Huku yanga bingwa itapendeza sana☘️Nafuraha sana msimu huu huku Barcelona bingwa huku Liverpool bingwa hahahahaah
Bongo hapana Sina timu napenda mpira ulionyooka usio na makando kandoHuku yanga bingwa itapendeza sana☘️
Bangi zako leo umevutia chooni eeh?Watoto wa miaka 17 ndio wakabebe uefa?? Unajua imemchukua Drogba King miaka mingapi kulibeba? Kamuulize Salah, kamuulize De Bruyne, munaleta utani kwenye vitu vya msingi matakataka ninyi hamuyiogopi Chelsea????
Nearly impossible.Inawezekana Lewa akabeba kiatu😅