Executor
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 872
- 997
Hajui kupanga team, wachezaji wazuri kibao ila hajui kupanga...kinachomsaidia ni wachezaji wakiwa home ni confidence tu naonaHuyu Valverde mechi za away ni Takataka kabisa
Hajui kupanga team, wachezaji wazuri kibao ila hajui kupanga...kinachomsaidia ni wachezaji wakiwa home ni confidence tu naonaHuyu Valverde mechi za away ni Takataka kabisa
Barca akiendelea hv, atafia kwao,kikosi kizuri kimekosa mbinu, wajerumani sio poa,
Ila kiukwelimsimu huu barca watakua na hali ngumu zaidi maana timu haina sub hiyo waliokaa nje ukimtoa messi na dembele hakuna wa kufanya maajabu
Yaan badala wamwache aoneshe uwezo wake.wao tayari washamlinganisha na Dembele!Nice commented mkuu, Huyu Fat bado kijana mdg sana alafu hana exposure kubwa na hizi match kubwa, hivyo apewe nafasi tu atakuwa bora sanaa
Tumia akili mzee ushamuita huyu dogo alafu unatarajia nn.ww ulipo kuwa na miaka 16 mtu akikulinganisha na uncle zako ungemuelewaje? Kuwa mpole mambo mazur hayatak harakaTuachane utani wakuu, huyu dogo hata kwa Dembele bado.
Huu ukweli usiopingika, tuna timu nzuri mno ila kocha hakuna. Valverde hamna kitu mule.Huyu Valverde mechi za away ni Takataka kabisa
Sisi tunatazama kwa sasa mtu kacheza nini, achilia mbali miaka na uzoefu wa mtu. Je, kwa kikosi cha Barca leo kilichoenda huko ujerumani, Ansu alipaswa kuanza kucheza kama winga ya kulia?Yaan badala wamwache aoneshe uwezo wake.wao tayari washamlinganisha na Dembele!
mechi moja tu tayari wanataka awe tishio
subirini afike basi hata miaka 19
Hawa Dortmund wameshachoka-akiingia Messi tumesha win
Walichokifanya dortimond ni kucheza kwa kujilinda zaidi,ndio maana muda mwingi wao walirudi wote nyuma na kuziba mianya,Messi walihakikisha kumdhibiti watu mpaka wanne lakini ndio hivyo playtime yake ilikua fupi kama dkk 32 hiviNa ilibakia kidogo tuwin kwa msaada wa La purga...bahati mpira uligonga mhogo.
Tunawasubiri camp nou.Walichokifanya dortimond ni kucheza kwa kujilinda zaidi,ndio maana muda mwingi wao walirudi wote nyuma na kuziba mianya,Messi walihakikisha kumdhibiti watu mpaka wanne lakini ndio hivyo playtime yake ilikua fupi kama dkk 32 hivi
Walichokifanya dortimond ni kucheza kwa kujilinda zaidi,ndio maana muda mwingi wao walirudi wote nyuma na kuziba mianya,Messi walihakikisha kumdhibiti watu mpaka wanne lakini ndio hivyo playtime yake ilikua fupi kama dkk 32 hivi
Nyuma kaka ni matatizo.Mimi sielewi humu defence inalaumiwa sana-wakati mpira mbele haukai-Barca kawaida ina defend kuanzia mbele sasa kama mbele ndio hivyo its just an impossible task.Suarez amekuwa slow age imekamata-anategemea service.Griezman naye it seems depends on service ili acheze mpira-so how will this work out. Mimi nadhani kuendelea kuwepo kwa Velverde ni kilio..La liga sio priority we may win it-but its the European cup we curve.
On this showing this could only be a dream
Mpira bado ndio kwanza league imefunguliwa.Hawa Real Madrid ndio majanga kabisa. AU enzi za Spain kumiliki soccer umekwisha??
Nyuma kaka ni matatizo.
Mabeki hakuna nyuma.
Lakini pia kocha anatakiwa aondolewe huyu hana amsha amsha mbinu zero.
Atleast angekuwa km Luis Enrique tungekua twaongea mengine.
Mkuu umemsahau jembe letu Enrique.Kweli kabisa..Hatuna kocha..tangu aondoke gadiola sijaona kocha wa maana. Zaidi tunategemea uwezo wa Messi tu...Messi akiugua tumekwisha.
Managers nnaowakubali ni hawa, lakini kama hawawaoni mammae
1 Simeon
2 Guadiola
3 Pocchetino
4 Joachim low
5 Allegri