Platnam
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 769
- 1,239
Sio Baca DNA tena?Xavi timu imemshinda hii
Sio Baca DNA tena?Xavi timu imemshinda hii
[emoji115]Xavi uwezo mdogo
Hamna Cha DNA Wala nini mpira wa Sasa umebadilika mnoSio Baca DNA tena?
Kwa wasiojua maana ya lamri, hii ndio maana yake halisi.Tambua hili, inter ni ngumu kuliko bayern
Kwasababu kwa mfumo wa xavi ni ngumu kuziattack timu zinazodefend low block na kuweka mtu tano nyuma.
Ndomaana hata mallorca alistruggle.
Bayern ana uwezekano wa kupigwa camp nou
Nyie barcenyeto