daaaaah hili goli la MESSI la mwisho kapiga chenga kuanzia katikati ya uwanja hadi golini hakika hakuna kama MESSI
Messi huyu mtu hatari sana amepiga chenga wachezaji wa tano na kufunga goal
Majirani zetu bhana ,mmebaki mnajifariji na chenga za messiiiidaaaaah hili goli la MESSI la mwisho kapiga chenga kuanzia katikati ya uwanja hadi golini hakika hakuna kama MESSI
Kingmavii...King leo anakosa penalty hatari
We msichana ni muuza wa wapi?Kingmavii...
Tuzo ya mchezaji Bora LA LIGAKingmavii...
3rd June loading......We msichana ni muuza wa wapi?
Tukianza hizo nyie ndiyo balaa. Juzi verane kashika kwenye box, aspas kala umeme wa ajabu. Huku leo mkipata goli la offside. Hata hivyo hongera mkuu kwa kukataa usindikizaji.the bloody ref
hahahahaTukianza hizo nyie ndiyo balaa. Juzi verane kashika kwenye box, aspas kala umeme wa ajabu. Huku leo mkipata goli la offside. Hata hivyo hongera mkuu kwa kukataa usindikizaji.