FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Sikujua game kuwa ni moja.

Hii game ingekuwa home and away ningesema tuna 40% ya kusonga mbele UEFA kwa kumtoa Bayern.

Endapo de mbele angekuwa mzima hii game ingekuwa ni nzuri zaidi kwa barca.

Nitapendekeza kati awepo de jong, busquet na rakitic au arthur. Serg robert ikae bench kwanza.
 
Mpr una maajab yake mkuu..
Mambo ya mpr yamesha shangaza wengi Sana Asa pale team inapewa Sana nafas ta kushinda..
Mda utaongea.
Kama Game ni moja na inapigwa Camp Nou, ni ngumu saana Barca kutolewa.

Jana nimetazama mechi nimeona timu ikiwa na ari mpya.
 
Kama Game ni moja na inapigwa Camp Nou, ni ngumu saana Barca kutolewa.

Jana nimetazama mechi nimeona timu ikiwa na ari mpya.
Game ni 1 mkuu.. Lkn game zote za hatua hii had final zinapigwa Ureno uko Lisbon
Lkn mpr una maajab Sana,asa pale m1 anaonekana anashnda kirahs Tena izi game moja
Ngj tusbr mda uongee.
 
Game ni 1 mkuu.. Lkn game zote za hatua hii had final zinapigwa Ureno uko Lisbon
Lkn mpr una maajab Sana,asa pale m1 anaonekana anashnda kirahs Tena izi game moja
Ngj tusbr mda uongee.
Nimetazama kikosi cha bayern sioni kama kina maajabu. Timu ikicheza kwa ari kama ilivyocheza na Napoli, basi tunaondoka na ushindi. Tatizo la Barca ugenini huwa hainaga matokeo ila Bayern ugenini hainaga mzaha.
 
Wacha ramli zako ...tusubiri game
Sikujua game kuwa ni moja.

Hii game ingekuwa home and away ningesema tuna 40% ya kusonga mbele UEFA kwa kumtoa Bayern.

Endapo de mbele angekuwa mzima hii game ingekuwa ni nzuri zaidi kwa barca.

Nitapendekeza kati awepo de jong, busquet na rakitic au arthur. Serg robert ikae bench kwanza.
 
Mara nyingi tukicheza na mitimu mibovu huwa tunashinda kwa mbinde sana...ila tukikutana na team bora like Bayern mapeema tunashinda 😊
[SUP]Hiyo ndo shida kubwa ya Barcelona; siku hiyo utaona wakifika golini kwa Bayern na kuleta madhara makubwa sana. Fikiria Chelsea iliyokua kwenye form mbaya hivi imefika langoni kwa Bayern japo wamefungwa kwa makosa ya wazi kabisa ya safu ya Ulinzi.[/SUP]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom