ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Ni kweli pale ajax madogo wapo wangetufaa tungechukua hata forward wawili+neymar au hata kama nipango ya neymar inasuasua tungechota watatu pale
Ni kweli pale ajax madogo wapo wangetufaa tungechukua hata forward wawili+neymar au hata kama nipango ya neymar inasuasua tungechota watatu pale
nyie jamaa mnachekesha Yani hao midiocore player wanaolingana kiwango na Deloufue na rafinha waje Barca?
neymar ni potential akija ndio maana Messi anaforce iwe ivyo neymar nizaidi ya mchezaji
pulisic hana tofauti na chilunda wa AzamSubiri watu wa darajani wakusikie unamsema Pulisic
Klopp anajua kucheza type ya mpira wa umiliki zaidi , kumbuka hata alipokuwa pale Dortmund walikuwa wakicheza pasi nyingi sana ila nyingi zenye madhara kwa mpinzani , rejea mechi ya kwanza na real pale home.Mmh klopp sishauri.
MPIRA wake wa mkimbize mkimbize.
Guardiola si rahis kurudi barca wala Luis Enrique hapo atafutwe Xavi tu master pass basi.
Klopp anajua kucheza type ya mpira wa umiliki zaidi , kumbuka hata alipokuwa pale Dortmund walikuwa wakicheza pasi nyingi sana ila nyingi zenye madhara kwa mpinzani , rejea mechi ya kwanza na real pale home.
Pia kumbuka mechi ya CL iliyopita alipokutana na Barca game ya kwanza aliposess sana.
Yule ni mzuri
Dressing room wanamlaumu rais wao anazingua inshu ya neymar wanaona kama hachukulii serious inshu ya neymar kurudiRaisi wa Barça ameamua kwenda ufaransa mwenyewe kumaliza utata
Bro klopp mpira wa tik tak anacheza dakika tano tu basi.Klopp anajua kucheza type ya mpira wa umiliki zaidi , kumbuka hata alipokuwa pale Dortmund walikuwa wakicheza pasi nyingi sana ila nyingi zenye madhara kwa mpinzani , rejea mechi ya kwanza na real pale home.
Pia kumbuka mechi ya CL iliyopita alipokutana na Barca game ya kwanza aliposess sana.
Yule ni mzuri
Raisi wa Barça ameamua kwenda ufaransa mwenyewe kumaliza utata
Yaani mtu aliondoka Barcelona mwenyewe tena kwa nyodo na majigambo mengi. Leo hii hajaomna hata msamaha publicly eti watu tena wanambembeleza arudi!
Seriously?
I’m disappointed with Bartromeu
Bro klopp mpira wa tik tak anacheza dakika tano tu basi.
Hata mechi na barca ali possess mpira dakika tano tu.
Hana mpira aina ya tiktak hana kabbisa.
We mtizame akicheza na man city yan anabutua butua tu.
Tunamtaka mtu wa kuurejesha mpira wa tik tak km Guardiola ama Enrique mpira wa triangle passes klopp hana na hawezi mkuu.
Valvede anakera sana. 2 times unatolewa uefa kwa comeback..et plan yake away games alikua Anacheza defensive game..since when barca akapaki bus?Barca wanajichelewesha wenyewe
bila neymar Barca itakuwa haina tofauti na malindi iliyochangamkaYaani mtu aliondoka Barcelona mwenyewe tena kwa nyodo na majigambo mengi. Leo hii hajaomna hata msamaha publicly eti watu tena wanambembeleza arudi!
Seriously?
I’m disappointed with Bartromeu
me imeniuma zaidi Coutinho na Malcom kuondolewa wachezaji waliocheza kwa passion sanaYaani mtu aliondoka Barcelona mwenyewe tena kwa nyodo na majigambo mengi. Leo hii hajaomna hata msamaha publicly eti watu tena wanambembeleza arudi!
Seriously?
I’m disappointed with Bartromeu
me imeniuma zaidi Coutinho na Malcom kuondolewa wachezaji waliocheza kwa passion sana
Nahisi tusipobadilika kuna wachezaji watakuwa wanakataa kusajili Barca
Neymar inabidi arudi-Dembele ameshindwa kutupatia ile cutting edge tuliyotegemeaJohan Cruyf angekuwa hai angemtukana Batromeu na Neymar
Hii saga ya Neymar ni aibu