Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Paulinho paulinho!!!!!
Tatizo tumekuja kuzuia sio kuchezaTunacheza ka si cc
Mimi plan zangu right flank nilijua kutakua na Semedo na S RobertoRoberto ni tatizo cr7 alitaka atulize. Attack zote zinapita kwake.
Huyu kocha mshezi sana, hali yangu mbaya sana mmTatizo tumekuja kuzuia sio kucheza
Yaan akishindwa kumfunga Madridogs ntakosa imani na kocha aseeNaipenda sana Barca, bora afungwe na timu yeyote ila lkn sio Madrid. Tatizo huyu kocha anaogopa game kubwa kama hizi, akiingia tu anaaza kuzuia badala ya kushambulia.
Ukishambulia unamchangnya mpizani wako na unamsababishia kufanya makosa.
Siko happy na huyu kocha
Mkuu mbona nashindwa kuingia