Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,641 Hata mashuti madogo wamelenga sana goli kuliko big Fish
Nangose 1 JF-Expert Member Joined Jun 5, 2017 Posts 7,207 Reaction score 6,786 Feb 17, 2026 #34,642 Barca kashapigwa la pili huko Ubao ni 2-1
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,643 Hahahahahahaha
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,644 Kulingana na judgment ya refa hii incident ni foul Your browser is not able to display this video.
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,645 Tuwe tu wakweli kuna timu kweli hapa?
mr pipa JF-Expert Member Joined Jul 26, 2021 Posts 3,609 Reaction score 7,702 Feb 17, 2026 #34,646 Scars said: Tuwe tu wakweli kuna timu kweli hapa? View attachment 3545022 Click to expand... rasmi namuondoa kwenye mika yangu mbavu zako barc
Scars said: Tuwe tu wakweli kuna timu kweli hapa? View attachment 3545022 Click to expand... rasmi namuondoa kwenye mika yangu mbavu zako barc
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,647 mr pipa said: rasmi namuondoa kwenye mika yangu mbavu zako barc Click to expand... Juzi mashabiki wa Barca walikuwa wanaitukana Atletico kuwa inazikazia timu kubwa halafu inakuja kupoteza dhidi ya timu ndogo. Nadhani sasa hawamuoni Atletico kama mzembe ni jambo ambalo linaelezeka tu.
mr pipa said: rasmi namuondoa kwenye mika yangu mbavu zako barc Click to expand... Juzi mashabiki wa Barca walikuwa wanaitukana Atletico kuwa inazikazia timu kubwa halafu inakuja kupoteza dhidi ya timu ndogo. Nadhani sasa hawamuoni Atletico kama mzembe ni jambo ambalo linaelezeka tu.
bullar JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 10,401 Reaction score 23,602 Feb 17, 2026 #34,648 Friends of Girona tupo hapa
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,649 Hawa ma commentator kama sio mashabiki wa Barca basi walikuwa na mikeka yao mifukoni Yani Barcelona kufungwa kumewapagawisha kabisa wanakomalia faulo utafikiri wamechezewa wao Your browser is not able to display this video.
Hawa ma commentator kama sio mashabiki wa Barca basi walikuwa na mikeka yao mifukoni Yani Barcelona kufungwa kumewapagawisha kabisa wanakomalia faulo utafikiri wamechezewa wao Your browser is not able to display this video.
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,650 Goli la babu sio tu kwamba haliingii kwenye rekodi ya goli, bali hata kwenye stats za on target hakuna. Your browser is not able to display this video.
Goli la babu sio tu kwamba haliingii kwenye rekodi ya goli, bali hata kwenye stats za on target hakuna. Your browser is not able to display this video.
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,651 Unapo mlaumu Barca kwa kuchana mkeka wako unapaswa ukumbuke Barca alipoongoza bao 1 Muhindi alikupa cashout ila kwa tamaa zako ukajifanya hujaiona.
Unapo mlaumu Barca kwa kuchana mkeka wako unapaswa ukumbuke Barca alipoongoza bao 1 Muhindi alikupa cashout ila kwa tamaa zako ukajifanya hujaiona.
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,652 Angalieni msimamo mnaona gape ni ngapi hapo?
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,653 Nimeingia IG ili nimuone huyu jamaa, actually mi nishabiki yake sana kwa jinsi ambavyo anauongelea mpira. Tunatofautiana tu kwenye ushabiki wa vilabu vya Spain. Sasa hapa nashindwa kuelewa haya maumivu ni mapenzi kwa Club au ni biashara? Au ni mchanganyiko wa vyote? Anyway nimefurahi BTW. Your browser is not able to display this video.
Nimeingia IG ili nimuone huyu jamaa, actually mi nishabiki yake sana kwa jinsi ambavyo anauongelea mpira. Tunatofautiana tu kwenye ushabiki wa vilabu vya Spain. Sasa hapa nashindwa kuelewa haya maumivu ni mapenzi kwa Club au ni biashara? Au ni mchanganyiko wa vyote? Anyway nimefurahi BTW. Your browser is not able to display this video.
Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 10,946 Reaction score 15,561 Feb 17, 2026 #34,654 Scars said: Unapo mlaumu Barca kwa kuchana mkeka wako unapaswa ukumbuke Barca alipoongoza bao 1 Muhindi alikupa cashout ila kwa tamaa zako ukajifanya hujaiona. View attachment 3545032 Click to expand... sajo angalia changamoto za mgeni na mwenyeji kwenye hii picha
Scars said: Unapo mlaumu Barca kwa kuchana mkeka wako unapaswa ukumbuke Barca alipoongoza bao 1 Muhindi alikupa cashout ila kwa tamaa zako ukajifanya hujaiona. View attachment 3545032 Click to expand... sajo angalia changamoto za mgeni na mwenyeji kwenye hii picha
sajo JF-Expert Member Joined Nov 8, 2010 Posts 4,177 Reaction score 7,279 Feb 17, 2026 #34,655 Lax said: sajo angalia changamoto za mgeni na mwenyeji kwenye hii picha Click to expand... Ha ha haaaa, mgeni anautamani kabisa msosi ila anavunga ameshiba. Mwenyeji anabembeleza mpaka kumletea chapati usoni kabisa😄😄 ndio baadae mgeni akubali kula, anasema, nitie baraka kidogo tu.😄 Tunazingua sana aisee
Lax said: sajo angalia changamoto za mgeni na mwenyeji kwenye hii picha Click to expand... Ha ha haaaa, mgeni anautamani kabisa msosi ila anavunga ameshiba. Mwenyeji anabembeleza mpaka kumletea chapati usoni kabisa😄😄 ndio baadae mgeni akubali kula, anasema, nitie baraka kidogo tu.😄 Tunazingua sana aisee
Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 10,946 Reaction score 15,561 Feb 17, 2026 #34,656 sajo said: Ha ha haaaa, mgeni anautamani kabisa msosi ila anavunga ameshiba. Mwenyeji anabembeleza mpaka kumletea chapati usoni kabisa😄😄 ndio baadae mgeni akubali kula, anasema, nitie baraka kidogo tu.😄 Tunazingua sana aisee Click to expand... NAam, ndo utamaduni wa kitanzania huu, mambo ya ajabu sana
sajo said: Ha ha haaaa, mgeni anautamani kabisa msosi ila anavunga ameshiba. Mwenyeji anabembeleza mpaka kumletea chapati usoni kabisa😄😄 ndio baadae mgeni akubali kula, anasema, nitie baraka kidogo tu.😄 Tunazingua sana aisee Click to expand... NAam, ndo utamaduni wa kitanzania huu, mambo ya ajabu sana
Akhi JF-Expert Member Joined Jul 12, 2021 Posts 4,947 Reaction score 8,336 Feb 17, 2026 #34,657 Barcelona akikosekana raphinha tu hamna timu ipigwe tu hakuna namna
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 50,280 Reaction score 123,725 Feb 17, 2026 #34,658 Akhi said: Barcelona akikosekana raphinha tu hamna timu ipigwe tu hakuna namna Click to expand... Jana alikuwepo ndio kitu kinacho wauma mashabiki Labda Pedri
Akhi said: Barcelona akikosekana raphinha tu hamna timu ipigwe tu hakuna namna Click to expand... Jana alikuwepo ndio kitu kinacho wauma mashabiki Labda Pedri
Cherecheche JF-Expert Member Joined Nov 16, 2024 Posts 4,780 Reaction score 9,148 Feb 17, 2026 #34,659 Mnachana mikeka ya watu.