We timu yako hipi?Hii ni team au genge la walevi
Safi tupo cule'swana Blaugranes mambo ni vipi
Hii ni team au genge la walevi
Vardrid,Nyumbu,Kolo na AlgerWe timu yako hipi?
.Hii ni team au genge la walevi
Tangu upigwe nne na man city kazi yako imekuwa kubadilisha majina na kujipitishapitisha kwa wanaume huku unakitingisha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]barcenyeto wamekimbia uzi
uzi wa ugenini vipi ?Pata uzi mpya wa Barcelona
Tsh 22,000/=
View attachment 2653561
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Baada ya Messi saga,Priority kwa Sasa ni ;Usajili vipi mazee? Tunamchukua nani?
Nimeona Xavi anasema anahitaji vijana watatu, akiwemo midfielder wa nguvu.. Namtamani sana Bernado Silva