FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mashabiki wa barca bwana 😂😂

Mtu anajitapa ka dominate mchezo, kwani wote si tunajua kwamba inter approach yao ni kukuachia mpira wao utawakuta kwenye counter?

Mtu anakwambia Inter wamefunga magoli ya kona hawana lolote, kwani hamuoni kwamba inter hapo wame exploit weakness ya barca kwenye set pieces?

Mbona mifano ipo mingi sana ya timu zenye mpira wa kihuni ambazo zilizitoa timu zilizokua zinacheza soka safi na ku dominate michezo (Mfano mzuri ni chelsea ya kuungaunga 2012 anawatoa prime barca ya kina messi, xavi, iniesta, busquet ambao walikua ni monsters kuliko hii ya sasa).

Sasa nyinyi endeleeni kujitapa mmecheza vizuri wakati jana kazi yenu ilikua ni kuchomoa tu(mlipigwa kamba ya 4 msisahau) wenzenu wanaangalia weakness zenu ndogondogo wanapiga hapohapo, this is knockout stage bro.
 
Mbona una poor reasoning kiasi icho eti magoli ya kona, acha kujiaibisha hapa
Jamaa yupo too emotional kiasi kwamba unaweza kudhani kaanza kufatilia uefa msimu huu na hajui namna haya mashindano yalivyojaa ukatili.

Mtu anakwambia Inter hawana lolote sababu wametegemea kona, kwani kona si ni sehemu ya tactics za timu?

Timu imeingia na lengo la kwenda kutumia weakness yako kwenye set pieces na ikakutoboa bado unawabeza kana kwamba ni magoli ya kupewa.

Timu zimebeba hili kombe kwa magoli ya penati ije kuwa kona?
 
Barca mwenzangu huyo ila yeye Moja kwa moja anadhani Mimi ni mpinzani.
Shabiki oya oya wa Barca.

Hata kuja jukwaani kuijadili timu yetu na kuleta updates huji.

Unachosubiria wewe timu ipate suluhu uje useme safari imewadia tunatolewa na Inter hatuwawezi halafu unasema mimi shabiki wa Barca!
 
Barca mwenzangu huyo ila yeye Moja kwa moja anadhani Mimi ni mpinzani.
Sababu tu umeongea kitu ambacho hapendi kusikia.

Kuwa shabiki wa timu fulani hakukuzuii kukubali kwamba timu yangu ina weakness hizi, weakness ambazo zinaweza kutugharimu.

Nimeona anavyokujibu unapojaribu kuweka facts inaonyesha hataki kabisa kukubali kwamba barca hana uhakika wa kupita kama anavyotaka kuamini.
 
Sawa Inter atatutoa hatuna uwezo wa kuifunga.
 
Ni kweli hatuna uhakika wa kupita nilikuwa nazingua tu.

Inter anatutoa 100% Barcelona hii haina uwezo wa kuitoa Inter.

Inter ni timu ngumu sana kwa Barcelona.
 
Ni kweli hatuna uhakika wa kupita nilikuwa nazingua tu.

Inter anatutoa 100% Barcelona hii haina uwezo wa kuitoa Inter.

Inter ni timu ngumu sana kwa Barcelona.
Ni rahisi sana kuifunga goli barca kuliko timu zingine zilizobaki UEFA , ukifika tu golini imo
 
Ni rahisi sana kuifunga goli barca kuliko timu zingine zilizobaki UEFA , ukifika tu golini imo
Lakini pia Barca ndiyo timu inayoongoza kufunga goli nyingi kwenye mashindano haya.

Unabisha?

Ukijua kupoint weakness za Barca jua na ku point strength zake.
 
Mashabiki wa RMA wamehamia Inter sasa tunakuja kuwakanda San Siro

Then mtahamia PSG tunawakanda tena

Mamaé round hii mtateseka sana

Na bado tukikutana tena tunawakanda
 
Mzani wa Magoli ya kufunga na kufungwa hayatakiwi kukalibina kiasi Cha mzani kuwa level hasa ktk mguu wa kwanza...Jana Nina uhakika Hans hajafurahishwa kulazimishwa sare na Inter hasa akiwa nyumbani.
 
Sasa ni Mbovu I'll kuja kupata goli 3 ugenini sio Jambo la kubeza.... Rudi jitafakari.
Sasa unashangaa Barcelona kufungwa goli tatu na inter ambayo wewe unaiona mbovu.

Hilo tulishajadili Barcelona inaachia sana magoli sio ajabu kufungwa goli 3 na inter.

Kashafungwa mpaka goli nne na timu za kawaida kuliko Inter.

Lakini strength ya Barcelona msimu huu hipo kwenye kufunga.

Na ndiyo maana inaongoza kwa magoli ya kufunga La liga na UEFA msimu huu.

Kwanini unaichukulia poa Barcelona ambayo scoring ability yake hiko vizuri?

Mechi ya jana kama ingekuwa timu oya oya mapema shughuli ingekuwa imeisha.

Lakini Barca kachomoa goli zote.


Kipi kinakufanya uamini moja kwa moja Inter anatutoa shabiki mwenzangu wa Barca?
 
Mzani wa Magoli ya kufunga na kufungwa hayatakiwi kukalibina kiasi Cha mzani kuwa level hasa ktk mguu wa kwanza...Jana Nina uhakika Hans hajafurahishwa kulazimishwa sare na Inter hasa akiwa nyumbani.
PSG alifungwa kabisa nyumbani na Livepool achilia mbali draw lakini alikuja kumtoa liver anfield.

Barcelona tuliwafunga PSG 3 -2 wakiwa kwao Parc des princes wakaja kutufungia nyumbani 4-1.

Kwenye football chochote kinaweza kukukuta popote nyumbani au ugenini ni possible.

Kitu gani kinakufanya ukate tamaa na uamini moja kwa moja inter anatutoa shabiki mwenzangu?
 
Barca hatoboi, San Siri Lamine yamaal anaenda kupigwa pin Moja matata timu nzima inakuwa imekufa, Barca wakiwaga ugenini unaweza sema ni Yanga yaani mpira wa ovyo wanacheza
😂😂😂😂😂
 
Yoyote anaweza kushinda endapo safu ya ulinzi haitafanya makosa ya wazi.
Mechi bado mpya kwa wote. Japo home team ana advantage.
Shida ya Barcelona tangu msimu umeanza imekuwa ni backline,sio rahisi kurekebisha ndani ya mda mfupi huu labda wafunge magoli mengi ambayo hayatafikiwa na Inter
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…