Usije ukapakuliwa wewe tu.Nyie matakataka tutawapakuwa tukikutana uefa, popote palee
Hao madogo mchele mchele ..wewe huyiogopi Chelsea???Usije ukapakuliwa wewe tu.
Kawaida.Hii timu sijui Ina Nini msimu huu.
Naona leo mnashangilia kweli.Jezi nzuri inagombaniwa kila mmoja anaitaka
Jipatie yako haraka kabla hazijaisha
View attachment 3494116
Tatizo lenu ni mdomoNaona leo mnashangilia kweli.
Kama mmechukua UCL kumbe umemfunga Barca.
Bado kidogo mpopp champagne 🍾
Mbona hata nyie mdomo mnao.Tatizo lenu ni mdomo
Tena kile kitoto chenu na wasiwasi na uraia wake kitakuwa kipemba bila shaka.
Maana sio rahisi watu wa Ulaya kuongea mipasho.
Vin ni mtu wa kupanic harakaMbona hata nyie mdomo mnao.
Au umesahau UCL msimu ulioisha maneno yenu kabla ya mechi ya second leg na Arsenal?
Tena sio maneno tu mna watu wana viburi na jeuri kina Vin.
Sema dogo lazima mumchukie.Vin ni mtu wa kupanic haraka
Umeona kama hapa, Vin anakaambia kadogo kapunguze u-mouth dogo anakuwa mbishi eti anataka apigane
View attachment 3494202
Watu walikuwa hawajaamua tu kumzingatiaSema dogo lazima mumchukie.
Kawatesa sana msimu ulioisha.
Kwani kuna mchezaji ambaye kila mechi anafanya vizuri? Mtaje kama yupo.Watu walikuwa hawajaamua tu kumzingatia
Leo kafanya kitu gani?