Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Feminism kirusi kipya katika jamii yetu

Katika kitu nachukia ni kuona mwanaume yoyote anaongea mambo ya kike kwa sauti ya kiume. Watu kama wewe mna mchango mkubwa sana katika kuzorotesha taifa sababu ya kutetea u*s*ng* unaoendelea kwenye jamii kwa kukingia wanawake vifua wakati nyuma ya pazia kuna mengi wanafanya kwa maamuzi yao binafsi ila wakiharibu wanasema ni kosa la mwanaume.
Hongera sana mkuu! Unatuwakilisha vyema, unayatandika kiswaswa haya ma agent ya shetani, kutetea ufemanisim ni kubeba agenda ya shetani kuangamiza ulimwengu. Leo vijana wakiume hawapati ajira pamoja na kua na elimu, mifumo ya sheria yote unamtetea mwanmke hatakam anamakosa. Endelea kuyatandika.
 
Hongera sana mkuu! Unatuwakilisha vyema, unayatandika kiswaswa haya ma agent ya shetani, kutetea ufemanisim ni kubeba agenda ya shetani kuangamiza ulimwengu. Leo vijana wakiume hawapati ajira pamoja na kua na elimu, mifumo ya sheria yote unamtetea mwanmke hatakam anamakosa. Endelea kuyatandika.
Kabisa kamanda. Jihadi hii haina mwisho vikosi bado vinasajiri askari wapya hii vita bado mbichi.

Hawa mamluki kama huyu Fundi Mchundo ndio changamoto ambazo funatakiwa kudili nazo wazi wazi. Hawa ndio wanafanya wanaume tuonekane tunasapoti mambo ya kipuuzi na kumbe hatuna time nayo.
 
Sijui umefafanua kitu gani hapa sasa. Maana unasema nina tabia ya generalization then unakiri kwamba nyuma ya migogoro niliyotaja kuna mkono wa mzungu.

Hakuna mtu kakulazimisha ni wewe unaforce mimi nionekane naongea kitu ambacho hakipo,so nimekaa chini nimetunga? Sasa unabisha ingia hapo mtandaoni tazama shughuli za mafeminist wa sasa ni zipi halafu unambie who is facilitating them?

Ungekuwa articulated kama unavyojinasibu ungelijibu. Sasa onagoma kujibu unataka tuongee nini zaidi na unakiri kuwa we are not on the same page.

Hivi vitu umeongea hapa vinapatikana hata kwenye madaftari ya wanafunzi kuzungumzia advantages za jambo na disadvantage zake. Mimi ninakwambia observation ya kinachoendelea sasa.

Wewe unaongelea wanawake kupata kazi,sijui michango yao baada ya kuwa mainjia,who gives tha JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala kwan hizo kazi mwanzoni wanawake walifanya na Dunia ilisimama walipokuwa hawapo maeneo ya kazi?

Usiniletee propaganda za mtu anayelipwa kuwa publicity wa brand hapa. Mimi sijali wewe na hao unaowasapoti kuwa wanachangia nini katika soko la ajira. I am more worried na watoto wa kiume ambao kwasasa wanaangamia huku naona halafu wewe na pumbu zako useless unakuja kuni patronize hapa ili niseme its okay,are f*cking with my intelligence u piece of wet wipe? 🤔

Wewe hawa watoto wa sasa wa kiume kubadilika haikustui unakuja hapa na hizi sifa utadhani tupo siku ya wanawake Duniani hapa. Mimi siko hapa kusheherekea decoration ya mafanikio ya engineers wa kike nipo hapa kutetea maslahi ya watoto wetu siku zijazo especially watoto wa kiume ambao now wanadidimizwa kwa makusudi.


Sasa kama unajua kuwa sio wajibu wa mwanamke kumsaidia mwanaume mbona unakuja kusema ni sawa kwa mwanamke kutetewa apate kazi katika maeneo ambayo wanaume ndio huwa kazini, mtu timamu wa akili unaweza kusema kitu kama hiki?

Yaani unakiri kwamba mwanamke hata kama atapewa kazi then hana wajibu wala majukumu ya kumsaidia mwanaume why then sasa apewe kazi na hana majukumu na mtaani tuna wanaume wanakosa kazi hadi wanashindwa majukumu yao?

Again sipo hapa kutukuza mafanikio ya feminism na wanawake na maendeleo yao, nipo hapa kuongelea madhara ya Feminists na feminism kwenye jamii yetu na namna inaathiri mahusiano ya wanaume na wanawake,kuharibu watoto wetu wa kiume na kuwawekea watoto wetu wa kike future mbaya baadae. Kama unatatizo na hilo you can take that feminism crap,mix it in your cup of coffee,drink it and have a good life. Because i don't give a zero f*ck about hizi mapambo unaleta hapa.

Again ningeendelea kukujibu kwa hoja kama ungekuwa mwanamke but katika kitu haujafahamu kuhusu mimi and naomba ukifahamu from here now on kuwa mimi huwa siwaki na SIMPS au mwanaume ambae katika mijadala ya kiume anajikuta yupo neutral au anatetea kambi ya kike. Kwangu hiyo ni usaliti and it brings some gay vibes.

Katika kitu nachukia ni kuona mwanaume yoyote anaongea mambo ya kike kwa sauti ya kiume. Watu kama wewe mna mchango mkubwa sana katika kuzorotesha taifa sababu ya kutetea u*s*ng* unaoendelea kwenye jamii kwa kukingia wanawake vifua wakati nyuma ya pazia kuna mengi wanafanya kwa maamuzi yao binafsi ila wakiharibu wanasema ni kosa la mwanaume.

Unasema ni wanawake wachache wanatoa mimba kwasababu ya kutaka,so wengi wao wanalazimishwa,una uhakika na hili unalosema au umechagua kuwa mjinga tu hapa?

Sisi tunaongea vitu tunavyojua na tunaviona wewe unakuja hapa kutetea mambo kike kike halafu unajikuta mwanaume katika kundi la wanaume *****. Hebu nenda kwenye mijadala ya wanawake huko mkapongezane na shughuli za akina mama ,usiwe unajimix kwenye mada zetu za kiume tukiwa tunatoa sumu zetu,achana na sisi kabisa, this was man space unakuja na pigo za kike kwa sauti ya kiume umeshanikata stimu.

Ungekuwa mwanamke ningesema twende sawa maana ni mwanamke unatetea kambi yako but wewe ni mwanaume halafu unakuja hapa na mbaga za kike.

Unataka mimi nijibu hapa,hizi ni vitu gani umeandika hapa sasa. U are wasting my time.

Wewe usiwe mjinga,mimi nipo Twitter pale tokea ile video inapostiwa mara ya kwanza. Nenda kwenye page ya Martin kasome utaona comments hadi za wanawake wanalalamikia hilo kuwa wanawake wamewaachia wanaume lile tukio wao wapo kimya inamaana haliwaumi.

Huyo fatma karume alikuja kucomment kwa mara ya kwanza siku kadhaa mbele. Wengine walifuatia kidogo baadae. Nenda kasome comments za watu kule halafu ujiridhishe. Unajua hata nani alileta ule mjadala mtandaoni? Huyo tu aliyetuma wale wahuni ni mwanamke,wewe unakuja kutetea hapa,hebu niondolee bange mimi.

Nenda katazame time line ya tukio hadi kipindi wanazungumza. Mimi nilikuwepo kwenye space zaidi ya tatu hakuna mchangiaji wala mwanamke kujadili lile swala.

Wanaume ndio walishikia bango ile issue. Hao unaowataja walikuja baadae sana bada ya tukio kuvurumishwa sana hewani. Wewe unanibishiaje vitu vina ushahidi nenda kule Twitter katazame tokea mwanzo halafu kuwa unasoma comments kwenye posts utaona aibu unachotetea na utakachokikuta.

Mimi nitaacha ujinga wewe ukiacha upumbavu. Nimesema kuwa JWTZ hawakutoa tamko. Ikupe picha kuwa wale vijana hawajachukuliwa hatua yoyote. Ile kwenda mahakamani ni kiini macho kuwalaghai raia ili ule mjadala ufe.

Wewe umeona wapi watu wanahukumiwa bila aliyewatuma kutiwa mbaroni. Hiyo kesi umewai kuona wapi. Yaani utume watu wakabake na kumfanyia binti mdogo miaka 16 ukatili halafu wewe kwenye kesi usiwepo na ni prime suspect? Halafu kesi inakwenda fasta ndani ya mwezi watu wamefungwa. Jwtz, ni jeshi la wanainchi halijatoa taarifa yoyote kwa mabosi zake (wanainchi), unaongea nini wewe?🤔

So tunajadili ubakaji tena? Wewe sikiliza usiniletee hizi habari hapa. Again,kama umeshajijua wewe ni Simp usiwake na mimi kwasababu mimi na wanaume wanaojinasibu ni advocates wa mambo ya kike kwangu nawaona ni gays na mimi siwaki na hizo vibe so kama vipi potezea mada. Mimi huwa si deal na ma traitor wa jinsia, go back to sister's sorority mkacheze Barbie house or pillow fight. This is men space.

Incel by definition ni involuntary Celibate yaani kapera bila hiyari. Nigga, nina kwangu,nina mwanamke naishi nae. Kama haujui neno lina maana gani usilitumie. Usiniletee hizi mbaga za kike hapa. Sipo hapa kutafuta umaarufu au kutafuta mademu, am here to communicate my thoughts kwa jamii yangu ya kitanzania.

Nina tafuta jambo na topic ninaloweza lichambua ninalisema bila kuhofia litaumiza nani sababu ukweli unachoma unapoelekea.

Sasa sijui wewe unajikuta nani kuja kunambia kuwa sipo sahihi kusema kipi na kipi as if unalipwa kuja kutetea upuuzi.

This is Men space kama wewe unaona unakandamizwa nenda kwa wanaume wenzako huko mkajadili namna ya kudanga wakutafutie na mwanaume mwenzako akutawale huku ukisubiria siku ya mwanamke wa shoka uvae kanga ukasherehekee nao huko vilingine.

Untill then achana na mambo ya kiume,huku sisi hatutaki unafiki na tabia za kike.
Mara nyingi ukiona mtu anawasema sana mashoga basi ujue huyo nae ni shoga. Anakuwa mkali watu wasimstukie.

Umenitukana sana lakini kwa jinsi kingereza chako kilivyo kibovu badala ya kukasirika imebidi nicheke tu. This is Men space! Are f*cking with my intelligence u piece of wet wipe! Ungekuwa articulated!

Sheria ya kukataza sodomy ilitungwa Tanganyika 1945 na Zanzibar 1934. Bacon Rechenberg aliyekuwa gavana wa German East Afrika ilibidi ajitetee dhidi ya shutuma kuwa alikuwa anatembea na mfanyakazi wake wa kiume aliyekuwa anaitwa Max. Ilikuwa 1910 na wakati huo kulikuwa na madanguro Dar na Zanzibar ambako wanaume na wanawake walikuwa wanajiuza. Wote hao walifundishwa na feminists?

Kwa miaka nenda rudi kumekuwa na wanaume waliokuwa wanaolewa jela na kwenye shule za kulala la wavulana. Hao nao wamefundishwa na Feminists?
Kwa miaka kibao mashoga wamekuwa wakialikwa kwenye shughuli za ngoma Dar es Salaam ili kuwaburudisha wageni kwa kucheza kama chakacha. Zanzibar hoteli na kwa macheni kulikuwa na mashoga wakijiuza. Hao wote walifundishwa na Feminists?

Ushauri wangu kwako ni kuwa utoke tu ndani ya kabati na uishi kweli yako. Hakuna atakayekulaumu maana utakuwa ni uamuzi wako. Pili, jielimishe ili ujue na sio ili uje JF uonekane kuwa na wewe ni Great Thinker. Ukweli ni kuwa sifa hiyo hauna.

Amandla...
 
Mara nyingi ukiona mtu anawasema sana mashoga basi ujue huyo nae ni shoga. Anakuwa mkali watu wasimstukie.
Kama hiyo ni kweli basi hata watu wanaowaonea wivu matajiri na kuwapiga vita nao wangekuwa matajiri pia.
Umenitukana sana lakini kwa jinsi kingereza chako kilivyo kibovu badala ya kukasirika imebidi nicheke tu. This is Men space! Are f*cking with my intelligence u piece of wet wipe! Ungekuwa articulated!
Sijakutukana nikikutukana kila mtu atajua kuwa nakutukana.

Mamake tupewe mic hapa tufanye mdahalo kwa lugha ya malkia, kama hautatafuta taulo la kufuta jasho. English yangu sio ya kunipimia na kama unataka kunijua vema then nichallenge hapa kwa chochote then tutajua nani ana kiingereza kibovu, twat kabisa wewe.
Sheria ya kukataza sodomy ilitungwa Tanganyika 1945 na Zanzibar 1934. Bacon Rechenberg aliyekuwa gavana wa German East Afrika ilibidi ajitetee dhidi ya shutuma kuwa alikuwa anatembea na mfanyakazi wake wa kiume aliyekuwa anaitwa Max. Ilikuwa 1910 na wakati huo kulikuwa na madanguro Dar na Zanzibar ambako wanaume na wanawake walikuwa wanajiuza. Wote hao walifundishwa na feminists?
Nimeshakueleza kule juu kuwa nimeshajua wewe sio levels zangu katika huu mjadala.

Kwa sasa hata ukileta facts nina sikia kichefu chefu kuendelea kujadiliana na mnafiki. Wewe sio kaliba ya kiume wewe ni sell out. Unatofauti gani na wale waafrika waliokuwa wanatetea wazungu kuwa ni watu wazuri enzi za ukoloni na ubaguzi kwa watu weusi?

I am not having this conversation with you unless unataka tubakie kujibizana kwa kukashifiana. Ila siwezi kukaa natengeneza hoja na msaliti wa jinsia. I feel sorry for your son's and daughters kama wapo na kama hawapo i pray for them kuwa na baba ambaye ni zao la usaliti na atawaletea mama atakae mtawala.

Brotherhood clan haiitaji watu wanafiki na dhaifu kama wewe ni sumu kwa watoto wetu wa kiume na ni tishio kwa watoto wetu wa kike. So if you don't mind nenda katafute ma'simp wenzako mkajadili namna za kuwasaidia feminist kushika hatamu tuachie hii kazi wanaume tunajua tunachokifanya.

Nendeni mkaendelee kujazwa feminine energy ambayo ndio unayoileta hapa kwangu and i really don't use that energy in anyway so take it somewhere else.

Just because umekuwa brainwashed unahisi you have the legitimacy ya kuja kunihoji au kudictate what i speak on, GTFOH men 😒😒😒😒😒
Kwa miaka nenda rudi kumekuwa na wanaume waliokuwa wanaolewa jela na kwenye shule za kulala la wavulana. Hao nao wamefundishwa na Feminists?
Hapa unatanga tanga tu na hizi facts zako za kuokota okota. Mimi sitaweza kuengage hii discussion na mtu dhaifu kama wewe. Nenda kawatafute akina Jadda hao ndio wenzako mkatengeneze group discussion i am not making any conversation na simpish sellout wa jinsia kama wewe. To hell with u.
Kwa miaka kibao mashoga wamekuwa wakialikwa kwenye shughuli za ngoma Dar es Salaam ili kuwaburudisha wageni kwa kucheza kama chakacha. Zanzibar hoteli na kwa macheni kulikuwa na mashoga wakijiuza. Hao wote walifundishwa na Feminists?
I will not respond.
Ushauri wangu kwako ni kuwa utoke tu ndani ya kabati na uishi kweli yako. Hakuna atakayekulaumu maana utakuwa ni uamuzi wako. Pili, jielimishe ili ujue na sio ili uje JF uonekane kuwa na wewe ni Great Thinker. Ukweli ni kuwa sifa hiyo hauna
Ushauri wako sijaupokea na siwezi kupokea kwasababu wewe na mimi we don't share common interests kwenye jamii, go on and be a simp somewhere else. This conversation is over. Siwezi ku entertain majadiliano na wasaliti.
 
Mara nyingi ukiona mtu anawasema sana mashoga basi ujue huyo nae ni shoga. Anakuwa mkali watu wasimstukie.

Umenitukana sana lakini kwa jinsi kingereza chako kilivyo kibovu badala ya kukasirika imebidi nicheke tu. This is Men space! Are f*cking with my intelligence u piece of wet wipe! Ungekuwa articulated!

Sheria ya kukataza sodomy ilitungwa Tanganyika 1945 na Zanzibar 1934. Bacon Rechenberg aliyekuwa gavana wa German East Afrika ilibidi ajitetee dhidi ya shutuma kuwa alikuwa anatembea na mfanyakazi wake wa kiume aliyekuwa anaitwa Max. Ilikuwa 1910 na wakati huo kulikuwa na madanguro Dar na Zanzibar ambako wanaume na wanawake walikuwa wanajiuza. Wote hao walifundishwa na feminists?

Kwa miaka nenda rudi kumekuwa na wanaume waliokuwa wanaolewa jela na kwenye shule za kulala la wavulana. Hao nao wamefundishwa na Feminists?
Kwa miaka kibao mashoga wamekuwa wakialikwa kwenye shughuli za ngoma Dar es Salaam ili kuwaburudisha wageni kwa kucheza kama chakacha. Zanzibar hoteli na kwa macheni kulikuwa na mashoga wakijiuza. Hao wote walifundishwa na Feminists?

Ushauri wangu kwako ni kuwa utoke tu ndani ya kabati na uishi kweli yako. Hakuna atakayekulaumu maana utakuwa ni uamuzi wako. Pili, jielimishe ili ujue na sio ili uje JF uonekane kuwa na wewe ni Great Thinker. Ukweli ni kuwa sifa hiyo hauna.

Amandla...
Wewe saa hii ujue ni adui wa wanaume na nitakubrand kundi moja na mafeminist,wewe ni Simp. Popote nitakapohitaji mfano wewe ndie utatumika.
 
Mara nyingi ukiona mtu anawasema sana mashoga basi ujue huyo nae ni shoga. Anakuwa mkali watu wasimstukie.

Umenitukana sana lakini kwa jinsi kingereza chako kilivyo kibovu badala ya kukasirika imebidi nicheke tu. This is Men space! Are f*cking with my intelligence u piece of wet wipe! Ungekuwa articulated!

Sheria ya kukataza sodomy ilitungwa Tanganyika 1945 na Zanzibar 1934. Bacon Rechenberg aliyekuwa gavana wa German East Afrika ilibidi ajitetee dhidi ya shutuma kuwa alikuwa anatembea na mfanyakazi wake wa kiume aliyekuwa anaitwa Max. Ilikuwa 1910 na wakati huo kulikuwa na madanguro Dar na Zanzibar ambako wanaume na wanawake walikuwa wanajiuza. Wote hao walifundishwa na feminists?

Kwa miaka nenda rudi kumekuwa na wanaume waliokuwa wanaolewa jela na kwenye shule za kulala la wavulana. Hao nao wamefundishwa na Feminists?
Kwa miaka kibao mashoga wamekuwa wakialikwa kwenye shughuli za ngoma Dar es Salaam ili kuwaburudisha wageni kwa kucheza kama chakacha. Zanzibar hoteli na kwa macheni kulikuwa na mashoga wakijiuza. Hao wote walifundishwa na Feminists?

Ushauri wangu kwako ni kuwa utoke tu ndani ya kabati na uishi kweli yako. Hakuna atakayekulaumu maana utakuwa ni uamuzi wako. Pili, jielimishe ili ujue na sio ili uje JF uonekane kuwa na wewe ni Great Thinker. Ukweli ni kuwa sifa hiyo hauna.

Amandla...
Hii post yako mkuu yote naona kama unahamisha magoli, nyundo za Zemanda 🔨🔨🔨 zimesha kuelemea unatafuta pakutokea 🤣🤣. Ufeminisim ni balaa kubwa lililoikumba dunia acha ku push agenda za kishetani hizo.
 
Hii post yako mkuu yote naona kama unahamisha magoli, nyundo za Zemanda 🔨🔨🔨 zimesha kuelemea unatafuta pakutokea 🤣🤣. Ufemanisim ni balaa kubwa lililoikumba dunia acha ku push agenda za kishetani hizo.
Ufemanism ndio nini?

Amandla...
 
Madhara ya feminism kwa wanawake ni kitu cha kuuliza kweli na tunaongea kila siku hapa? Ngoja nikuwekee hapa shida ipo wapi.
Feminism na feminist wameleta changamoto zifuatazo kwenye jamii yetu.

1. Ideology ya feminism imeharibu akili ya mwanamke wa kisasa wa kitanzania kuamini anatakiwa ajipambanie yeye mwenyewe na si jamii yake,si watoto wake wala wanawake wenzao. Hii tayari imeshamfanya mwanamke anayefuata u feminist kuwa chizi fresh wa jamii. Tazama hawa wa marejesho na michezo ya upatu wa kila siku mtu anatoka au kausha damu utanielewa.

2. Feminist na feminism haiungi mkono swala la familia ya baba mama na watoto,ina wafundisha wanawake kuamini kuwa maisha yao binafsi ndio kipaumbele so akipata watoto ajenge familia ya single mother households ambaye technically ni kinyume na vitabu vya dini,lakini pia inakinzana na malengo ya ustawi wajamii wa ujenzi wa taifa bora.

3. Feminism haisemi chochote juu ya vitu negative wanavyofanya wanawake wa kisasa kwenye jamii more importantly feminist hawana ajenda za kuwajenga wanawake na kuwapa mtazamo chanya wa kijamii, badala yake ukimya wake ni sapoti ya tabia zote za hovyo mfano utoaji mimba,umalaya,udangaji, ulaghai wa mahusiano, kutelekeza watoto walelewe na house girl, wizi wa pesa za wanaume,usagaji,ulevi,ulaji mbaya unaosababisha wanawake kuwa muonekano wa viboko wa katavi na kuathiri hata afya zao za uzazi na kadhalika.

4. Feminism sio ideology ya kumkomboa mwanamke sababu ukitazama maudhui yake si ya kumkomboa bali kumpa mwanamke harakati ambazo hazina msaada kwenye jinsia yake na mbaya zaidi kumtoa katika ramani ya jamii. Tazama wanawake hawaki nyumbani wanawaachia house girls wakidai wankwenda kutafuta, huko kwenye kutafuta majority wanajenga mahusiano mapya badala ya kushimu ndoa zao na kufanya kazi kama walivyodai wanataka, wakipata mapato hawataki kujenga familia zao wanataka kujitenga na kujijenga binafsi. Sasa hapo mwanamke anakombolewa vipi zaidi anazidi kufutwa kwenye jamii na kuwa kiumbe kisicho na sehemu au role maalumu kwenye jamii.

5. Feminism sio idea ya jamii yetu ya kitanzania wala kiafrika ni zao la ma'zionists ambao ndio wale wale wapo nyuma ya movement za LGBTQ, nyumba ya gender reassignment programs na left wings woke agendas mambo ya kishetani yote kwao ni okay so siwezi kushangaa kwann wanafosi hili la feminism afrika ili wawatumie wanawake kama daraja kuzisambaratisha jamii za kiafrika.

6. Feminism kwa Tanzania kupitia ideology zake imetengeneza masingle mother wengi sana. Sasa sijui kwako kama usingle mother ni mafanikio kwa mwanamke.

7. Feminism imeteka akili mabinti wengi wa miaka ya 1980 na 1990 na kuwafanya wapoteze muda wao muhimu (prime years from 16 to 26) wakichase dreams na 💰 ili wawe maboss ladies na kujikuta wakiamka kutoka katika usingizi huu wakiwa na miaka 30 kwenda juu,hawajawa maboss lady,broke, no conducive cash flow, hawana anwani,hawana ndoa,hawana familia,hawana mume wala watoto, heshima hawana zaidi ya rekodi chafu ya kubadili vitanda (midfielders wa lodge) wanajua kuta nyingi za lodge kulika kuta za kanisa. Kwa kifupi feminism imewapoteza njia.

8. Feminism ni brainwashing scheme inayolenga kutengeneza cults za Wanawake wenye trauma mbali mbali za kimaisha kujikubali na kumshirikisha shetani kama MUNGU wao kwa maana culture ya feminism haiwaruhusu kutumia muongozo wa MUNGU huyu wa Abraham. Watazame mafeminist wengi utaona wana move kama kikundi cha talebanians.

9. Feminist wengi hawajui nini maana ya kuwa mwanamke na hii ni matokeo ya hii ideology kuwapumbaza na kuwatoa kwenye reli ya uanamke. By average feminist ukimwambia kulea mtoto anasema ni utumwa,ila atapiga kijijini simu aletewe mtoto wa mwanamke mwenzake aje mjini kumpikia,kumlelea mtoto, kumfanyia usafi wa nyumba nzima,kumtuma dukani mara 100 kwa siku yote kwa mshahara wa 30,000 ambao atamkata 10,000 kwa kosa la kuunguza nyama sababu alikuwa anambeleza mtoto wake mwenyewe na kupitiwa na usingizi ila yeye akaita uzembe. Huyu ndio mkombozi wa wanawake na anajua thamani ya mwanamke au ni feminism imetengeneza vichaa wa jamii wanaokandamiza zaidi uanamke.

10. Ukiwatazama wanawake mafeminist wengi hawana furaha na hata takwimu zimeshaonyesha hilo. Kinyume na matarajio, feminism iliwaahidi wanawake liberation kwenye maisha nje ya mfumo dume but haikuwaambia kuwa liberation huja na gharama na mizigo na majukumu zaidi. Kujitegemea sio rahisi kwa mtegemezi.

Wanawake wasasa wanahangaika kama mtu aliyelala chumba chenye joto kali huku akiutafuta usingizi kwa kujipepea na gazeti.

