Kweli wa tatu havai mojaFT 2-4

Na kazi anayopewa anaifanya vizur sana lakn mana Alba alishaanza kupotea ila huu mfumo unamrudishaKocha anampenda Jordi Alba hadi anamtengenezea mazingira awe free player left wing
Amemleta beki Lucas Digne ili akabe yeye acheze sana roles za kushambulia kuna kila dalili Griezman ataletwa
Vimeshalala tayariKuna vimadridiots kule tulipofungwa mbili vikaanza kupanua domo.....ngoja nikavicheki cjui ntavikuta!!???
Kuna mmoja humu nilimuambia come back after 90 mins sijui ameshaenda kukojoa akalale yule ngoja nimtafuteVimeshalala tayari
Nimefurahi sana ku-come back maana walitaka kutukalia kooni Mkuu.Wewe ni nabii aisee.
Nilikuwa nimeshikilia tu kengele zangu hapa mkuu.Nimefurahi sana ku-come back maana walitaka kutukalia kooni Mkuu.

Yale yanAwaza macross tu!!!! Alba hadi ndani ya 18!!!!!kwa ma left back, kwenye kuattack Alba ni noma. Marcelo hagusi.
Yuko kwenye uangalizi, Kocha alisema atakuwa anamwongezea muda wa kucheza kadiri muda unavoenda. Maana injury alokuwanayo ilikuwa babu kubwa.2meahnda ila kocha ananboa sana kutomuanzsha dembele mwanzon akumbuke uefa ndo iyo apo uyo dogo inabidi arud kwny pontential yake kamili
Hahahaha!!!Vimeshalala tayari