FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Walau sisi kwenye zile 5 tulipata goli 2

Aisee mmenyanyaswa vibaya sana hadi nimewaonea huruma.

Dakika ya 90 lile shambulizi mlilokoswa hata mimi pale nilibana pumbu kuwasaidia msifungwe.
Madiriiidii ubane pumbu kbsa,ustione yatima sana😂😂
 
Hawa watoto wanaweza wakawa ng'ang'ania mpaka mwisho msipokuwa makini
 
Sitak kuamin barca wa 3 4 ndio kawa hv pole sana pambania hata sare mwanetu
 
Reactions: Lax
Sema hili goli sijui kama Barca hawata file complaints kwenye shirikisho dhidi ya marefa kama walivyofanya kwenye mechi dhidi ya Atletico.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…