Akijipepea usingizi unakuja, usingizi ukikolea mkono unaacha kujipepea anastushwa na joto,and the cyle continues. Maisha ya mwanamke na mwanaume ni mwanamke kulala huku mwanaume akipepea asikatishe usingizi wake hadi kukuche.

Feminism ikawa danganya na ndio maana saa hii mnaomba hela sana kwasababu you are out here on your own wanaume wamestuka hawataki kutumika kama ATM mkiwa na shida mnakuja na vichanjio kudraw hela ambazo hamkuweka.

11. Feminism ideology imewacorrupt watoto wa kike kuamini kuwa wao ndio wenye maamuzi ya mwisho ya miili yao to the point kwamba wanafanya vitendo vyenye irreversible side effects in the name of "my body my choice". Kutoa mimba, kulala na wanaume wengi kunakosababisha mangojwa makali ya STDs,kuingiliwa kinyume na maumbile kiasi kwamba inavuruga utaratibu wa kujifungua kawaida na matokeo yake wanatumia operation delivery na kulimit kiwango cha watoto mwanamke anaweza kutengeneza na mwanaume.

Madhara ni mengi, unajitoa ufahamu tu hapa
Uzi ufungwe 👏👏👏 mimi ni mwanamke msomi, mpenda maendeleo ila naungana nawe kusema kuwa feminism ni mpango wa magharibi kudhoofisha jamii kutoka nchi zinazoendelea specifically za watu weusi. Hadi hapa nilipofikia, naelewa kuwa I have nothing to prove, I'd rather be a traditional wife. Sijaumbwa mimi kufanya kazi mpaka jasho la mwisho. Siwezi kubeba zege wala nini... Nitaendelea na kazi ila baba mjengo ataendelea kuwa breadwinner
 
Uzi ufungwe 👏👏👏 mimi ni mwanamke msomi, mpenda maendeleo ila naungana nawe kusema kuwa feminism ni mpango wa magharibi kudhoofisha jamii kutoka nchi zinazoendelea specifically za watu weusi. Hadi hapa nilipofikia, naelewa kuwa I have nothing to prove, I'd rather be a traditional wife. Sijaumbwa mimi kufanya kazi mpaka jasho la mwisho. Siwezi kubeba zege wala nini... Nitaendelea na kazi ila baba mjengo ataendelea kuwa breadwinner
Kwa hiyo unaamini kuwa "feminism " imeletwa na nchi za magharibi kuwafanya vijana wetu kuwa mashoga na wasagaji? Uamuzi wa kuwa "traditional wife " ni wako na unastahili kuheshimiwa kama ambavyo mwanamke anaeamua kuwa "feminist" anastahili kuheshimiwa. Tatizo linakuja pale watu wanapo conflate lesbianism na feminism kama njia ya kuwafunga midomo.

Amandla...
 
Hii thread isifungwe maana kuna haja ya kuelimishana kuhusu "feminism" na nafasi ya mwanamke katika jamii. Kwa muda mrefu mjadala umetawaliwa na misogynists na apologists wao. Wakiachiwa, sumu yao itaharibu jamii kuliko hata ya hao mnaowaita "feminists".

Amandla...
 
Kwa hiyo unaamini kuwa "feminism " imeletwa na nchi za magharibi kuwafanya vijana wetu kuwa mashoga na wasagaji? Uamuzi wa kuwa "traditional wife " ni wako na unastahili kuheshimiwa kama ambavyo mwanamke anaeamua kuwa "feminist" anastahili kuheshimiwa. Tatizo linakuja pale watu wanapo conflate lesbianism na feminism kama njia ya kuwafunga midomo.

Amandla...
Hapana sijasema hivyo wala sijamaanisha hivyo pia..lakini naamini kuwa ni mpango wa Magharibi kudhoofisha jamii zetu. Kudhoofisha haimaanishi usagaji au ushoga ingawa vinaweza kuwa sehemu ya hayo. Nikisema traditional wife kwa maana kwa sasa hii ndio nafasi yangu kimaisha. Labda ningekuwa siko kwenye ndoa ningesema vinginevyo.
 
Hapana sijasema hivyo wala sijamaanisha hivyo pia..lakini naamini kuwa ni mpango wa Magharibi kudhoofisha jamii zetu. Kudhoofisha haimaanishi usagaji au ushoga ingawa vinaweza kuwa sehemu ya hayo. Nikisema traditional wife kwa maana kwa sasa hii ndio nafasi yangu kimaisha. Labda ningekuwa siko kwenye ndoa ningesema vinginevyo.
Just out of curiosity. Nchi za magharibi zinadhoofisha vipi jamii yetu na watapata faida gani jamii yetu ikidhoofika. Ninavyojua mimi traditional wife anakaa nyumbani kutunza na kuhudumia familia wakati traditional husband wajibu wake ni kugharamia hizo huduma zote. Mara nyingi inabidi traditional wife awe mama wa nyumbani wakati mume ndio mtafutaji. Na historically mchango wa traditional wife ulikuwa hauna thamani kama mchango wa traditional husband. Ndio maana mume akifa, traditional wife alikuwa ananyang'anywa kila siku kwa sababu mchango wake wa kulea na kutunza familia haukuwa na thamani. Sijui kama huyo ndio "traditional wife" unaemzungumzia na bila shaka ungependa binti yako awe hivyo. Awe na wajibu wa kuwapikia na kuwapakulia baba na kaka zake, kuondoa na kuosha vyombo watakaposhiba. Kuwafulia nguo zao na kuhakikisha nyumba iko safi. Na unawaambia watoto wako wa kiume kuwa hizo sio kazi zao, ni za dada na wake zao.

Na unafurahi, unaposikia mtu akisema " una akili za kike" hauwezi ku achieve lolote!

Just curious.

Amandla...
 
Uzi ufungwe 👏👏👏 mimi ni mwanamke msomi, mpenda maendeleo ila naungana nawe kusema kuwa feminism ni mpango wa magharibi kudhoofisha jamii kutoka nchi zinazoendelea specifically za watu weusi. Hadi hapa nilipofikia, naelewa kuwa I have nothing to prove, I'd rather be a traditional wife. Sijaumbwa mimi kufanya kazi mpaka jasho la mwisho. Siwezi kubeba zege wala nini... Nitaendelea na kazi ila baba mjengo ataendelea kuwa breadwinner
Thank you for your honesty. Wanawake wakiwa accountable kama wewe tutafika mbali kama jamii na utulivu kwenye mahusiano na familia vitarejea.
 
Kwa hiyo unaamini kuwa "feminism " imeletwa na nchi za magharibi kuwafanya vijana wetu kuwa mashoga na wasagaji? Uamuzi wa kuwa "traditional wife " ni wako na unastahili kuheshimiwa kama ambavyo mwanamke anaeamua kuwa "feminist" anastahili kuheshimiwa. Tatizo linakuja pale watu wanapo conflate lesbianism na feminism kama njia ya kuwafunga midomo.

Amandla...
Uwe unaona aibu. Huyo ni mwanamke unabishana nae. Feminism inawahusu wao wewe mbona unatetea utadhani unalipwa?
 
Hii thread isifungwe maana kuna haja ya kuelimishana kuhusu "feminism" na nafasi ya mwanamke katika jamii. Kwa muda mrefu mjadala umetawaliwa na misogynists na apologists wao. Wakiachiwa, sumu yao itaharibu jamii kuliko hata ya hao mnaowaita "feminists".

Amandla...
Naona unataka kuwavuta kwa mafungu huko Dm. Unaleta ushujaa kambi ya jeshi. Tulia ukalishwe.
 
Hapana sijasema hivyo wala sijamaanisha hivyo pia..lakini naamini kuwa ni mpango wa Magharibi kudhoofisha jamii zetu. Kudhoofisha haimaanishi usagaji au ushoga ingawa vinaweza kuwa sehemu ya hayo. Nikisema traditional wife kwa maana kwa sasa hii ndio nafasi yangu kimaisha. Labda ningekuwa siko kwenye ndoa ningesema vinginevyo.
Hata usingehangaika kumjibu, huyo ni simp ndio wanaosimama mbele ya wanawake na kusema wanaume tunawaunga mkono kwenye feminism. Kumbe ni wanaume makasha tu hakuna mwanaume hapo.
 
Uwe unaona aibu. Huyo ni mwanamke unabishana nae. Feminism inawahusu wao wewe mbona unatetea utadhani unalipwa?
Kwani amekuambia hawezi kujitetea? Ushahidi mwingine kuwa wewe ni narcissist na chauvinist. Aliyeandika hahitaji utetezi wako na ana uwezo kabisa wa kusimamia hoja yake kuliko wewe. Yeye sio door mat kama unavyotaka wanawake wawe.

Amandla...
 
Back
Top Bottom