Record Man
JF-Expert Member
- May 25, 2023
- 1,113
- 1,672
Mpila wa ulaya mzuri sana.hivi barca ni hawa wanjano au red/blue 😁
Coacher akikaasehemu Moja wanakusoma mbinu
Mpila wa ulaya mzuri sana.hivi barca ni hawa wanjano au red/blue 😁
Hatari sana 2_0 halftime, muda wa kulala huuMpila wa ulaya mzuri sana.
Coacher akikaasehemu Moja wanakusoma mbinu
Mpira bado ila.Hatari sana 2_0 halftime, muda wa kulala huu
YahhhhMpira bado ila.
Still kwa ubora wa Barca wanaweza pata magoli kipindi Cha pili.
kwishaKa Moja tu
Barca achukue point 3.
Barca sio timu ya kuifunga goli mbili tena kipindi cha kwanza halafu ushangilie.Ka Moja tu
Barca achukue point 3.
Wajitahidi wasiruhusu magoli kama hivyo.Barca sio timu ya kuifunga goli mbili tena kipindi cha kwanza halafu ushangilie.
Unatakiwa usubiri mpaka kipyenga cha mwisho kipulizwe ndio ushangilie.
Na wawaulize watoto wa simeone.
Labda hakuna mechi ya kwanzaSame referee different decision.
View attachment 3451037
Visca El Barca.Forca barca
PSG na Chelsea mechi za kibabe sana.
VAR iliximwa leoBarcenyeto kwa kubebwa