
Sijui kwanini aseeh...?S.Roberto ana prove wrong kwa kocha ,hivi kwanini huyu dogo hapewi dk 80-90?
Ni mwepesi na ana speed sanaSijui kwanini aseeh...?
Simeone hajawahi kuifunga Barca kwenye LaLiga tangu awe kocha Atletico(2010) so kupata droo ni matokeo mazuri kwakeDraw na Atletico ni kitu kizuri kwa msimu ambao RM anapigwa na Betis. Ila kuna penati yawazi naona kama tulibaniwa.
Gomes alivyorudi kati aliperform vizuri ,tactic mbovu alipomchezesha wing ya kuliaKocha leo katuua na sub zake mbovu, kumtoa Iniesta na Semedo mi nadhani haikua sahihi. Toka mapema Gomez ilibidi ampishe Sergi Roberto yan ad leo nashangaa kwanini Sergi Roberto anachezeshwa no.2 akati kama leo nilitarajia aanze nafasi ya Gomez.