hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,661
- 12,576
Daah huyu dogo kama tumempata itakua poa sana.Wadau naona deal la Nico Williams is done
Yeye na Lamine Yamal patakuwa hapatoshi.
Daah huyu dogo kama tumempata itakua poa sana.Wadau naona deal la Nico Williams is done
Dogo unawashwa eeh?Barcenyeto
Wewe chini ya UTI wako wa mgongo hakupo sawaBarcenyeto
🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃Dogo unawashwa eeh?
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe chini ya UTI wako wa mgongo hakupo sawa
Visca el Barca.Forca Barca
Tunapokea pongezi zako mkuu. Ni wapinzani wachache wenye macho mazuri ya kimpira wanaoweza kuona potential ya project yetu. It's just a matter of time, tutaitawala ulaya kwa muda mrefu sana!Natoa pongezi kwa ushindi wa leo dhidi ya Athletic Bilbao wa maholi 2-1.
Mmeanza msimu vizuri. Na vijana ni wadogo sana ila kazininafanyika. Naiona Barca ikifanya vizuri kwa badget hii ndogo.
Again hongereni sana.