Possession wakati wa Enrique haikubase zaidi kwenye tiktak style timu pinzani iliwalazima kukaa nyuma zaidi kutokana na hatari ya MSN iliyokuwa pale, kumbuka timu inapokuwa na washambuliaji wengi wazuri huwezi kuacha gaps kwa kusogea mbele zaidi na hivyo kuwafanya viungo wa timu husika kupossess zaidi na ni kwa kigezo hiki Bayern alitolewa na Barcelona mwaka ule lakini mkumbuke kocha villanova , alikuja na style ile ile ya guardiola lakini tulifungwa goal 7 na hao hao Bayern.Ukitazama vizuri utagundua wakati wa Enrique barcelona ilicheza counter attacking football kiasi na ndiyo kipindi uliona pasi inatoka moja kwa moja kwa beki na mshambuliaji anapokea na kuscore
Tukubaliane kwamba vyovyote ilivyo ni kuwa mpira ule wa tiktaka ya Guardiola imeshafifia hata Guardiola ukitazama kuna kitu kakiongeza alipoifundisha Bayern na Man City yaani sio ile tiktak ya pole pole kama vinyonga , ni ppssession iliyoongezewa kasi zaidi hasa eneo la kushambulia .