FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Tatizo ni hizo games 2 kubwa zilizo mbele yetu
Ni kweli tuna game ngumu sana kuanzia 26 Apr na Madrid fainali.

30 May tuna Inter first leg UEFA semi final.

Muhimu kocha awe mjanja atie full mkoko tutafute goli za kutosha then second half awapumzishe wachezaji muhimu.

Hii mambo ya kuwaingiza wachezaji muhimu kuja kufanya come back sio mda wote itatufaa.

Kuna muda game inakataa.
 
Kweli leo beki zilikuwa worse.

Lakini kocha kazingua.

Wakiwa wazima wa afya mtu kama Lamine na Olmo sio watu wa kuwaweka nje.

Barca bila ya Lamine inakuwa majanga sana.

Anapoanza unaona hata kujiamini kwa wachezaji wengine kunaongezeka.

Hansi hii mechi ya pili ana bet ingawa leo tumeshinda.
Labda hii match aliichukulia poa. Na anaikiria big match zinazo kuja.
 
Ni kweli tuna game ngumu sana kuanzia 26 Apr na Madrid fainali.

30 May tuna Inter first leg UEFA semi final.

Muhimu kocha awe mjanja atie full mkoko tutafute goli za kutosha then second half awapumzishe wachezaji muhimu.

Hii mambo ya kuwaingiza wachezaji muhimu kuja kufanya come back sio mda wote itatufaa.

Kuna muda game inakataa.
Leo aliwapumzisha kwa kazi hii.
 
Ni kweli tuna game ngumu sana kuanzia 26 Apr na Madrid fainali.

30 May tuna Inter first leg UEFA semi final.

Muhimu kocha awe mjanja atie full mkoko tutafute goli za kutosha then second half awapumzishe wachezaji muhimu.

Hii mambo ya kuwaingiza wachezaji muhimu kuja kufanya come back sio mda wote itatufaa.

Kuna muda game inakataa.
Naunga mkono hoja
 
Labda hii match aliichukulia poa. Na anaikiria big match zinazo kuja.
Yeah.

Hata mechi na Dortmund second leg aliichukulia poa kwa kuwa tuna faida ya goli 4 za nyumbani.

Meisho wa siku guirassy kaondoka na mpira.

Leo bado kidogo watoto watukalie kooni.

Thanks for Dani Olmo.

Que regreso Que remontanda.
 
Hii game tumeshinda ila lawama zote namtupia Hans.


Hii mara ya pili anawaacha nje wachezaji muhimu timu inaelemewa.

Unamuanzishaje Feran wakati Lamine yupo nje?

Anaanzaje Fermin wakati Olmo yuko nje?

Tungefungwa angebeba lawama zote kwa bad selection ya kikosi cha kwanza.
Kabisaaa huwezi kuwaacha wachezaji wapambanaji eti kisa una copa delay. Ligi kuu ni muhimu sana.
 
Gerard Martin hapaswi kuanza first 11 manaake dogo anazingua sana Kwanza flick kwann asimchezeshe Araujo au hata Erick Garcia au fort pale nyuma lakin sio Martin kwa kweli...Balde apone aisee arudi kwenye nafasi yake
 
Yeah.

Hata mechi na Dortmund second leg aliichukulia poa kwa kuwa tuna faida ya goli 4 za nyumbani.

Meisho wa siku guirassy kaondoka na mpira.

Leo bado kidogo watoto watukalie kooni.

Thanks for Dani Olmo.

Que regreso Que remontanda.
Kabisa.
Kabisaaa huwezi kuwaacha wachezaji wapambanaji eti kisa una copa delay. Ligi kuu ni muhimu sana.
Leage angalau ina match nyingi zimebaki lkn hiyo final nadhani ni match moja au mbili. Pia ni hivyo hivyo kwa semi final.
 
Kabisa.

Leave angalau ina match nyingi zimebaki lkn hiyo final nadhani ni match moja au mbili. Pia ni hivyo hivyo kwa semi final.
Ligi bado mechi sita tuitamatishe.

Tukishinda mechi tano tu tayari tushatangaza ubingwa hapo madrid ikiwa atashinda mechi zake zote saba zilizobaki.

Kwa madrid hii ya unga unga mwana siioni ikifanya hivyo na ukizingatia wana mechi na sisi(el clasico)miongoni wa hizo mechi saba.

Leo tu na Athletic club wajipange wanaweza kudondosha point wakazidi kuturahisishia safari ya ubingwa.
 
Nadhani imefika muda mashabiki tumeanza kua na unrealistic expectations. Tunategemea kushinda kila mechi, as if team nyingine hazina watu wenye akili.

We have a very thin squad with no proper substitutions, na hao wachezaji wazuri wanaoanza kila siku tayari wamekumbwa na fatigue. Joules Kounde amecheza mechi zote msimu huu za club na team ya taifa kwa dakika tisini. Pedri amepumzika mechi sio zaidi ya mbili, same to Yamal. Dani Olmo ni very injury prone, na ametoka kuuguza majeraha juzi tu. Kutegemea hawa watu waendelee kucheza kila siku, na kwa ubora uleule ni kuwaonea.


SIo rahisi kupambania treble kwa hiki kikosi finyu tulichonacho. Hapa tunaenda kucheza mechi 5 mfululizo ndani ya siku 15. Ndani ya hizo mechi tano, kuna Inter mara mbili, na Madrid mara mbili. Kufanya rotation hakuepukiki.


Mimi kwa sasa sidhani kama tutashinda treble. Tukishinda Laliga na Copa del Rey, kwangu itakua mafanikio tosha. Hii team imetoka mbali. Transfer market ikifunguliwa, tuongeze wachezaji, tuwe na kikosi kipana, ndio tupambanie treble!
 
Lewa anaweza kuwa nje kwa wiki 2 mpaka 3.

Ikiwa hivyo atakosa fainali ya Copa del Rey na Madrid tarehe 26 na first na second leg na Inter.
Hapa inter kashapita hamna kitu kama lewa balde wote wako nje Kwa uchezaji niliouona mechi mbili za mwisho uenda inter na arsenal zikacheza fainali
 
Hapa inter kashapita hamna kitu kama lewa balde wote wako nje Kwa uchezaji niliouona mechi mbili za mwisho uenda inter na arsenal zikacheza fainali
Kama conclusion yako umeifikia kwa hizo mechi mbili za mwisho ya Dortmund na Celta vigo basi haupo sahihi.
 
Nadhani imefika muda mashabiki tumeanza kua na unrealistic expectations. Tunategemea kushinda kila mechi, as if team nyingine hazina watu wenye akili.

We have a very thin squad with no proper substitutions, na hao wachezaji wazuri wanaoanza kila siku tayari wamekumbwa na fatigue. Joules Kounde amecheza mechi zote msimu huu za club na team ya taifa kwa dakika tisini. Pedri amepumzika mechi sio zaidi ya mbili, same to Yamal. Dani Olmo ni very injury prone, na ametoka kuuguza majeraha juzi tu. Kutegemea hawa watu waendelee kucheza kila siku, na kwa ubora uleule ni kuwaonea.


SIo rahisi kupambania treble kwa hiki kikosi finyu tulichonacho. Hapa tunaenda kucheza mechi 5 mfululizo ndani ya siku 15. Ndani ya hizo mechi tano, kuna Inter mara mbili, na Madrid mara mbili. Kufanya rotation hakuepukiki.


Mimi kwa sasa sidhani kama tutashinda treble. Tukishinda Laliga na Copa del Rey, kwangu itakua mafanikio tosha. Hii team imetoka mbali. Transfer market ikifunguliwa, tuongeze wachezaji, tuwe na kikosi kipana, ndio tupambanie treble!
Umeongea point

Kwenye usajili kama kawaida tutalud La masia
 
Sipo sahihi kivipi nielezee
Game ya kwanza ni bad selection ya kikosi na kuingia as if we have already qualified for the semi final.

Tuliwa under rate Dortmund na mwisho wa siku wakatuadhibu kwa goli 3-1.

Tushukuru first leg tulipata goli 4 ndio zilizotubeba.

Unamuanzishaje Gavi mbele ya pedri fermin Lopez dhidi ya Olmo Araujo dhidi ya Inigo?

A very bad selection ndicho kilichotukosti.

Akaja akarudia tena game na celta vigo Olmo na Yamal akawaacha nje akaendeleza mchezo wake wa kubeti na kina Fermin Lopez.

Pia lazima utambue approach za michezo na seriousness zinatofautiana from game to game.

Huwezi kuingia semi final kucheza na Inter ukatumia approach sawa na Celta vigo.

Ni timu mbili na mashindano mawili tofauti.

So naamini mechi itkauwa nzuri na naipa Barcelona asilimia 70 za kuvuka to the next stage.
 
Game ya kwanza ni bad selection ya kikosi na kuingia as if we have already qualified for the semi final.

Tuliwa under rate Dortmund na mwisho wa siku wakatuadhibu kwa goli 3-1.

Tushukuru first leg tulipata goli 4 ndio zilizotubeba.

Unamuanzishaje Gavi mbele ya pedri fermin Lopez dhidi ya Olmo Araujo dhidi ya Inigo?

A very bad selection ndicho kilichotukosti.

Akaja akarudia tena game na celta vigo Olmo na Yamal akawaacha nje akaendeleza mchezo wake wa kubeti na kina Fermin Lopez.

Pia lazima utambue approach za michezo na seriousness zinatofautiana from game to game.

Huwezi kuingia semi final kucheza na Inter ukatumia approach sawa na Celta vigo.

Ni timu mbili na mashindano mawili tofauti.

So naamini mechi itkauwa nzuri na naipa Barcelona asilimia 70 za kuvuka to the next stage.
Uchezaji wa mchezaji kama gerlad martin nimepatwa na mashaka sana na nilivyosikia lewa kukosekana na inter uchezaji wao ulivyo sijui tusubiri dakika 90
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom