Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,465
mamluki huyu jamaaDuh.. Hawa mashabiki wengine bwana
hawa ndio wameanza kushabikia mpira sababu ya betting
mamluki huyu jamaaDuh.. Hawa mashabiki wengine bwana
tumuombee na dembele pia azidi kuwa mpuuzi mpuuzi na asipone majerahatumuombee dogo aendelee kuaminiwa na asipate mainjury
Ninaona watu wameanza kumshambulia Fati, Tukumbuke
1. Ana Miaka 16
2. Kacheza michezo miwili mpaka sasa (zote anatokea bench)
3.Amefunga Goal moja
4.Bado hana uzoefu wa kutosha
Mchezaji kama Fati hata akikosea kwa sasa anapaswa kutiwa moyo tu kwa sasababu zifuatazo
1.Bado ana hofu (pressure)
2.Bado ana vitu vingi kichwani anataka watu wavione
3.Bado anaangalia kelele zaidi za mashabiki wa kimshangilia kuliko wachezaji wenzake anaocheza nao
Kwa ujumla wake Fati ana kiwango cha juu na michezo yote aliyocheza kafanya vzr sana..
Mchezo wa kwanza aliingia Team ikiwa imeshashinda so alikuwa huru kuchezea mpira
Mchezo wa pili aliingia Team ikiwa imefungwa so aliingia akiamini kapewa jukumu la kubadili matokeo and offcoz alienda kutimiza majukumu...
Hitimisho
Bado siyo wakati wa kuwa na matarajio makubwa kwa vijana chipukizi hasa Fati ila tuwaunge mkono wanapopata dak chache za kuonyesha walichonacho
Ila ni ukweli kwa kiasi flani alichoongea.mamluki huyu jamaa
hawa ndio wameanza kushabikia mpira sababu ya betting
Tatizo rangi hii pale nou camp hawapendagi i shineThe Prince View attachment 1207911
Siku hz wamepunguza ubaguzi.Tatizo rangi hii pale nou camp hawapendagi i shine
Anasema Club haikufanya juhudi za kuridhisha kumrejesha Neymar Camp Nouanamind kivip?
kasema wapi mkuu isije kuwa mnamlisha maneno KingAnasema Club haikufanya juhudi za kuridhisha kumrejesha Neymar Camp Nou
Source ESPN FCkasema wapi mkuu isije kuwa mnamlisha maneno King
Kweli ukongwe ni dawa Suarez is back very determined ,hata kwa mbali anaonekana kupungua uzito kwa shughuli maalum,
This season Barca ndio watakua mabingwa wa UEFA bila shaka, Jana ndo tumeianza season we come back very strong tusahau yaliyopita kuna alot of improvements especially katikati ,naiona version mpya ya Arthur Mello ,roles zake zimewekwa awe anacheza offensive at ikishindikana awe anapiga last key passes
Messi anamaindi issue ya usajili wa Neymar
Mkuu kupata mchezaji ataefunga zaidi ya goli 20 za ligi kama Neymar ni kamari , hatujawa na uhakika huo kama hao madogo watadeliver kufikia hata kiwango alichofikia Sanchez wakati Sanchez akiwa Barca achilia mbali kiwango cha NeymarNeymar asije tu barc...tuna madogo wazuri la masia...
Kwani Dogo uyu keshaingizwa kwenye kikosi cha wakubwa???The Prince View attachment 1207911
UCLKwani Dogo uyu keshaingizwa kwenye kikosi cha wakubwa???
Sema barca hawana utaratibu wa kulia vipaj vya wachezaj weusi ..utashanga anauzwa intermilan au PSG uko
Umeitoa wapi hii ? Messi atacheza kweli ?
Kweli ndugu nimeona .barca wametangaza jioni ya jmatatu kua ..mfalme yupo fit afadhali tuingie na ka nguvu fulani