Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
Hivi ukitoa messi ni mchezaji gani mwingine wa Bayern akija pale barca atakosa namba ... Sihitaji jazba
Hivi wewe una akili vizuri kweli?!Waulizeni wenzenu Chelsea walichofanyiwa
Sijaelewa ulivoulizaHivi ukitoa messi ni mchezaji gani mwingine wa Bayern akija pale barca atakosa namba ... Sihitaji jazba
Sasa kwa akili yako Chelsea na Barcelona wametofautiana nini ?Hivi wewe una akili vizuri kweli?!
Unaifananishaje Chelsea na Barcelona?
Hivi wewe una akili vizuri kweli?!
Unaifananishaje Chelsea na Barcelona?
Game ya mwisho bayern tuliwafanyaje?....wewe pambana na juve yakoMbona mpo kimya msijifanye hamjui shughuli ya leo

Zile 7 zitajirudia kaeni tayariGame ya mwisho bayern tuliwafanyaje?....wewe pambana na juve yako![]()
Bayern Munich sio wa kuitisha Barcelona, hata Kama msimu huu hatuko vizuri kiivo lkn hakuna sehemu ambayo Bayern anatuzidi hata kidogo tukianzia kiba hadi fowadi, kumbukeni Dembele anarudi, Busquet, akina Vidal leo wamo, we're a complete team in each aspectHuku lewandoski kule gnabry hapa thiago sijui mtaweka wapi sura zenu
Angalia zisije zikajirudia zile tulizowafunga game za mwisho...Bayern hawatishi...dembele ndani, Vidal,Zile 7 zitajirudia kaeni tayari
...we jipe moyo...unaombea barca ifungwe, hilo Dua la kuku.Leo Lewandoski na pique, hatoki mtu hapo, kule Messi, Suarez, Griezmani, beki za Bayern zitalala na Viatu leo, bado nje Nina akina Dembele, Ansu Fati, Riqui Puig, wote wakata umeme hawa. (fullbacks zangu jordi Alba na Semedo wote wakata umeme) Bayern labda watuzidi physical strength lkn kwenye speed na creativity tupo juu zaidi yaoHuku lewandoski kule gnabry hapa thiago sijui mtaweka wapi sura zenu
Mkuu pale kati akiwepo De Jong patakuwa hapafai, Jamaa akipiga 6 anajua saana, ni mwepesi mno.Leo Lewandoski na pique, hatoki mtu hapo, kule Messi, Suarez, Griezmani, beki za Bayern zitalala na Viatu leo, bado nje Nina akina Dembele, Ansu Fati, Riqui Puig, wote wakata umeme hawa. (fullbacks zangu jordi Alba na Semedo wote wakata umeme) Bayern labda watuzidi physical strength lkn kwenye speed na creativity tupo juu zaidi yao


