FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ila jamani wana Barcelona wenzangu pamoja na yote hua naumia sana nikimuona Sergi Roberto akichezeshwa beki ya kulia. Kwa maoni yangu namkubali sana huyu jamaa na naamini nafasi ya Raktic anaimudu sana akipewa nafasi mana kwa upande wa Iniesta huyu jamaa mnasema kazeeka ila mie sijaona Iniesta akicheza vibaya yani kila match anacheza vizuri mno. So mi naamini ni wakati wa kumuamini acheze kama kiungo na pia ni wakati wa kumuamini Denis Suarez acheze nafasi ya winga ya kushoto/
Mkuu hakuna kitu huwa nakereka kama hicho mkuu!

Yaan kocha sijui ni nini anataka approve kumpanga beki 2
 
Anashindwa , kukipanga kile kikosi, akipanga vzr, hao germany, sijui spain watakiona cha moto
Wanasema kikosi kimekosa kemia. Wachezaji wao kila mtu anacheza ligi yake. Wakikutana wanashindwa kuelewana. Tofauti na Nchi kama Spain au Ujerumani.
 
Habari wakuu. Nipo ugenin leo halafu mwenyeji anatumia startimes. Je kuna channel yoyote katika hiki king'amuzi inayoonesha laliga?
 
Leo moto utawaka. Ila sijaelewa kuhusu Gomes.

Screenshot_20171014-212235.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom