Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 7,262
- 12,620
Ukiachana na rafu vidal 2namuhitaji sana kuliko hata dejong na Arthur.... Lakini rakitic wamuuze hata Genkwachezaji kama vidal na rakitic zama zao zimepita wanapuyanga tu uwanjani sio kwanini arthur kamuweka nje alivyoingia unaona kabisa combination yake na de jong timu inaenda mbele jitu linacheza faulo halafu Linafanya fujo poor vidal
