FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Barca akishinda mechi ya leo basi atahitaji point 4 tu(ambapo ashinde mechi mbili tu) ili atangaze ubingwa
 
Kulikuwa na ulazima wa kumchezesha Suarez 90 na dembele kutolewa!?
 
Nimekuwa nikifuatilia jukwaa hili kwa muda na nikifikiri kwamba hapa utapata habari zote za barcelona kwa wakati lakini sivyo ilivyo. Kwa mtu anayetaka kupata matokeo ya mechi ya jana kwa mfano hadi muda huu hakuna aliyeyaweka ambapo barca ilishinda mbili kwa moja. Tujitahidi ku-update forum yetu maana kuna forums zipo active kama ya man united. Siku ya mechi ya barca na man u ilibidi niache kufatilia hapa niende forum ya man u. Tunakuja huku kwa sababu si kila mtu an acceaa ya tv kwa muda huo so tulitamani kupata habari za haraka hapa.
 
Wakuu jumanne tunakua official champions wa laliga stay tuned


Tutacheza na Deportivo Alves
Hii itakua ticket nzuri ya ku focus UEFA kumbukeni hawa jamaa zetu Liverpool kocha wao anaishiaga kua best loser na mwaka huu atakosa vyote pia
 
Nimekuwa nikifuatilia jukwaa hili kwa muda na nikifikiri kwamba hapa utapata habari zote za barcelona kwa wakati lakini sivyo ilivyo. Kwa mtu anayetaka kupata matokeo ya mechi ya jana kwa mfano hadi muda huu hakuna aliyeyaweka ambapo barca ilishinda mbili kwa moja. Tujitahidi ku-update forum yetu maana kuna forums zipo active kama ya man united. Siku ya mechi ya barca na man u ilibidi niache kufatilia hapa niende forum ya man u. Tunakuja huku kwa sababu si kila mtu an acceaa ya tv kwa muda huo so tulitamani kupata habari za haraka hapa.
huku hatuka kelele km ao tia maji tia maji
 
Jaman game kati ya Liverpool na Barcelona n very very tough hakutakua na mteremko,kocha wetu wa barca anahitaji technical approch katk hii game ...maana ujinga mmj pale barca n kwamba Messi akikamatika no one else who can secure the team!!!
Tatizo nani wa kumkamata Messi. Ndo hakuna..
 
Nimekuwa nikifuatilia jukwaa hili kwa muda na nikifikiri kwamba hapa utapata habari zote za barcelona kwa wakati lakini sivyo ilivyo. Kwa mtu anayetaka kupata matokeo ya mechi ya jana kwa mfano hadi muda huu hakuna aliyeyaweka ambapo barca ilishinda mbili kwa moja. Tujitahidi ku-update forum yetu maana kuna forums zipo active kama ya man united. Siku ya mechi ya barca na man u ilibidi niache kufatilia hapa niende forum ya man u. Tunakuja huku kwa sababu si kila mtu an acceaa ya tv kwa muda huo so tulitamani kupata habari za haraka hapa.
Sasa mkuu kule jukwaa la manure wngi wajuaji ..yani kila mtu mchambuzi ..unaeza dhani ni bonge la timu wanaongelea ..lakini matokeo yao huwa tunakuwa nayo ...Yale unayosoma kule sio uchambuzi, ni ujuaji wao..
 
Nimekuwa nikifuatilia jukwaa hili kwa muda na nikifikiri kwamba hapa utapata habari zote za barcelona kwa wakati lakini sivyo ilivyo. Kwa mtu anayetaka kupata matokeo ya mechi ya jana kwa mfano hadi muda huu hakuna aliyeyaweka ambapo barca ilishinda mbili kwa moja. Tujitahidi ku-update forum yetu maana kuna forums zipo active kama ya man united. Siku ya mechi ya barca na man u ilibidi niache kufatilia hapa niende forum ya man u. Tunakuja huku kwa sababu si kila mtu an acceaa ya tv kwa muda huo so tulitamani kupata habari za haraka hapa.
Hao man u ni viherehere sana
 
Mou on FCB LFC clush
IMG-20190419-WA0030.jpeg
 
Wakuu jumanne tunakua official champions wa laliga stay tuned


Tutacheza na Deportivo Alves
Hii itakua ticket nzuri ya ku focus UEFA kumbukeni hawa jamaa zetu Liverpool kocha wao anaishiaga kua best loser na mwaka huu atakosa vyote pia
Kua champion juma NNE itategemeana na matokeo ya ATM dhidi ya Valencia. Lasivyo ni hadi jumamosi dhidi ya Levante.
Napo kimahesabu Barca atakua bingwa kwa sababu ya head to head dhidi ya ATM
 
Kua champion juma NNE itategemeana na matokeo ya ATM dhidi ya Valencia. Lasivyo ni hadi jumamosi dhidi ya Levante.
Napo kimahesabu Barca atakua bingwa kwa sababu ya head to head dhidi ya ATM
Yeah ni Jmos mkuu ambayo ni confirmatory
Thanks for reminder
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom