FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Screenshot_20190330-230100_Instagram.jpg


Best player ever, King Leo 10

PNC
 
Huyu kiumbe ameshindikana kamanda wangu...mchezaji bora kuwahi kutokea katika soka! Anatupatia raha ambayo hatukuwahi kuipata kwa mchezaji yeyote waliopita na wa sasa. Mungu aendelee kumpa afya njema na umri mrefu wa kuishi!
BEST IS CR7,ALL TIME GOAT IS PELE

Sent using Brain
 
Jana naangalia mpira mim binafsi namkubari messi, wakati wa kupga faulo goal la kwanza jamaa nilie kaa naye akasema anapata, nikamwambia akikosa bhat mbya.. Mara vuu kitu!

wakati ukuta.
Namuomba mungu human cloning ifanyike uyu mtu arudi tena kwenye soka maana umri unamuacha Dah!
 
Bangi bila sigara kali madhara yake ndyo kama haya
Ndo muache kuvuta sasa, mmekaa kusfia sfia maea freekick mara penalt utafikir mazombie,hana jipya atabaki wa 2 kwa sasa,ila muda wake kutamba,cr7 kamuachia ligi kabaki alone hata yeye mwnywe kasema kammiss

Sent using Brain
 
Ninadhani kuna haja FIFA na UEFA wakaandaa tuzo maalumu kwa ajili ya Messi

Kumshukuru kwa kucheza mpira DUNIANI


Tuzo ya heshima ya mchezaji bora wa muda wote (GOAT)

Iundwe tume ya kusimamia heshima ya Messi ikitokea kafananishwa na binadamu yoyote ichukuliwe sheria kali

Madactor wachukue mbegu za Messi wazifanyie upandikizaji kwa wanawake ili akina Messi wengne wazaliwe



Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah obvious
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom