FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mlimruhusu pep aondoke hamkuonyesha uhitaji wakumbakiza .
Sasa valvede hamna kitu kabisa.
Hajifinzi kabisa,aliona game ya kwanza kazidiwa ila messi alimbeba.
Game ya pili hakubadili mbinu,akaja kuzuia.
Ubaya messi akapotea timu nzima ikapotea.
 
Jana liverpool walizuia circle ya barca isikamilike.
Maana ujinga wao pira utazungukaaa unaishia kwa messi. Watu walishashtukia ilo.
Coutinho sehem za kufunga anamtafuta messi alipo wakati messi amekabwa na beki 2 upuuuzi.
Kiufupi forwad hamna isipokiwa messi. Dembele ndo ushuzi zaidi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…