Sasa mimi una uhakika gani ni shabiki wa madrid?Mashabiki wa RMA wamehamia Inter sasa tunakuja kuwakanda San Siro
Then mtahamia PSG tunawakanda tena
Mamaé round hii mtateseka sana
Na bado tukikutana tena tunawakanda
Team penaldo kama sio RMA wewe ni Man U it's not rocket science kujua hiloSasa mimi una uhakika gani ni shabiki wa madrid?
Mimi kuja kusema msiwabeze Inter na kujipa matumaini makubwa ya kupita kuliko uhalisia tayari nimekua madrid?
Analysis ndogo kabisa Kwa namna Barca anavyocheza na inter wanavyocheza inter wanaweza kutengeneza chaos nyingi wakienda mara chache golini Kwa Barca kuliko Barca wakienda mara nyingi golini Kwa inter mechi ya away itakuwa ngumu Kwa Barca ,pili away form ya Barca kwenye uefa sio nzuri kama ya nyumbani ila ninampa nafasi Barca japo akitolewa ni wanaume wamewatoa vijana ,inter ni wanaume haswa,kwenye matokeo ya 3-3 kidogo wapate goli la nne ,na mwenendo wa mechi expected goal ilikuwa Kwa inter kuliko Kwa barcaPSG alifungwa kabisa nyumbani na Livepool achilia mbali draw lakini alikuja kumtoa liver anfield.
Barcelona tuliwafunga PSG 3 -2 wakiwa kwao Parc des princes wakaja kutufungia nyumbani 4-1.
Kwenye football chochote kinaweza kukukuta popote nyumbani au ugenini ni possible.
Kitu gani kinakufanya ukate tamaa na uamini moja kwa moja inter anatutoa shabiki mwenzangu?
"Ulielewa neno Version ile ya aliyokutana nayo Pep"Sasa unashangaa Barcelona kufungwa goli tatu na inter ambayo wewe unaiona mbovu.
Hilo tulishajadili Barcelona inaachia sana magoli sio ajabu kufungwa goli 3 na inter.
Kashafungwa mpaka goli nne na timu za kawaida kuliko Inter.
Lakini strength ya Barcelona msimu huu hipo kwenye kufunga.
Na ndiyo maana inaongoza kwa magoli ya kufunga La liga na UEFA msimu huu.
Kwanini unaichukulia poa Barcelona ambayo scoring ability yake hiko vizuri?
Mechi ya jana kama ingekuwa timu oya oya mapema shughuli ingekuwa imeisha.
Lakini Barca kachomoa goli zote.
Kipi kinakufanya uamini moja kwa moja Inter anatutoa shabiki mwenzangu wa Barca?
Barca tumejiongezea mzigo wenyewe Yani on target 10 Goli tatu wao On Target tatu Goli 3 hizi hesabu zetu Kuna Mechi zinachosha.PSG alifungwa kabisa nyumbani na Livepool achilia mbali draw lakini alikuja kumtoa liver anfield.
Barcelona tuliwafunga PSG 3 -2 wakiwa kwao Parc des princes wakaja kutufungia nyumbani 4-1.
Kwenye football chochote kinaweza kukukuta popote nyumbani au ugenini ni possible.
Kitu gani kinakufanya ukate tamaa na uamini moja kwa moja inter anatutoa shabiki mwenzangu?
Game ijayo lewandowski atarejea ko usihofuBarca tumejiongezea mzigo wenyewe Yani on target 10 Goli tatu wao On Target tatu Goli 3 hizi hesabu zetu Kuna Mechi zinachosha.
Mechi bado mpya yoyote mwenye kujilinda vyema anaendaShida ya Barcelona tangu msimu umeanza imekuwa ni backline,sio rahisi kurekebisha ndani ya mda mfupi huu labda wafunge magoli mengi ambayo hayatafikiwa na Inter
Mmekwisha😂😂🤣Mechi bado mpya yoyote mwenye kujilinda vyema anaenda
Kwenye mazingira magumu hapa nipo pamoja na wewe.Muda wote najaribu kuonesha maeneo yanayofanya tunakuwa na mazingira magumu.
Uchawii.. Inter hata wao wanajua mechi ngumu kwao.Mmekwisha😂😂🤣
Mentality ya simba na yanga hii.Team penaldo kama sio RMA wewe ni Man U it's not rocket science kujua hilo
kumbe laliga ni mdrid tuuItaly timu zote jumla wana UefaCL 12,
England timu zote jumla UefaCL 15,
Spain timu mbili tu wamechukua UefaCL 20.
Sisi tunashabikia klabu hatushabikii ligi.Kuna uwezekano mkubwa wa makombe matatu kuenda spain UEFA-barca,EUR0PA-athletic club,EUROPA.C-real betis anaweza kufanya hivyo maana yupo kwenye wakati mzuri
Nimetoa mtazamo sijamaanisha hivyoSisi tunashabikia klabu hatushabikii ligi.
Wewe nishabiki wa team gani?Mashabiki wa Barca ni kama mmechangangikiwa ivi!ni kama hamkutegemea mlichokutana nacho jana au??!