FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Umemkuta inter form Mbovu bado anapata Goli tatu ugenini.
Unapata picha gani ?
Ungekutana na ile version aliyokutana nayo Pep ..safari ilikua imeisha.
Hayo magoli matatu aliyoyapata kwani yeye ndo wa kwanza kuyapata dhidi ya Barcelona?

Halafu magoli mawili ya kona!

Unafikiri second leg tutafanya uzembe ule wa kushindwa kuzicheza kona.

Timu yenu haina mpira wa kuitisha Barcelona kwa alichofanyiwa leo hata wao watakushangaa ukiona wanatutoa bila wasi.
 
Jibu kilichopo mezani naona umekaa kishabiki sana na majibu flani ya kishamba.
Mimi au wewe ndiye anayetakiwa kujibu kilichopo mezani?

Nimekuuliza baada ya Tchouameni wako kutufunga kwa kona nini kilitokea mwisho wa mchezo?
 
Waulize kama waliangalia mechi ya leo? Wakumbushe pia away goal rule siku hizi hamna
Wameangalia ila ushabiki na chuki tu dhidi ya Barca umewajaa.

Timu mda wote inachezeshwa nusu uwanja.

Inategemea bahati za kupiga counter na kona ndo ipate goli halafu anakuja mtu anakwambia Barca kashatoka.
 
Wameangalia ila ushabiki na chuki tu dhidi ya Barca umewajaa.

Timu mda wote inachezeshwa nusu uwanja.

Inategemea bahati za kupiga counter na kona ndo ipate goli halafu anakuja mtu anakwambia Barca kashatoka.
Palepale San Siro Inter wanachakazwa Barca inatinga final

PSG haina ubavu wa kuizua Barca isinyanyue UCL
 
Barca hatoboi, San Siri Lamine yamaal anaenda kupigwa pin Moja matata timu nzima inakuwa imekufa, Barca wakiwaga ugenini unaweza sema ni Yanga yaani mpira wa ovyo wanacheza
 
Barca hatoboi, San Siri Lamine yamaal anaenda kupigwa pin Moja matata timu nzima inakuwa imekufa, Barca wakiwaga ugenini unaweza sema ni Yanga yaani mpira wa ovyo wanacheza
Na beki gani wa kumpiga pini Yamal?

Hivi jana wakati kina Dimarco wanadhalilishwa na Yamal uliangalia mpira au umesimuliwa baada ya FT?
 
Itakuwa ni game nzuri tuombe kounde asiwe na injury tuu
 
Mbona una poor reasoning kiasi icho eti magoli ya kona, acha kujiaibisha hapa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…