GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,362
- 5,606
Mbona husemi kama tumerudishaYanakuja ya kutosha
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mbona husemi kama tumerudishaYanakuja ya kutosha





4-1 mpaka sasaUnajua watu wanajua Bayern ni timu ambayo ni kikosi strong sana, hapana, Bayern ya sasa ni ya kawaida kabisa ila ikikutana na timu ipo weak inakupiga nyingi coz wanacheza kwa kushambulia kwa kasi.
Sitaki kuamini leo akina Kimmich na Davies, Alcantara leo watambe. Hiko kitu sio rahisi.
Bado sijaona mids nzuri za Bayern zitakazoweza kuweka uzito wa hali ya juu kwa Barca.
Kuna mda pia nafikiria kule mbele waanze tu Suarez, Griezmann na Dembele, then kati Messi, De Jong na Busquets.



Unavyoona tatizo ni messi sioKipigo Cha Mbwa koko leo tunachezea....nilisema hapo Nyuma watu wakabisha hakuna timu hapa MESSI AUZWE AUZWE ANAWAPA WAKATI MGUMU WALIMU.








