GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,362
- 5,606
Sijaona tija ya huu usajili kiukweliWord is rife in the Catalan capital that Angel di Maria is edging closer to a Barcelona move
Sijaona tija ya huu usajili kiukweliWord is rife in the Catalan capital that Angel di Maria is edging closer to a Barcelona move
OK Madam! But vp kuhusu Fekir (Lyon), Arthur (Gremio), Ozil (Arsenal) na Oscar (China), nani anatufaa zaidi kupambana na hali yetu dhidi ya UCL kuanzia February??Word is rife in the Catalan capital that Angel di Maria is edging closer to a Barcelona move
Au cyo Mkuu! Vp kuhusu Fekir (Lyon), Arthur (Gremio), Ozil (Arsenal) au Oscar (China), nani anatufaa zaidi kupambana na hali yetu dhidi ya UCL kuanzia February??. Maana uongozi pia unafikiria kumnasa 1 wapo kati ya hawa.Sijaona tija ya huu usajili kiukweli
Usisahau mastermind Velverde ambaye mpaka leo tumeshindwa kumuelewa lakini anatupeleka the promised land ndio anamuona huyo.Sijaona tija ya huu usajili kiukweli
Hahaaaa ngoja tuone lkn mm kwa mtazamo naona kama vile ameshachokaUsisahau mastermind Velverde ambaye mpaka leo tumeshindwa kumuelewa lakini anatupeleka the promised land ndio anamuona huyo.
Unajua hata Paulino hatukuona tija yake-lakini leo anatupa alternative mmoja kali sanaSijaona tija ya huu usajili kiukweli
Let's hope tooUnajua hata Paulino hatukuona tija yake-lakini leo anatupa alternative mmoja kali sana
Kweli? Maana pia kataja hao wa4 mmoja kati yao, Fekir, Arthur, Ozil au Oscar...Usisahau mastermind Velverde ambaye mpaka leo tumeshindwa kumuelewa lakini anatupeleka the promised land ndio anamuona huyo.
Hamna aliekataa ila tunahitaji mtu wa kutusaidia zaidi kwenye UEFA kwa sasa maana ligi tuko vizuri mno. Angel Di Maria yuko vizuri mno ila bado tunarudi kule kule UEFA hachezi barcelonaUnajua hata Paulino hatukuona tija yake-lakini leo anatupa alternative mmoja kali sana
Mkuu ntatafta mda niwaangalie hao watu. Hasa Fekir na ArthurAu cyo Mkuu! Vp kuhusu Fekir (Lyon), Arthur (Gremio), Ozil (Arsenal) au Oscar (China), nani anatufaa zaidi kupambana na hali yetu dhidi ya UCL kuanzia February??. Maana uongozi pia unafikiria kumnasa 1 wapo kati ya hawa.
Ozil haondoki gunners ng'ooo!!!!!!Au cyo Mkuu! Vp kuhusu Fekir (Lyon), Arthur (Gremio), Ozil (Arsenal) au Oscar (China), nani anatufaa zaidi kupambana na hali yetu dhidi ya UCL kuanzia February??. Maana uongozi pia unafikiria kumnasa 1 wapo kati ya hawa.
Ndiyo maana kuna options nyingi hapo Mkuu! Habari Njema ni kwamba Majira haya Baridi (winter) lazima watue wachezaji muhimu wasiopungua wawili....Ozil haondoki gunners ng'ooo!!!!!!
The man is likely to arrive and he real likes BarcelonaWord is rife in the Catalan capital that Angel di Maria is edging closer to a Barcelona move
Velverde hajamleta mchezaji hata mmoja na favorite wake ni Griezman (left flank ) je atafanikiwa?me nikiandika in order of importance aletwe kwanza Griezman (can play left wing) then afuate Coutinho(offensinve/holding midfielder ambaye for now its not a problem for Barca we have alot of options )Usisahau mastermind Velverde ambaye mpaka leo tumeshindwa kumuelewa lakini anatupeleka the promised land ndio anamuona huyo.
Sawa Mkuu, inasemekana Arthur ana DNA za Fundi wa Mafundi, Mzee Xavi.Mkuu ntatafta mda niwaangalie hao watu. Hasa Fekir na Arthur
Barca sio mbaya kama tulivyodhania Velverde anatakiwa awe more adventurous,apanue width from the word go-hasa away games ndio maana na insist flanks ni muhimu kwingine kote we can manage.With Suarez back in form na Paulino runninig box to box-we are just topsAbout Ozil can offer what Iniesta, S.Roberto, Rakitic ,Paulinho ,Messi (as play maker ) does
Wazee tukishindwa hata Angel Dimaria aje he is good as offensive midfielder na left winger (ambayo sasa hv hatuna kiasi tunamtesa Jordi Alba na Delouf alishafeli)
Maestro...huyu jamaa ndio pillar yetu whether we like or not tena nowdays naona kama yuko kwenye peak form sanaBusquets ni kijana but old school, hana Facebook,Twitter wala Instagram,simu yake iko on silent saa zote-despite being the odd one out in the Barca dressing room,he does not mind missing the commercial incentives others get on these platforms