndina alikuwa na fikra za namna hiyo, na pia akasema eti hilo sakata la Hakimi halijaisha bado ipo siku yule mtalaka wake atapata mwanasheria mzuri na mali za hakimi zinapigwa pasu tu... yaani huyu bwegealiumizwa kweli na yule tapeli kukosa mali, utafikiri labda ana undugu naye.
 
Huyo bwege huwa anaudhi sana sijawahi kukutana na comment yake yoyote akisimama na wanaume, yaan siku zote yeye huwa yuko na wanawake tu na tena kwa kuwakandamiza sana wanaume.

Yaani ungekuwa unasoma comments zake akibishana na watu kwenye ile thread ya mkasa wa Hakimi na mkewe ungeweza hata kumpiga makofi, yaan alikuwa anaandika upumbavu mtupu.

Eti kuna mahali katika kati ya mjadala anahoji kwanini kwanza PSG wanamlipa mama yake na Hakimi mshaara wa Hakimi na wakati anayewafanyia kazi ni Hakimi? Hao PSG nao watakuwa wameshirikiana na Hakimi kumpora stahiki zake yule binti inapaswa wachunguzwe...😂😂

Imagine huyo ndina alikuwa na fikra za namna hiyo, na pia akasema eti hilo sakata la Hakimi halijaisha bado ipo siku yule mtalaka wake atapata mwanasheria mzuri na mali za hakimi zinapigwa pasu tu... yaani huyu bwegealiumizwa kweli na yule tapeli kukosa mali, utafikiri labda ana undugu naye.
Mimi nimempiga marufuku kujadiliana na mimi topic zozote za kiume kwasababu nimemuona hajui nini maana ya mwanaume.

Haya ndio matatizo ya kuacha watoto wa kiume wanalelewa wakiwa wamezungukwa na wamama na mabibi na mabinti,akiwa mkubwa anahisi yeye ni mwanamke. So anabakia kutetea wanawake wenzake.
 
Dah 🤣🤣🤣🤣🤣👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🤝🏿🤝🏿🤝🏿🤝🏿mzee unajua. Upo vema.
Kitu kingine kinachoniogopesha ni kuona watoto wa kiume wakiamini mwamba eti feminism hii ya sasa ipo kwa ajili ya kuleta equality, hawajui hiyo stage imeshapitwa siku nyingi sana.

Hawajui kuwa sasa hivi hiyo feminism wanayoipigia chapuo inapalilia mizizi ya kuangamiza kabisa kiumbe wakuitwa mwanaume na hatimae kumfanya binadamu wa daraja la pili.

Yaani hawajui kuwa feminists wanawatumia wao kuua mfumo dume ili wa establish mfumo jike.

Hakika wananiskitisha sana.
 
Haya ndio matatizo ya kuacha watoto wa kiume wanalelewa wakiwa wamezungukwa na wamama na mabibi na mabinti,akiwa mkubwa anahisi yeye ni mwanamke. So anabakia kutetea wanawake wenzake.
Hapa ninakubaliana na wewe kwa 100% mara nyingi aina ya wanaume kama huyo Fundi Mchundo wanakuwaga wamelelewa kwenye mazingira ambayo 24/7 amezungukwa na majike tupu, hakuna masculine figure wakumpa elements za kiume, yaani akigeuka kuna shangazi, akigeuka huku kuna bibi, akigeuka huku kuna mama mdogo hakuna mwanaume hata mmoja.

Hivyo basi mpaka anakuwa mtu mzima anakuwa anajiona yeye ni mwanamke zaidi kuliko mwanaume na automatically chochote anachokifanya anataka kiwe na maslahi kwanza kwa mwanamke.

Na watu hawa wanaenda mbali kabisa na kujikuta wanaichukia jinsia yao na kuona kama mwenyezi Mungu alimkosea sana kumuumba mwanaume....

Huwa wanaamini wanawake ni bora kuliko wanaume na mabaya yoyote yanayomkuta mwanamke chanzo chake ni mwanaume, si unaona hapo kuna comment anakwambia eti mabinti wengi wanaotoa mimba chanzo ni wanaume🤨?

Sasa sijui na mimi nikijenga hoja kuwa wanaume wengi wanaokwapua mikoba ya watu stendi chanzo ni wanawake..... kwa sababu wanawake wanataka kudate na wanaume wenye hela na kihalisia wanaume wengi hawana pesa wala hawana ajira, sasa basi njia pekee ya wao kujiingizia pesa ni kuiba hivyo wizi wao umesababishwa na wanawake.

Sijui niki present hoja kama hii itamake sense, maana mantiki yangu haina tofauti kabisa na mantiki ya hoja yake.
 
Tulia wewe nimekukalisha kwenye comment moja tu hapo umekimbia subiri nifungue uzi hapa halafu tukutane ulingoni. Hoja za msingi hauna mikwala mingi.
😂😂😂😂 watu weuweeee!!!
 
Kama tutaendelea kukaa kimya then tutarajie maasi zaidi kama yanayotokea huko mataifa ya magharibi kama USA, CANADA na United Kingdom ambayo kwasasa yanapitia mvurugiko mkubwa sana wakijamii kwasababu ya uzembe wa kuendekeza ideology za kipumbavu kama feminism katika jamii zao na matokeo yake zimeparanganyua kabisa ustawi na jamii sasa haieleweki ina uelekeo upi.
Samahani ndugu. Unaweza kututajia maasi japo matatu tu yaliyoletwa na ma feminist ili tupime na kujifunza
 
Mleta mada, kwanza hongera kwa kuibua hoja.
Pili, tunaheshimu msimamo wako juu ya feminists, japo sio lazima wote tukubaliane na msimamo wako. Na hii hairamanishi misimami ya wengine au msimamo wako.
Tatu, ni utashi wako kuchambua hoja kwa hiyo definition 1 ya feminist/feminism. Lakini kwa upande wa wengine inaweza kuwa pana kuliko unavyofikiri.
Nne, umeuliza faida ilopatikana katika hizo harakati, kwangu ni nyingi, mfano kwa uchache.
1. Kuwepo kwa uwakilishi wa wanawake katika uongozi, siasa nk. Kitu ambacho hakikuwepo zamani( angalia idadi ya wanawake bungeni leo )
2. Haki sawa katika elimu, kazi nk.( kwa sasa tuna doctors, engineers, soldiers na kazi nyingine ambazo zilionekana za kiume leo wanafanya wanawake pia.
3. Kuwepo kwa usawa katika majukumu. Kumbuka jamii nyingine zenye mfumo dume, unakuta mwanaume anafanya only single role( ambayo ni productive, na ndivyo walivyoishi wazee wetu, kwamba baba ni mtafutaji wa pesa, alete chakula ndani) wakati mama akiwa na triple role, yani azae/alee, bado afanye productive kama kulima nk, pia kazi za jamii mfano misiba nk.
Lakini kuwepo kwa feminist movements kufamefanya hizi roles zifanywe kwa usawa na kumpunguzia kazi mwanamke.
Mfano kwa sasa tunaona kina baba wanashiriki katika malezi na kuwapunguzia mzigo wa kazi wanawake. Hata wewe mleta mada kama umewahi ongesha mwanao, kumbadili diaper, kumpeleka kliniki nk tambua ni sehemu ya u feminist. Kwamba kazi ambazo zilijulikana za mama umezishiriki. Hapa jf 90% ya wanaume ni feminists, ndio maana ukisoma threads zao sijui wanataka kuoa wake wenye kazi, wanaowahonga hela nk.
MTU anayesimama kwamba yeye u feminist ni haramu kwake, ni yule atakaekaa na ile misimamo ya mababu kuwa mwanamke ni mtu wa kukaa kuzaa kulea.

Kwa hiyo ndugu feminism na harakati za ma feminist ni jambo pana, na lenye mitizamo tofauti, hats wao kwa wao wanapingana. Ndio maana kuna theory tofauti juu ya hii field. Na mapungufu machache hayaifanyi jambo liwe haramu kwa kila mtu.
 
Kitu kingine kinachoniogopesha ni kuona watoto wa kiume wakiamini mwamba eti feminism hii ya sasa ipo kwa ajili ya kuleta equality, hawajui hiyo stage imeshapitwa siku nyingi sana.
Tupe mfano jinsi gani tulivyovuka kwenye equality na tuko katika mfumo jike.
Yani kwa mfano mi nilivyokuelewa ni kwamba, labda tuseme wanawake walikuwa hawana haki ya kumiliki ardhi, hawa mafeminist wamepiga pigs kelele weeee hadi mwanamke akapata haki sawa na mwanaume katika kumiliki ardhi,( equal right) kwa hiyo japo ulivyosema hiyo stage ya equality tumevuka tunataka mfumo jike, means mwanamke sasa ndio mwenye full rights na mwanaume hana?
Au mi ndio sijakuelewa vizuri. Nieleweshe hapo
 
Tupe mfano jinsi gani tulivyovuka kwenye equality na tuko katika mfumo jike.
Yani kwa mfano mi nilivyokuelewa ni kwamba, labda tuseme wanawake walikuwa hawana haki ya kumiliki ardhi, hawa mafeminist wamepiga pigs kelele weeee hadi mwanamke akapata haki sawa na mwanaume katika kumiliki ardhi,( equal right) kwa hiyo japo ulivyosema hiyo stage ya equality tumevuka tunataka mfumo jike, means mwanamke sasa ndio mwenye full rights na mwanaume hana?
Au mi ndio sijakuelewa vizuri. Nieleweshe hapo
Na mimi huwa ndicho ninachowauliza na ninachowaambia humu karibu kila siku yani wao wanadai ati feminism inataka mfumo dume ufe halafu uje mfumo jike kwamba eti mwanamke sasa ndio amtawale mwanaume, ilihali ukiangalia siyo kweli bali feminism inataka haki sawa kila mmoja ajitawale mwenyewe kusiwe na wa kumtawala mwenzie ila wao wanapotosha hilo ili kuidhoofisha feminism kwa kuifanya ionekane ni uovu, wao wanataka walazimishe kuendelea kumtawala mwanamke yani katika ulimwengu huu wa majukumu sawa ambao wanawake wengi wanafanya kazi kama wanaume eti bado wanaume wanataka wanawake waendelee kuwa chini yao kana kwamba wanawake ni viumbe wasio na utashi
 
mwenye full rights na mwanaume hana?
Of course this is what we have now in our fuccking modern world, it is no longer about equality, it's beyond that, we are gradually sinking into gynocentrism something that an ordinary boy can't see.

Mwanamke ana haki zaidi ya mwanaume ndio since she's preferentially treated as opposite to a man, starting from our legal system, our laws have been tilted toward favoring women in almost every facet of life, from marital laws to familiy laws to labor laws they are all too lopsided, they were enacted with minimal consideration of men.
Au mi ndio sijakuelewa vizuri. Nieleweshe hapo
Hopefully this convo won't take a grip on your nerves right? Yes, we are in era where the socalled women rights movement has been weaponized to marginalize men as a revenge for what women went through in ancient times.
 
Umehalalishwa hapa kwetu, huko majuu wapi? Em taja.
Vitu haufuatilii halafu unajifanya una misimamo na unauhakika kwa unachopotosha.

Sasa kama haujui kinachotokea mataifa ya magharibi wewe unaongozwa na upande upi na waliokufundisha uasi hauwafuatilii?

Fuatilia vitu unavyotetea sio unaongea huku na hauna latest.
 
Samahani ndugu. Unaweza kututajia maasi japo matatu tu yaliyoletwa na ma feminist ili tupime na kujifunza
Nimeandika tayari mkuu,soma reply za kwanza kule juu nilizokuwa namjibu Jadda utaona nimezilist baadhi yake. Pitia reply zangu za juu kabisa nikiwa namjibu Jadda
 
Mleta mada, kwanza hongera kwa kuibua hoja.
Pili, tunaheshimu msimamo wako juu ya feminists, japo sio lazima wote tukubaliane na msimamo wako. Na hii hairamanishi misimami ya wengine au msimamo wako.
Tatu, ni utashi wako kuchambua hoja kwa hiyo definition 1 ya feminist/feminism. Lakini kwa upande wa wengine inaweza kuwa pana kuliko unavyofikiri.
Nne, umeuliza faida ilopatikana katika hizo harakati, kwangu ni nyingi, mfano kwa uchache.
1. Kuwepo kwa uwakilishi wa wanawake katika uongozi, siasa nk. Kitu ambacho hakikuwepo zamani( angalia idadi ya wanawake bungeni leo )
2. Haki sawa katika elimu, kazi nk.( kwa sasa tuna doctors, engineers, soldiers na kazi nyingine ambazo zilionekana za kiume leo wanafanya wanawake pia.
3. Kuwepo kwa usawa katika majukumu. Kumbuka jamii nyingine zenye mfumo dume, unakuta mwanaume anafanya only single role( ambayo ni productive, na ndivyo walivyoishi wazee wetu, kwamba baba ni mtafutaji wa pesa, alete chakula ndani) wakati mama akiwa na triple role, yani azae/alee, bado afanye productive kama kulima nk, pia kazi za jamii mfano misiba nk.
Lakini kuwepo kwa feminist movements kufamefanya hizi roles zifanywe kwa usawa na kumpunguzia kazi mwanamke.
Mfano kwa sasa tunaona kina baba wanashiriki katika malezi na kuwapunguzia mzigo wa kazi wanawake. Hata wewe mleta mada kama umewahi ongesha mwanao, kumbadili diaper, kumpeleka kliniki nk tambua ni sehemu ya u feminist. Kwamba kazi ambazo zilijulikana za mama umezishiriki. Hapa jf 90% ya wanaume ni feminists, ndio maana ukisoma threads zao sijui wanataka kuoa wake wenye kazi, wanaowahonga hela nk.
MTU anayesimama kwamba yeye u feminist ni haramu kwake, ni yule atakaekaa na ile misimamo ya mababu kuwa mwanamke ni mtu wa kukaa kuzaa kulea.

Kwa hiyo ndugu feminism na harakati za ma feminist ni jambo pana, na lenye mitizamo tofauti, hats wao kwa wao wanapingana. Ndio maana kuna theory tofauti juu ya hii field. Na mapungufu machache hayaifanyi jambo liwe haramu kwa kila mtu.
Ngoja nikutag kwenye replies za Muhimbu usome kwanza then utaelewa mjadala umejikita corridor gani zaidi maana yeye alifafanua vizuri sana.
 
Ndio maana nasemaga nyie simp hamnaga akili wala maarifa yoyote, mnatafsiri histilahi nyingi kulingana na modern feminists walivyowaaminisha.

Nani amekwambia kuwa tradtional wafe ni lazima awe mama wa nyumbani? Haujui hata maana halisi ya traditional woman mpuuzi wewe, traditional woman ni mwanamke yeyote anayeamini katika traditional family values ambapo ndani yake ndio kuna vitu kama;

1).Familia inatengenezwa na mama na baba, ambapo baba ndio kiongozi mkuu wa familia na mama ni kiongozi msaidizi watoto.
2).Mtoto wa kike ni lazima awe chini ya wazazi mpaka pale atakapofikia hatua ya kuolewa na haruhusiwi kuondoka nyumbani eti aende akapange hata kama ameshaanza kujiingizia kipato chake mwenyewe.
3).Kila mtu anaheshimu na kuzifuata gender based roles, yaani baba anatimiza his masculine duties na mama anatimiza her feminine duties.

Na sio lazima uwe mama wa nyumbani eti ndio uhesabike kuwa wewe ni tradtional wive, wapo wanawake kibao tu wenye nyadhifa za juu duniani na wanaheshimika sana ila majumbani mwao ni traditional wives, mfano mzuri ni mnaijeria anaitwa Ngozi Okwor huyu amewahi katibu wa IMF ila kwa kinywa chake mwenyewe aliwahi kusema anaamini katika gender roles na pia ni mtu wa dini sana.

Hakuna kitu kama hicho huu nao ni ujinga mwingine ambao umelishwa na feminists, inakuwaje kiumbe ambacho kina risky maisha yake kuleta uhai wa mwanadamu na kukilea mpaka kufikia hatua ya utu uzima tuseme eti mchango wake hauna thamani? Na pia nikujuze tu kwa maelfu ya miaka wanawake wamekuwa wakihusika kwa kiasi kikubwa kwenye shughuli za kilimo wakati huo wanaume kazi yao kubwa ikiwa ni uwindaji na kulinda familia dhidi ya maadui. Sasa kivip utwambie eti tradtional woman amekuwa hauthaminiki kihistoria? Huu ni uongo na exaggeration ambazo mnazifanya nyie feminists hili kufanya kila kitu cha zamani hakifai hata kidogo.

Inatakiwa uelezee hapa kinaga ubaga alikuwa ananyang'anywa vipi na sio uelezee kwa juu juu tu kulingana na hisia zako za kifeminist eti mchango wake haukuwa na thamani uongo mtupu.

wewe jamaa bora ungeishia tu hapa ukaficha ujinga wako kuliko kuendelea kujianika na kuisha kudharauliwa tu na watu wenye akili timamu. Kiufupi wewe hujui hata tafsiri halisi ya traditional wife. Una mdefine traditional wife kulingana na narratives zenu za kipuuzi ambazo zinamdunisha mwanamke.

Kwanini unapendekeza binti yake awe hivyo? Halafu mbona nyie feminists msipokubaliana na version fulani ya mwanamke mnaanza kufanya projections za kipumbavu kuwa yule anayeipenda hiyo version binti yake awe hivyo?

Halafu kwani binti yake yeye hana uhuru wa kuchagua awe mwanamke wa aina gani pale atakapokuwa mtu mzima? Mbona una akili za kipuuzi hivyo wewe jamaa?

Ni hivi hakuna ubaya wowote kwa mwanamke yeyote akiamua kuwa traditional woman na ana stahili kuheshimiwa kwa uamuzi wake kama ambavyo hao feminists na nyie watetezi wao ambao wengi ni mashoga mnapenda kuheshimiwa kwa maamuzi yenu japo yamejaa ushetani.

Hii paragraph yako imejaa kejeli za kipumbavu sana, yaani umeandika kana kwamba hizo kazi sio za kufanywa na mtoto wa kike na hakizifanya ni kudunisha uanamke wake.

ila mwanaume akizifanya hizo kazi hauwezi ukaona tatizo lolote sio? Maana nyie modern feminists na simps huwa mnataka mwanaume afanye majukumu ya kike na pia vile vile aendelee kutimiza majukumu yake ya kiume kuwa ndio civilization hiyo? Wajinga sana nyie mnajifanya mnapigania haki za wanawake na wakati in real sense mnafight for gender roles reversal tena katika namna inayomnufaisha mwanamke pekee tu.

Kwanini unafanya presumptions za kipuuzi namna hii? Mbona huwa mnalazimisha mwanamke yeyote asipokubaliana na nyie aonekana ana akili za ovyo kulingana na imaginations zenu za kipumbavu?

Hapa unachojaribu kutwambia ni kwamba traditional woman ni mwanamke duni kwanzia kifikra ambaye hawezi kutimiza lolote la maana si ndio?

Ila angesema yeye ni modern wife ambaye haamini katika tradtional family values, wala hata usingemuuliza maswali ya kejeli hivi.

kwako wewe unaamini kuwa "modern wife" automatically ni mwanamke smart, na "traditional wife" ni mwanamke mjinga asiyeweza kuarchieve lolote sio?

wewe jamaa ni matako sana na huna akili hata kidogo nakwambia.

Hakuna cha curiosity wala nini hapa, wewe hiii comment yako umeiandika kwa kumdharau na kumkejeli sana MamaZion kwa sababu tu yeye ni aina ya mwanamke ambaye nyie mafeminists hamumpendi, ni jambo ambalo liko wazi nyie simps na modern feminists mnawachukia sana tradtional women huwa mnasema eti traditional women wanawarudisha nyuma kwenye harakati zenu za kishetani.

Wanafiki wakubwa nyie mnajifanya mnapigania haki za wanawake eti wawe na uhuru wa kuchagua kuishi maisha wanayoyataka, halafu wakichagua kuwa traditional wives mnaanza kuwachukia na kuwadharau wapuuzi nyie.

Naamini kabisa huyu MamaZion angesema yeye ni single mother wa watoto watato, kila mtoto ana baba yake na pia yeye ni hardcore feminist wewe ungempongeza na kumuona ni mwanamke shupavu na wala usingemzonga zonga na maswali yako ya kipuuzi yaliyojaa kejeli na dharau.

Nyie simps huwa nawachukia sana maana nyie ndio tatizo kubwa kuliko hata feminists wenyewe.
munemod njoo usome hapa majibu yako yapo pia hapa.
 
Tupe mfano jinsi gani tulivyovuka kwenye equality na tuko katika mfumo jike.
Yani kwa mfano mi nilivyokuelewa ni kwamba, labda tuseme wanawake walikuwa hawana haki ya kumiliki ardhi, hawa mafeminist wamepiga pigs kelele weeee hadi mwanamke akapata haki sawa na mwanaume katika kumiliki ardhi,( equal right) kwa hiyo japo ulivyosema hiyo stage ya equality tumevuka tunataka mfumo jike, means mwanamke sasa ndio mwenye full rights na mwanaume hana?
Au mi ndio sijakuelewa vizuri. Nieleweshe hapo
Kwann umetumia ardhi pekee kama mfano,ina maana wewe matangazo ya ajira hauyaoni huko ulipo. Kuna matangazo mengi sana utaona wameandika "Female candidate are encouraged to apply" au "Only Female candidates will be given first priority" hii kwako ndio usawa/equality?🤔

Na ukitaka kujua majority ya ninyi mafeminist huwa hamjui mbachokiongea, hoja zenu ni zile zile za kumezeshwa kwenye madesa ya semina elekezi za harakati za wanawake.

Sasa ukitazama issue ya ardhi,hivi niambie ni wapi mwanamke anakatazwa kumiliki ardhi na nina uhakika hata tukikagua utagundua idadi kubwa ya wanawake wanamiliki ardhi kuliko wanaume saa hii hapa.

Hizi hoja huwa mnaziokota wapi na huwa hamuoni aibu kuongea uongo hadharani?

Wanawake si kwamba hawakuwa na haki ya kumiliki ardhi,sema ardhi ilikuwa chini ya usimamizi wa mwanaume. Sababu ya msingi ni kwamba mwanamke alikuwa ni rahisi sana kutransfer umiliki wa ardhi kwa watu wasio husika na umiliki wake.

Mfano, kama ni binti baba yake akimpa ardhi ikawa chini yake,then akiolewa ni rahisi sana mwanaume wake kuihodhi, na je mwanamke akifa ardhi inakuwa ya nani hapo,si mwanaume ambaye ukoo hawamtambui kama mwanaukoo?

Pia mwanamke anaweza kuzaa na wanaume tofauti then mwenye mali watoto wake wakanyang'anywa ardhi ya baba yao,wakachukua wanaume wengine waliozaa na mama watoto.

So sababu zilikuwepo na hazikumzuia mwanamke kumiliki mali kwa maana yeye ndie alikuwa na access na hiyo ardhi. Tukitoa matukio machache ya unyanyasaji ambapo wanawake walikuwa wakiporwa mazao waliyolima katika ardhi ya mwanaume,au kuporwa ardhi na wanandugu baada ya msiba wa mume wake, hakukuwapo na swala la sheria kuwa mwanamke asimiliki au kuwa na direct access na ardhi. Hizi ni exaggerations za mafeminist kama kawaida yao.
 
Single Leo mtoto wako acha kutupangia
Ifikie pahala wanaume mkubali tu kwamba yote mnayoyapigania ni kwa maslahi yenu na si ya wanawake wala ya jamii acheni hizi propaganda zenu za mwaka 47 siku hizi wanawake wana akili, maana kila ukiuliza madhara ya feminism kwa wanawake wenyewe hakuna mwenye majibu yaliyonyooka utaletewa kiswahili kirefu halafu mwisho wa siku utagundua hayo madhara ni kwa wanaume, ila wanaume wanatumia self serving reverse psychology trick ili ionekane kama vile wanapigania maslahi ya wanawake na ya jamii kwa ujumla ili mradi tu wanawake wafanye yale wanaume wanayoyataka
 
munemod njoo usome hapa majibu yako yapo pia hapa.
Kwa jinsi nilivyosoma comment yake hapo juu ambayo amekulenga wewe mleta mada, sidhani kama anaweza kusoma na kuelewa hilo bandiko langu.

Angalia hata hoja nyepesi alizokuandikia hapo utagundua kuwa ni wale wale wanaotaka tuendelee kuamini feminism ya sasa bado iko katika ile ile misingi ya dhumuni kuu ambayo ni kupigania equality.

Ndio maana unaona anasema eti siku hizi tuna madoctors wa kike,ma engineers wa kike n.k ... sasa kwani nani hataki kuwepo na watalaamu wa kike wa kada mbali mbali? Asichokijua ni kwamna aina ta feminism iliyowaleta hao madokta wa kike kila mtu alii support na tunaendelea kui support mpaka leo hii, kwani matunda yake tunayaona.

Asichokijua kinachohubiriwa na modern feminists ni tofauti kabisa na kile wanachoki practice, kinachofanyika sasa hivi ni shifting of oppression from one side to opposite side tena bila remorse yoyote.

Huyu tukimwambia sasa hivi nchini CANADA kuna sheria maalumu imetungwa kwa ajili ya kuwalinda wanawake tu basi sidhani kama anaweza hata kuamini.

Violence Against Women Act(VAWA).

Na walioipushi hiyo kitu ni mafeminists maana wana nguvu kweli kweli huko.

Kwake yeye anataka tuendelee kuamini habari za equal education rights,equal opportunities,equal participation, equal blah...blah. na wakati huko tumeshapita siku nyingi sana mzani umeshaanza kuelemea upande wa kiumeni.
 
Na mimi huwa ndicho ninachowauliza na ninachowaambia humu karibu kila siku yani wao wanadai ati feminism inataka mfumo dume ufe halafu uje mfumo jike kwamba eti mwanamke sasa ndio amtawale mwanaume, ilihali ukiangalia siyo kweli bali feminism inataka haki sawa kila mmoja ajitawale mwenyewe kusiwe na wa kumtawala mwenzie ila wao wanapotosha hilo ili kuidhoofisha feminism kwa kuifanya ionekane ni uovu, wao wanataka walazimishe kuendelea kumtawala mwanamke yani katika ulimwengu huu wa majukumu sawa ambao wanawake wengi wanafanya kazi kama wanaume eti bado wanaume wanataka wanawake waendelee kuwa chini yao kana kwamba wanawake ni viumbe wasio na utashi
1. Haki ni matokeo ya wajibu. Ni kukosa akili kupigania haki kwa wajibu ambao haujatenda. Mnataka uongozi ila kwa kubebwa viti maalumu, kutengewa kampeni za upendeleo na kusindikizwa na wanaume soft na masimp kama fundimchundo ambao wanaona wanawake ni wenzao au kuwamobilize wanawake wenzenu kupiga kura za kibaguzi. 90% ya hoja zenu zimelenga kulalamikia wanaume kuwabania badala ya kusema mnauwezo wa kudeliver nini. Mnaona wanaume wakibebwa kisiasa?🤔

2. Wewe kama mwanamke unamtawala vipi mwanaume,hayo mamlaka umeyatoa wapi na kwa reference ya kitabu au sheria ipi? Yaani uamke na utashi wako wa kukosa akili useme mwanamke anatakiwa amtawale mwanaume,are you mad?

Unataka mamlaka ya kutawala mwanaume,je unaweza mpambania mwanaume na watoto wake bila yeye kujigusa na usilalamike kuelemewa? Upige mzigo wa kazi kutokea asubuhi hadi jioni na ukirudi akutombe hadi miguu itetemeke na kesho mapema uamke uende kazini bila kulalamika kuchoka. Umpatie pesa muda wowote atakaohitaji kiasi chochote anachotaka bila kujisikia unatumika. Na usaidie ukoo wake kwa shida yoyote watakayokuletea kupitia yeye.

Unabana pua hapa "kumnyawala nywanaume" unajua maana ya kutawala wewe? Feminists ninyi ni kama vitoto vya miaka mitatu. Kakikaa sebuleni miguu juu kwenye kochi tv isome CartoonNetwork,mtu akibadili channel hicho kilio chake sasa utadhani analipia chochote hapo ndani kumbe hata pampers aliyovaa hajui bei yake na hata ilipotoka.

Stop insulting our thinking,mnaongea ideologically while in reality matendo yenu hayareflect uhalisia.
 
Of course this is what we have now in our fuccking modern world, it is no longer about equality, it's beyond that, we are gradually sinking into gynocentrism something that an ordinary boy can't see.

Mwanamke ana haki zaidi ya mwanaume ndio since she's preferentially treated as opposite to a man, starting from our legal system, our laws have been tilted toward favoring women in almost every facet of life, from marital laws to familiy laws to labor laws they are all too lopsided, they were enacted with minimal consideration of men.

Hopefully this convo won't take a grip on your nerves right? Yes, we are in era where the socalled women rights movement has been weaponized to marginalize men as a revenge for what women went through in ancient times.
aisee sijui hawa raia wanashida gani kuelewa vitu basic na simple kama social interaction kati ya mwanaume na mwanamke vinatakiwaje. Yaani wamechagua kuwa wajinga aisee.
 
Back
Top Bottom