hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,475
- 12,020
Umepakatwa nyang'au we.Kila la kheri Sevilla
Umepakatwa nyang'au we.Kila la kheri Sevilla
Unaendeleaje mkuuKila la kheri Sevilla
Vipi wajiinaje na haliNyie nae wachovu tu
Wanamkanda saivi hawezi jibu maumivu makali kwakeVipi wajiinaje na hali
Kawaulize kwanza waliompa Hazard walifikiria nini.Hivi nyie Barcenyeto mlifikiria nini kumpa Fati #10??
Unawashwa nyuma weweView attachment 2514528
Kroos has more club world titles than barcenyeto
sana .Araujo the beast.Ni hatari sana kuwa na team inayomiliki mpira kwa kiasi kikubwa na ina defence nzuri.Siku hizi Barca ikikutangulia kupata goli, ndio basi tena huna chako!Huu ukuta uposana .Araujo the beast.Ni hatari sana kuwa na team inayomiliki mpira kwa kiasi kikubwa na ina defence nzuri.View attachment 2515712
Mm naona Pep zama zake zimeisha tukomae na Xavi ambae na yeye anapambana kutafta legacyNimeona baazi ya source zikisema barca wanataka kumrejesha Pep, iwapo man city watapewa adhabu, na kama atakuja basi ataambatana na Alvares pamoja na Rodri, je wakuu hii imekaeje kwa pep kurejea au team abaki nayo xav
Sio kwa Manchester United.Siku hizi Barca ikikutangulia kupata goli, ndio basi tena huna chako!