In short, jana hatukua kwenye ubora wetu. Maybe tension ilikua kubwa sana, team nzima ili-underperfom.
Jordi Alba hakupandisha juu as he always do, akamuachia Ashley Young apande juu kutushambulia.
Arthur Melo na Rakitic walicheza kitakatifu sana, katikati pakapooza. Kwa mara ya kwanza msimu huu, nimeona Barca ikipoteza mpira mara nyingi sana hasa kipindi cha kwanza.
With a broken nose, huwezi kumlaumu La pulga kwa kiwango chake cha jana. Anyway, he enginereed Luke Shaw's own goal.
Defense ilikua na human errors za hapa na pale ambazo zingeweza kutudhuru. Thanks to Pique, he showed up with calmness and maturity to save our day.
Ni ujinga kudhani Barcelona atacheza Camp Nou kama alivyocheza jana. Mind you please, Dembele awaits!
Juzi niliangalia mechi ya liverpool na Porto, ninachoweza kusema ni kwamba Liverpool is overrated!
Tukutane Camp Nou!
- KANA -