FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Barca leo ni kichapo tu....... Labda angekuwepo Neimar wangesalimika
 
Tatizo sisi hatunga winga ya kushoto, Dembele angekuwa mpambanaji kama Griezmann hii Game alikuwa anaanza kabisa.
 
Unajua watu wanajua Bayern ni timu ambayo ni kikosi strong sana, hapana, Bayern ya sasa ni ya kawaida kabisa ila ikikutana na timu ipo weak inakupiga nyingi coz wanacheza kwa kushambulia kwa kasi.

Sitaki kuamini leo akina Kimmich na Davies, Alcantara leo watambe. Hiko kitu sio rahisi.

Bado sijaona mids nzuri za Bayern zitakazoweza kuweka uzito wa hali ya juu kwa Barca.

Kuna mda pia nafikiria kule mbele waanze tu Suarez, Griezmann na Dembele, then kati Messi, De Jong na Busquets.
 
Sina mengi ,leo tutashinda tena magoli ya kutosha tu ,tunaenda kuisimamisha dunia ya mpira
Hakika Buyern Munich hawataamini tutakavyo wamiminia
Bayern wanajua kabisa uzito wanaoenda kukutana nao leo, so wamedhitatiti mno.

Wanatambua hawaendi kucheza na Chelsea au Levarkusen au Arsenal.

Watajitahidi mno leo waweze kuwa makini kila dakika. Na hiki Bayern anakiweza.
 
Bayern ni Thiago

Thiago asipotembea Barcelona inashinda game kirahisi tu...

Ili Bayern icheze Thiago ndo mchezeshaji

Hawa akina Lewendoski sijui Glaby sijui nani ni Wakawaida sana mbele ya Barça
Haujielewi ww
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom