FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Cules.

Leo tuna Derby na espanyol.

Tukishinda tunatangaza ubingwa.
 
We are champions.
Screenshot_20250516-084733_Facebook.jpg
 
Watoto wa miaka 17 ndio wakabebe uefa?? Unajua imemchukua Drogba King miaka mingapi kulibeba? Kamuulize Salah, kamuulize De Bruyne, munaleta utani kwenye vitu vya msingi matakataka ninyi hamuyiogopi Chelsea????
 
Watoto wa miaka 17 ndio wakabebe uefa?? Unajua imemchukua Drogba King miaka mingapi kulibeba? Kamuulize Salah, kamuulize De Bruyne, munaleta utani kwenye vitu vya msingi matakataka ninyi hamuyiogopi Chelsea????
Bangi zako leo umevutia chooni eeh?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom