


Bado sijamuona Greizman-Huyu dogo A Fati anavyomwaga mpira Suarez angekuwa keshafunga goalhaumuamini au?
Swala la Semedo nimeshaliongelea sana-end product yake ni poorLenglet anapotea sana kwa barca hii bado sana..tatizo linaanzia kwa kocha na baadhi ya wachezaji kiwango cha kawaida...lenglet pia semedo hana faida ni mchezaji machachari sio hatari hapigi pasi za mwisho
Lenglet anapotea sana kwa barca hii bado sana..tatizo linaanzia kwa kocha na baadhi ya wachezaji kiwango cha kawaida...lenglet pia semedo hana faida ni mchezaji machachari sio hatari hapigi pasi za mwisho
Nafasi ya semedo angechezeshwaSwala la Semedo nimeshaliongelea sana-end product yake ni poor
Semedo acheze sio mbaya lakini inabidi achukue risk kwa kupandaNafasi ya semedo angechezeshwa
faida ya Greizman utaiona mbeleni mkuu tuliaBado sijamuona Greizman-Huyu dogo A Fati anavyomwaga mpira Suarez angekuwa keshafunga goal
Griezman uwepo wake ni faida tosha asipofunga atatoa assistfaida ya Greizman utaiona mbeleni mkuu tulia
anamind kivip?Messi anamaindi issue ya usajili wa Neymar
tumuombee dogo aendelee kuaminiwa na asipate mainjuryThe Prince View attachment 1207911
Bro embu tengua kauli.
Nimetizama mechi nzima.
Hakuna mtu alopoteza pasi na chance za kufunga km ansufati.
Griezmann kajitahidi uongo dhambi isipokuwa kule mbele hakuna watu wazuri wa kushirikiana nae.
Wote magalasa tu.
Sio huyo fala ansufati wala huyu mpuuzi mnyimi wa pasi perez.
Griezmann alitakikana acheze na king leo messi na Suarez ndio majibu mazuri zaidi yangetokea.
mamluki huyuDuh.. Hawa mashabiki wengine bwana