Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Kitu inauma kati ya wote hao ni malcom mzee..
Ni ngumu kusema anawachukia nadhani alishindwa tu kuwatumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu kusema anawachukia nadhani alishindwa tu kuwatumia
Ila Valverde alikuwa anachukia madogo
Malcolm baada ya kufunga goli el classico na kuwa MOTM akakaa benchi miezi miwili kabla ya kucheza tena
Alena baada ya mechi ya kwanza msimu huu akalishwa benchi miezi mitatu kabla ya kuanza tena kucheza
Todibo ameenda mkopo ilhali mabeki wetu ndio hao pique ambaye hayuko serious, lenglet average na umtiti injury prone.
Puig hajacheza hata dakika moja na first team
Wague mpaka apangwe kwenye timu, mara moja kwa mwaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

La Liga Santander
Camp Nou
11:00 pm East Africa Time