adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,953
- 6,154
Suarez hahaha ana Utani sana
Suarez hahaha ana Utani sana
Aibu sana
Vipi kacheza Leo Huyu Dgo?
Dogo kaingia sub Dkk ya 83...Dkk ya 87 katikisa nyavu!.....Vipi kacheza Leo Huyu Dgo?



Wakongwe walianza wanne tu Ractic/Captain,Arturo Vidal,Umtiti na GriesmannDah siamini kama wale watoto wamemchapa mtu mzima Inter Milan
Ansu Fati is on
Messiah jana hakuwepo?
Uyu Liverpool tunamngoja kwa hamu sana..
Viva Barca, Viva Chelsea..
Acha kuifananisha Liverpool na vitu vya ajabu ajabu shwaiiiiin!!Dah siamini kama wale watoto wamemchapa mtu mzima Inter Milan
Ansu Fati is on
Messiah jana hakuwepo?
Uyu Liverpool tunamngoja kwa hamu sana..
Viva Barca, Viva Chelsea..
Zinateleza mnooPapuchi sio nzuri
😁😁😁Aibu sana
Dah siamini kama wale watoto wamemchapa mtu mzima Inter Milan
Ansu Fati is on
Messiah jana hakuwepo?
Uyu Liverpool tunamngoja kwa hamu sana..
Viva Barca, Viva Chelsea..
Nasikia anavumiliwa hadi mwisho wa msimu halafu kuna uwezekano wa kumrudisha pep
Liverpool hii takataka tu ...ngoja ikutane na Barca ndo utajua ..halafu shawaiiiniii ndo nini mkuu


Lakini matokeo mazuri uwanjani si hayo yamekwisha anza kupatikana?