Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,576
- 19,457
Bubu wewe kenua tu....ukiaanza kusema niambie. Maana una-type tu hahaaa.
Karibu mkuu.
Vipi wewe hukupata mfarakano na mahusiano.com kuhusu baadhi ya nyimbo zile kwani nimesikia wametishia kushitakiana na website nyingine eti inatumia miziki ya bongoflava ambayo ni "mali ya Mahusiano.com"!!